Kwenye matamasha kunakuwa na Headline Act! Unaweza kutaja Headline Act wa ile show alikuwa nani?!Hahb eti Peke yake. Aka kajamaa kanapenda sana misifa.
Haya we nyoko ulokuwa unadanganya njoo usome huku though m not sure if u will understand the lg.The event has been tagged, ‘A night of music festivities and humour’, and will take place after two successful editions in Sierra Leone and the Gambia.
The festival serves as an exchange platform for culture and music. This year's line-up includes Slimcase (Nigeria), Diamond Platnumz (Tanzania), Sophia (the Gambia), Tay Grin (Malawi) and Jose Chameleone (Uganda). They will be joined by local artists Kindo Armani, Richie Obama, Desmond Benya, Yemata, Innocent, K Man, Famous, Arkman, KME All Stars and Star Zee as well as Ghanaians Kuami Eugene and Kidi, among others.
Well-known Nigerian comedian Basket Mouth will host the show.
The third ECOFEST is going beyond West Africa to include Uganda and Tanzania and will bring together artists from 10 African countries for the first time. The festival will also showcase Salone (Sierra Leonean) music with more than 20 local acts.
Alikuwa Platnumz. Soma moja ya hizo copy and paste za hiyo show kwenye huu uzi!!!!Kwenye matamasha kunakuwa na Headline Act! Unaweza kutaja Headline Act wa ile show alikuwa nani?!
Usituambie habar za headline act mzee baada ya kuona uwongo wenu umeshtukiwa eti kajaza watu elfu 70 stupid tena ni babu tale kweny insta yake.Kwenye matamasha kunakuwa na Headline Act! Unaweza kutaja Headline Act wa ile show alikuwa nani?!
Atakua kwalipia watu waingie bure.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ni mwendo wa kupiga show ktk Anglophone countries ,next week Gunea ESTADIO LINO.
View attachment 1278049
Hakuna festival ya mtu mmoja. Ila kutusua kwa festival kunategemea main act wanao pafomMisinfomation ni jambo baya sana kwa jamii kwani hudumaza jamii husika. Nimesoma hiyo liki uliyoweka, nikaona kweli kuna misinformation kubwa sana kwenye tukio hili kwa upande wa Tanzania kwani hiyo haikuwa show ya mtu mmoja kama nilivyokuwa hata mimi naamini bali ililkuwa ni tamasha lililohusisha wasanii wengi wa kutoka mataifa kumi ya Afrika. Tunataka Tanzania ing'ae lakini tusiwe tunaeneza habari zisizokuwa za kweli ili kuisifia Tanzania na watu wake.
ECOFEST SIERRA LEONE 2019...Using Entertainment sell Sierra Leone to the world and to enhance African Unity.
06,Sep 2019
Written by Admini
Read 9051 times
What clearly was a major break in Sierra Leone and West African Entertainment commenced just over a year ago. The greatest entertainment platform ever created in Sierra Leone started at last year’s ECOFEST hosting seven West African Nations. Superstars like Patoranking from Nigerian, Kuami Eugene from Ghana, Takana Zion from Guinea and CIC from Liberia to name but a few, were part of a star studded line up for what was a massive event and an almost perfect showdown. This year has promised even bigger and greater things and by all standards it has a momentum that’s bound to attract the whole of the African continents attention. Issues like sound system that were a national have now been fully sorted by KME’s ECOFEST SIERRA LEONE 2019 partners, CRIBS INTERNATIONAL.
ECOFEST SIERRA LEONE 2019 will be having Ten (10) Nations represented at one arena in Freetown. They include, Nigeria, Ghana, Guinea, Senegal, Gambia, Liberia, The Host Nation Sierra Leone (from the West African front), Tanzania, Uganda (From East Africa) and (Malawi) from Southern African front. What better way to unify Africa at a time when everyone is talking about the xenophobic attacks meted out by South Africans to other African nationalities? Sierra Leone takes a bolder step in welcoming our African brothers and sisters to a platform that will soon be not only a international phenomenon, but an African legacy.
Multiple award winning Record Label and hitmakers, Kabaka Multimedia and Entertainment (KME) who are lead organizers have informed this media that this will be an unforgettable night of entertainment come November 30th at the National Stadium. The CEO of KME, Lawyer Abu Bakarr Turay, popularly known as The Kabaka has intimated us that the initiative was to shed light on our stars back home. To have a platform that will be enviable to other African nations and that will welcome both acts that have “arrived” in their career as we have in Diamond Platnumz, Basket Mouth, Jose Chameleone etc..and those who are “on their way” like the many powerful Sierra Leonean musicians, comedians and other entertainment acts. “If they cannot invite us to the big stages that we have envied for decades, we have created one that is attractable enough to have them come here and see what we are also made of and then they will be emissaries for us, to take the good news back to the rest of Africa and beyond..”, CEO KABAKA stated.
On those who stand to benefit back home locally, Kabaka wasted no time in explaining that apart from the fact that his Record Label grooms 100% Sierra Leonean talents and currently have about 8 musicians, and four dancers, there will be six of the nation’s best comedians in this year’s ECOFEST, namely Kindo Armani, Faculty, Richie Obama, Oga Worwor, Yemata and legendary Desmond Benya. There will also be ten Sierra Leonean musicians on stage as main acts such as, Innocent, Morris, Star Zee, Arkman, Camouflage and King Boss LA to name a few (these don’t include the 8 KME artistes). There will be atleast ten local “guest acts” on the night. Also we will have Sierra Leonean DJs who will give us a “party time” hour. From the number of acts, it is clear that 70% of acts who will grace the stage on that night will be Sierra Leoneans, but the African continent will be well represented and they will enjoy Sierra Leonean hospitality as never before. The whole of Africa knows our hospitality is second to none.
On time management, there will be Basket Mouth as main host for the show who will be assisted by two co-hosts. Last year there were eight MCs. Drastically reducing that number and bringing someone who wouldn’t yield to pressure from some artistes to over stay their time on stage is key. Also starting as early as 6PM means we will have six hours of a great show even before midnight. In total we are hoping to give our fans 9-10 hours of nonstop and breathtaking entertainment, The Kabaka furthered.
This year’s ECOFEST is organized by KME in collaboration with EMPIRE ENTERTAINMENT GHANA and CRIBS INTERNATIONAL. Supported by Africell, AfriRadio, AYV, 98.1FM, NEWSWATCH MAGAZINE AND NEWSPAPER and many more. It will be a night of music, comedy, dance and cultural entertainment. Be there on Saturday 30TH NOVEMBER at the National Stadium.
Kwa hiyo we playboy mzee umeshaona festival ya mtu mmoja?Usituambie habar za headline act mzee baada ya kuona uwongo wenu umeshtukiwa eti kajaza watu elfu 70 stupid tena ni babu tale kweny insta yake.
Pale alialikwa mkuu wako hadi wakina chameleon so chameleon nae atatamba uganda kwao kuwa kajaza uwanjaAlafu kuna wachawi wanataka kumfananisha Diamond na vitu vya kipumbavu!
Watapata tabu sana!
MWADUISasa nani hapo ana umaarufu mkubwa kuliko Simba?
Kwa hiyo show ilikuwa ya diamond afu kawaalika akina patoranking wamsaidie au vp? Punguza mahaba nyau weKwa akili yako ushawai ona show ya mtu mmoja,muda mwingine akili mnaziachaga wap lkn,ukiambiwa kaja haimaanishi alikuwa pekee yake lazima wawepo wasanii wengine maana hana mapafu ya kuperform masaa sita pekee au wewe ungeweza au unazani kuna show ya masaa 2 kisha inaisha? Hizi chuki zinawashushia heshima kwa kuchangia thread pasipokufikiria
Patoranking hakuwepo mwaka huu. Hizo copi and paste za miaka iliopita. Hii festival ya tatuKwa hiyo show ilikuwa ya diamond afu kawaalika akina patoranking wamsaidie au vp? Punguza mahaba nyau we
No,shida walitaka kutuaminisha kwamba ni show ya diamond, unaposema diamond kajaza watu 70k manake nn? Why usiseme ECO FESTIVAL imejaza watu 70k this year? Kwann after WASAFI FESTIVAL hatusemi WIZKID kajaza watu 24k tunasema WASAFI FESTIVAL imeingiza watu 24k this yr?..TUACHE KUPEANA UTUKUFU WA UWONGO AYSEE TUPENDE KWA KIASI.Kwa hiyo we playboy mzee umeshaona festival ya mtu mmoja?
Main act anakuwaga wa mwisho ku perform na ndio anaebeba show. Kama ikifeli lawama lazima ziende kwa main act. Hakuna festival ya mtu mmojaNo,shida walitaka kutuaminisha kwamba ni show ya diamond, unaposema diamond kajaza watu 70k manake nn? Why usiseme ECO FESTIVAL imejaza watu 70k this year? Kwann after WASAFI FESTIVAL hatusemi WIZKID kajaza watu 24k tunasema WASAFI FESTIVAL imeingiza watu 24k this yr?..TUACHE KUPEANA UTUKUFU WA UWONGO AYSEE TUPENDE KWA KIASI.
Hakuna festival ya mtu mmoja. Ila kutusua kwa festival kunategemea main act wanao pafom
Na main act analipwa zaidi anachukua mtonyo mkubwa zaidi ya hao wenginNo,shida walitaka kutuaminisha kwamba ni show ya diamond, unaposema diamond kajaza watu 70k manake nn? Why usiseme ECO FESTIVAL imejaza watu 70k this year? Kwann after WASAFI FESTIVAL hatusemi WIZKID kajaza watu 24k tunasema WASAFI FESTIVAL imeingiza watu 24k this yr?..TUACHE KUPEANA UTUKUFU WA UWONGO AYSEE TUPENDE KWA KIASI.
Kaka unataka kuniaminisha uwanja ulijaa coz diamond was a main act? Tuanzie hapo.Main act anakuwaga wa mwisho ku perform na ndio anaebeba show. Kama ikifeli lawama lazima ziende kwa main act. Hakuna festival ya mtu mmoja
Tatizo lako hupendi kusoma na umekimbia hesabu.Kiingilio 850 kwa 1200Tzs
Hakuna festival ya mtu mmoja. Kwa hiyo sidhani kama ni vibaya main act akajisifia mafanikio ya festival. Sababu ingebuma yeye angeondoka na aibu kubwa ZAIDI!!!!!Kaka unataka kuniaminisha uwanja ulijaa coz diamond was a main act? Tuanzie hapo.
Tunkataa sisi anapoandka kwenye mitandao yke ya kjamii kuwa kajaza uwnja watu elfu70 tket zmekua sold out,hapo sisi ndo tunpokataa,tumeona wote chameleon nae aliperform watu wapo nyomi kuzd lakn mbn hjaleta maneno ya khanga km huyo ndg yenu?Hakuna festival ya mtu mmoja. Kwa hiyo sidhani kama ni vibaya main act akajisifia mafanikio ya festival. Sababu ingebuma yeye angeondoka na aibu kubwa ZAIDI!!!!!