Diamond Platnumz amchana Ali Kiba kwenye Fresh remix - Fidq ft Rayvany

Umenikumbsha Kanumba wangu jamani, hakuwa na Mpinzani hadi kina Ray wakaishia kumchukia tu. Kanumba alikuwa super star number one. Hata Diamond hakuona ndani japokuwa hawakuwa kwenye tasnia moja.
 
Diamond anaona wivu tu, alkiba siku hizi ni Ulaya na America. Diamond inamuuma sana hiyo. Ukizingatia siku hizi Diamond ni kama vile anashuka so anamwogopa Alli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…