kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 2,097
- 5,348
hii mzee wa centro zoni mkuu ni kali kwa sababu nilidhani atakuwa anammaindi jamaa baada ya kipindi fulani demu wake kuwa bsy na ahwa wcb kiasi kwamba jamaa ikawa kama kachnganyikiwa.Sure kaandika Kwa hekima sana
Mimi sikubaliani nae Kwa issue tatu
Kuoga na nanii wake .......
Kuingiza Sana watu wanaochezea timu mbili kwake ....
Na kupita na hawa Centro zoni na mzee wa nainai.
Hapo tu Ila efforts katika kutafuta hela anazo kubwa Sana .