kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Diamond ndo nani huko daslamu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kajibu yeye na hakuandikiwa basi kajibu kwa akili sana.. big up.Baada ya chuki kubwa inayoenezwa na wasanii wa Kenya kwa wasanii kutoka Tanzania. Diamond ametia neno lake.
View attachment 3172225
View attachment 3172226
Kikubwa cha kuchukua hapa mtu akikuzidi, solution sio kumchukia ni kufata njia za mafanikio ili na wewe utoboe.
Diamond is so genius
Diamond Maturity level is Dope 👑👑Baada ya chuki kubwa inayoenezwa na wasanii wa Kenya kwa wasanii kutoka Tanzania. Diamond ametia neno lake.
View attachment 3172225
View attachment 3172226
Kikubwa cha kuchukua hapa mtu akikuzidi, solution sio kumchukia ni kufata njia za mafanikio ili na wewe utoboe.
Diamond is so genius
Miaka ya nyuma kulikuwa na mashindano ya kutafuta wanamuziki ya east Africa yaliyofanyikia Kenya. Nakumbuka Peter Mchechu alifanya vizuri sana lakini judges wakenya walimharibia asiwe wa kwanza kwa kumkashifu na kumpitisha Mkenya ambaye hakumfikia Mchechu katika performance. Wakenya japo wana umoja wai kwa wao, bado ni wabaguzi sana kwa mataifa mengine..Hebu fungua kodi mkuu.
Mimi siwakubaliw asafi kwa mambo mengi ila hii movement ya kenya ni ya kijinga kabisa. Alichoandika diamond ni ukweli.