Diamond Platnumz: All The Way Up Volume 2 (Awataja Wema Sepetu, Hamisa Mobeto & Zari)

Falla huyo.
Halafu kuna wale wapuuzi kila siku wanasema Kiba anasafiria nyota ya domo...hii nini?
Kiba hajawahi kumdiss huyo mjingamjinga domo lakini yeye leo kesho meneja wake Salam.
Kiba hawatoki akilini [emoji12].
baada ya kuandika haya maneno umejiona umepata faraja au sio ?

Domo bado kutoa visengeli tu na atatoa
 
MTOTO WA KIUME KUIMBA MAFUMBO NA KUTOBOA KIPINI NDO DALILI ZA UPUNGA
 
Falla huyo.
Halafu kuna wale wapuuzi kila siku wanasema Kiba anasafiria nyota ya domo...hii nini?
Kiba hajawahi kumdiss huyo mjingamjinga domo lakini yeye leo kesho meneja wake Salam.
Kiba hawatoki akilini [emoji12].
Alishamdis diamond angalia sporah show yaalikiba mi nlimshangaa kiukwel
 
Alafu hapo kwenye tilalila Inawezekana pia Mondi ameungana na Blue kumpiga dongo Barakah ambae yupo chini ya kiba... Maybe
 
Sijaona sehemu ya diamond kumdiss alikiba hiyo ni verse ya 2 na verse ya kwanza ilitoka kama wiki 2 zilizopita ya all the way up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…