Diamond platnumz akiwa lagos nigeria tazama full ma interview na the beat 99.9 fm

Juzi kuamkia Jana katika studio za Iyanya zilizopo nyumbani kwake Lagos, Diamond alifanikiwa kumalizia single yake aliyomshirikisha Iyanya. katika video hii fupi, inamuonyesha diamond akiwa ndani ya studio hizo, huku Iyanya akiimba kwa ku-Freestyle kwa lugha ya kiswahili.

"Nimemalizia kufanya ngoma na Iyanya, na kwasababu yeye amesafiri jana kuelekea nchi Uingereza, basi akirudi ntapanga nae siku ya ku-record video na akili yangu yote inanituma kuifanyia nchini uingereza. nina plan kubwa sana na video ya wimbo huo." amesema Diamond
 
Yule mpiga picha wake anavyonunaga na hizi thread zako
 
Money Stunna,hiyo picha jamaa alipiga siku alivyozamia harusi nini?naona kipedo alichovaa ndo kile kile.
 
Yule mpiga picha wake anavyonunaga na hizi thread zako

jamaa namshangaa sana uyo kifesi heaven on desert uwa ananimind sana nikimzungumzia diamond kwa mazuri sijui anaona yeye ndio ana haki miliki ,lakin nikiweka skendo za diamond wala hana neno ila nikiweka mazuri anakasirika sana.

Mimi ninachomwambia sijali anikasirikie au vip,habari za diamond nitaziweka tu ziwe nzuri au mbaya
 
Last edited by a moderator:
Kila la heri Diamond,kwa mazuri tutakusifia bro ila punguza kujishow off na maskendo basi kidogo,aaargh!

"Nlikuwepo":bolt:
 

Hataki umsifie boss wake anaona wivu, sijui anahis nini mwenyewe duh kazi kweli kweli, mwacheni ndomo wake
 
Last edited by a moderator:

n we diamond's fans appreciate ur work too.ndivyo ilivyo paliko neema hapakosi majungu,muhimu kufocus katika kazi uako na kuwaacha wapiga kelele wapoteze muda wao mana kama wangekuwa na nia njema wangetumia busara kukushauri unapokosea sio kukebehi kila unachokifanya.hongera na ongeza bidii.we r superproud of him n u his photographer offcoz....
 

hivi na ww hunaga kazi ya kufanya zaidi ya kutafuta habari za watu? na nini lengo la ulichokiandika hapo, kumkosesha mwenzako na bosi wake ama unajipendekeza na ww ufikiriwe, grow up.ww ni mwanaume na utakuwa kama hujawa bado baba wa familia sa kwa hali hiyo naona mwelekeo wako sio mzuri. madume hatuko hivi kaka, change ni ww...
 
Last edited by a moderator:

Nina kazi nzuri zaidi yako na sijawai kuajiriwa wala sina mpango huo na nina kazi nimeajiri watu zaidi ya 20 na nina walipa mshahara.

Kuleta habari haimanishi mtu kukosa kazi bali ni mapenzi binafsi na bila kuwepo habari jukwaa ili utalikimbia na litakosa mvuto

Hivyo nataka nikwambie maneno yako kamwe hayawezi kunikatisha tamaa, habari nitaleta kama kawa na nimeanza kupenda habari za celebrity toka na miaka 7 hivyo unajisumbua.

Sikatishwi tamaa na maneno yako
 

asante kwa taarifa, sasa kuwa mstaarabu kwa kutowakwaza wengine na kuwavurugia kazi wao, we umeajiri ila wao wameajiriwa,na zaidi usipitilize sana mana inafikia mahala watu wanashindwa kuamini kama ww ni mwanaume kamili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…