Diamond Platnumz ameshirikishwa kwenye album mpya ya Alicia Keys

Diamond Platnumz ameshirikishwa kwenye album mpya ya Alicia Keys

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Habari nzuri,

Msanii wetu wa Tanzania Diamond Platnumz atakuwepo kwenye moja ya collabo ilipo kwenye album mpya ya Alicia Keys.

Alicia Keys amethibitisha hivyo kwa kuonesha list ya nyimbo zitazokuwepo kwenye album yake hiyo mpya na moja Kati ya nyimbo ipo aliyomshirikisha Diamond.

Tumekuwa tukizoea baadhi ya Wasanii wa Bongo kama AY na Diamond kufanya collabo na American artist lakini Safari hii Diamond ndio kashirikishwa.

Alicia Keys.jpg


diamondplatnumz_88181047_819083198585950_1969263424549304450_n.jpg
rBEeLF5cq6yANrbXAAMSZB2HXyo27.jpeg
Diamond-Platnumz-with-Swizz-beatz-and-Alicia-Keys.jpg
 
Wakina Konde boy na Ali Kiba jealous tu, lakini watasubiri sana kwa huyu jamaa. Yaani we fikiria vile Alicia Keys saved your number on her phone! Huyu mjomba ashatoboa, sema wabongo na jealous zao wanataka kumfananisha na Aslay, dah, yaani I don't understand. Roho mbaya za Watanzania wenzangu, vile Hasheem Thabeet didn't make it to the NBA, wao ndio roho zao kwatu kabisa, sasa sijui ndio wanafaidika na nini.
 
Wakina Konde boy na Ali Kiba jealous tu, lakini watasubiri sana kwa huyu jamaa. Yaani we fikiria vile Alicia Keys saved your number on her phone! Huyu mjomba ashatoboa, sema wabongo na jealous zao wanataka kumfananisha na Aslay, dah, yaani I don't understand. Roho mbaya za Watanzania wenzangu, vile Hasheem Thabeet didn't make it to the NBA, wao ndio roho zao kwatu kabisa, sasa sijui ndio wanafaidika na nini.
Diamond ni mzee wa kazi matendo yanaongea
 
Watakuja hapa utasikia "Diamond kamlipa Alicia Keys amuweke kwenye album yake....."

Njia nzuri ya kushindana na maadui zako ni kwaacha wa ongee,huku wewe ukifocus na kuconcetrate na kazi zako,mwisho wa siku kupitia collabo kama hizi na Number ktk digital platforms zitaongee,so acha unacho kifanya kiongee.

Nice work na ni tabia yake kufanya vizuri.
 
Wakina Konde boy na Ali Kiba jealous tu, lakini watasubiri sana kwa huyu jamaa. Yaani we fikiria vile Alicia Keys saved your number on her phone! Huyu mjomba ashatoboa, sema wabongo na jealous zao wanataka kumfananisha na Aslay, dah, yaani I don't understand. Roho mbaya za Watanzania wenzangu, vile Hasheem Thabeet didn't make it to the NBA, wao ndio roho zao kwatu kabisa, sasa sijui ndio wanafaidika na nini.
Watakuja hapa utasikia "Diamond kamlipa Alicia Keys amuweke kwenye album yake....."

Njia nzuri ya kushindana na maadui zako ni kwaacha wa ongee,huku wewe ukifocus na kuconcetrate na kazi zako,mwisho wa siku kupitia collabo kama hizi na Number ktk digital platforms zitaongee,so acha unacho kifanya kiongee.

Nice work na ni tabia yake kufanya vizuri.
Hongera kwa Diamond..

Nyie wenyewe mnaandika ngonjera tu na kuendeleza ligi.

Maana tayari mnashindanisha uzi usihitaji kushindanisha.
 
Hongera kwa Diamond..

Nyie wenyewe mnaandika ngonjera tu na kuendeleza ligi.

Maana tayari mnashindanisha uzi usihitaji kushindanisha.
Ngojera kwa mtizamo wako,ila na andika anachokipitia jamaa.
 
Hongera kwa Diamond..

Nyie wenyewe mnaandika ngonjera tu na kuendeleza ligi.

Maana tayari mnashindanisha uzi usihitaji kushindanisha.
Nchi hii ina kizazi chenye hasara sana, yaani matabaka ya monopoly duniani huwa tunayajenga wenyewe.

Ndio maana mmoja ana trillion 100 mfukoni mwingine hana hata 100.

Yaani wstu wasifanye muziki Kwasababu eti wataonekana wanashindana na mtu mwingine.

Mwisho wa siku kuimba na hawa wamarekani binafsi huwa naona kama tu kutimiza ndogo yako labda ulipenda kufanya kazi na fulani, ila haina manufaa kivile.

Burnaboy muziki wake umetoboa kavukavu. Kafanya interview kwenye shows kubwa sana US kama Daily Show na Jimmy Kimmel

So, binafsi sioni sababu ya wasanii kulazimisha saaana na kuwa frustrated.

Unatumia milioni 30 kugharamika video na audio, then show unabanana humuhumu na kina Msaga sumu
 
Wakina Konde boy na Ali Kiba jealous tu, lakini watasubiri sana kwa huyu jamaa. Yaani we fikiria vile Alicia Keys saved your number on her phone! Huyu mjomba ashatoboa, sema wabongo na jealous zao wanataka kumfananisha na Aslay, dah, yaani I don't understand. Roho mbaya za Watanzania wenzangu, vile Hasheem Thabeet didn't make it to the NBA, wao ndio roho zao kwatu kabisa, sasa sijui ndio wanafaidika na nini.
nenda jukwaa la sport kuna njemba zinashabikia Samatta auzwe pale Aston Villa.
 
Nchi hii ina kizazi chenye hasara sana, yaani matabaka ya monopoly duniani huwa tunayajenga wenyewe.

Ndio maana mmoja ana trillion 100 mfukoni mwingine hana hata 100.

Yaani wstu wasifanye muziki Kwasababu eti wataonekana wanashindana na mtu mwingine.

Mwisho wa siku kuimba na hawa wamarekani binafsi huwa naona kama tu kutimiza ndogo yako labda ulipenda kufanya kazi na fulani, ila haina manufaa kivile.

Burnaboy muziki wake umetoboa kavukavu. Kafanya interview kwenye shows kubwa sana US kama Daily Show na Jimmy Kimmel

So, binafsi sioni sababu ya wasanii kulazimisha saaana na kuwa frustrated.

Unatumia milioni 30 kugharamika video na audio, then show unabanana humuhumu na kina Msaga sumu
Mkaruka Mwanzoni ulianza vizuri ila umekuja kuharibu baada ya kutia majungu na masufuria + chuki na wivu diamond shows zake nyingi Ni za nje na ndio zinazompa hela nyingi mwaka Jana alipiga shows 50 za nje ikiwemo Korea kusini,Mayotte,ufaransa,USA na uingereza bila kusahau alifanya show ya Afcon Award aliyochukua mane Kama mchezaji Bora wa Africa.Na mwaka Huu kachaguliwa kuperform ureno ingekuwa hizo collabo hazisaidii hii hatua angepigaje
 
Mkaruka Mwanzoni ulianza vizuri ila umekuja kuharibu baada ya kutia majungu na masufuria + chuki na wivu diamond shows zake nyingi Ni za nje na ndio zinazompa hela nyingi mwaka Jana alipiga shows 50 za nje ikiwemo Korea kusini,Mayotte,ufaransa,USA na uingereza bila kusahau alifanya show ya Afcon Award aliyochukua mane Kama mchezaji Bora wa Africa.Na mwaka Huu kachaguliwa kuperform ureno ingekuwa hizo collabo hazisaidii hii hatua angepigaje
Labda Kwa Africa.

Hapo Diamond kajitahidi.

Ila Ulaya na Marekani, Hakuna mtanzania amewahi kufanya show yenye hadhi.

Mostly ni shows za kwenda kufurahisha Diaspora.

Anyway unayo video yake ya show ya Korea ?
 
Back
Top Bottom