hii mzee wa centro zoni mkuu ni kali kwa sababu nilidhani atakuwa anammaindi jamaa baada ya kipindi fulani demu wake kuwa bsy na ahwa wcb kiasi kwamba jamaa ikawa kama kachnganyikiwa.Sure kaandika Kwa hekima sana
Mimi sikubaliani nae Kwa issue tatu
Kuoga na nanii wake .......
Kuingiza Sana watu wanaochezea timu mbili kwake ....
Na kupita na hawa Centro zoni na mzee wa nainai.
Hapo tu Ila efforts katika kutafuta hela anazo kubwa Sana .
Kuna comments za watz wanaungana na wakenya kuwa wanachofanya si sawa ila watawaunga mkono maana hao wasanii kwenye mambo yanayowahusu watanzania wenzao huwa hawako pamoja nao basi kila mtu acheze mechi yake na kupambana na hali yake.Kusifia CCM ndio kunawafanya wasanii wetu kuwa kwenye chati? Sio Kila mada inahusu siasa
Ndo mchezo wa kisasa huo Ila wanachezea Sana ' MTALIMBO WA JAMAA'hii mzee wa centro zoni mkuu ni kali kwa sababu nilidhani atakuwa anammaindi jamaa baada ya kipindi fulani demu wake kuwa bsy na ahwa wcb kiasi kwamba jamaa ikawa kama kachnganyikiwa.
Kongole Diamond. Chuki haimbebi anayeiletaBaada ya chuki kubwa inayoenezwa na wasanii wa Kenya kwa wasanii kutoka Tanzania. Diamond ametia neno lake.
View attachment 3172225
View attachment 3172226
Kikubwa cha kuchukua hapa mtu akikuzidi, solution sio kumchukia ni kufata njia za mafanikio ili na wewe utoboe.
Diamond is so genius
Eric Omond ameandika kitu cha kipuuzi mnoo.Baada ya chuki kubwa inayoenezwa na wasanii wa Kenya kwa wasanii kutoka Tanzania. Diamond ametia neno lake.
View attachment 3172225
View attachment 3172226
Kikubwa cha kuchukua hapa mtu akikuzidi, solution sio kumchukia ni kufata njia za mafanikio ili na wewe utoboe.
Diamond is so genius
Japokuwa mimi binafsi simkubali kabisa Diamond (kwa sababu ya aina ya uombaji wake uliojaa matusi, kuhamasisha ngono na mienendo mibovu), lakini kiuhalisia Diamond ni msanii mkubwa sana kimataifa, kwa Tanzania hakuna wakumfikia na kwa Afrika, kama utataja wasanii watano maarufu zaidi kwa sasa, ni lazima jina la Diamond liwepo.Diamond msanii mdogo sana anaukubwa gan kuimba hajui
HqhqhqhqJapokuwa mimi binafsi simkubali kabisa Diamond (kwa sababu ya aina ya uombaji wake uliojaa matusi, kuhamasisha ngono na mienendo mibovu), lakini kiuhalisia Diamond ni msanii mkubwa sana kimataifa, kwa Tanzania hakuna wakumfikia na kwa Afrika, kama utataja wasanii watano maarufu zaidi kwa sasa, ni lazima jina la Diamond liwepo.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Wakenya wameshazoea ukabila....tangu lini poze akawa na hadhi sawa na super platinum??? Kila mmoja anapta treatment kulingna na hadhi yake. Waache chukiBaada ya chuki kubwa inayoenezwa na wasanii wa Kenya kwa wasanii kutoka Tanzania. Diamond ametia neno lake.
View attachment 3172225
View attachment 3172226
Kikubwa cha kuchukua hapa mtu akikuzidi, solution sio kumchukia ni kufata njia za mafanikio ili na wewe utoboe.
Diamond is so genius