Wimbo wa kuhamasisha kilimo cha cocoa
Heaven On Desert..
You are less than what diamond needs for his PR activities!
You are only lucky he's not smart enough to notice that!
Kiingereza halafu wanaija wana accent yao sijui ataielewaa
ngoja niitafute interview! Yake kama ntaikuta youtube! Nami nishangae! Shangae kidogo!
H.O.D kasema ataiweka
Picha zakoo aiseeee (avatar)
Huo wimbo wa kuhamasisha kilimo tayar ulishafanywa audio na video kabisaaa. Diamond yupo Nigeria kwa mambo yake bhana
aseee hivi kumbe hata toi ni pazuri hivi kupigia picha hureeee
updates zote naweka thisisdiamond.com ndugu,..humu nafanya favor tu kupost
Hiyo nguo hapo chinii ni kinyelamumo au mama ninye wapii ila kapendezaaaa,HOD mbona simuonii ameachwa au??