Diamond Platnumz ajibu shutuma ya kudaiwa Wasafi ni wanyonyaji

 
Anasema amewekeza 500m kwa msanii kama vile ilikuwa ni fadhila na sio biashara lakini hasemi jumla ya mapato ambayo huyo msanii ameiingizia kampuni kwa kipindi chote anafanya kazi chini yao kupitia makato ya 60/40... ni mentality ile ile ya unyonyaji tu.
 
Kama unahisi Ni unyonyaji na wewe fungua company uwe unamlipa mfanyakazi wako sawa na unachoingiza
 
kwenye ulimwengu wa kibiashara, ni sahihi mwenye hisa nyingi kupata faida kubwa. hapo mwamba yuko sawa kabisa, anavuna alichopanda. yani sauti yako tu na una mashairi ya kuunga unga! tena nakusaidia kutunga, eti tugawane pasu kwa pasu? hata mm siwezi kukubali huo upumbavu.. kama mtu anaona ananyonywa alipe gharama za uwekezaji wangu, kisha aende zake. no free lunch in B0NG0!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…