Diamond Platnumz anunua nyumba mpya

Kwa background ya jamaa, shule yake na mafanikio anayoyaonesha nadhani ni wachache humu JF wanaoweza kuwa wamempita.

Dogo anajitahidi sana.

Sana tu.

Halafu, licha ya kwamba dogo hana elimu kubwa, huwa namwona ni mtu mwenye upeo mzuri sana.

Jaribu tu kumsikiliza aongeapo hata kwenye mahojiano...jinsi ambavyo huwa anajibu maswali, huwa naona kama angepata fursa ya kusoma elimu ya darasani basi huenda hata huko angefanikiwa.
 

Sure, jamaa ni mfano sana wa kuigwa kwa jinsi anavyoyatafuta maendeleo.

Ana bidii za ajabu sana, na pia siyo mchoyo, anajaribu kushare kile anachokipata na team yake na huwasikii wakinung'unika kabisa.

Sasa hivi anatengeneza Lebel na nadhani kama akikaa vizuri ndani ya miaka 2-3 itakuwa Label kubwa sana, jana nimemsikia Young Killa anahojiwa Clouds FM akisema kama mipango itaenda sawa atajoini Wasafi.
 
Kama
sipend mirangi[/QUOTE. Ingekua yangu na sina shida yoyote pressing KAMWE NISINGEUZA NYUMBA HII KWA MIL 100!!!value inazidi hapo sana tu.kuna ukarabati kwa mabadiliko mengine kukung'ang'ania na marakwa ya mmiliki mpya
 
DIAMOND hasumbuliwi tena na wabongo wameshaongea sana kuhusu yeye sasa hivi anafanya anachojisikia sio nani atasema nini. Tokea mwaka 2010 wanamuongelea vibaya lakini hajawahi kushuka ndio kwanza anazidi kupanda.DIAMOND hii kwake si nyumba ya kwanza wala ya 2 na si ya 3 wala ya 4 ( na hata hii asingeitangaza,ila ni vile imeenda sambamba na kumtangazia huyo dada biashara a.k.a kaua 2 kwa 1 ) Hivi karibuni alisema ananyumba South Africa ( kwa wale wanaosema kwanini asinunue Masaki au K/koo) soma hii Diamond: Nina nyumba South Africa kwa sababu ya familia
 
Acheni wivu wakuu, yeye kanunua nyumba kulingana na uwezo wake na yeye kwa sasa ndio msanii mwenye mafanikio makubwa kuliko wote.
Mtu anaandika "oh nyumba hata sio hata ya mil 100"
Sasa wewe jenga nyumba yako hiyo ya mil 60 alaf uza kwa mil 60.1 jinga weh! Watu wanafanya biashara
 
Milioni mia mbona havifanani au ndo kulalia
hata mie nimeshangaa, mia kabsa? au kwakuwa wamemchanganyia mirangi kibao? mbona nyumba ya kawaida kabisa hii? bati lenyewe ni haya yakwetu ya kisambaa alafu wakalitia rangi. WELI sawa tu, hongera zake, mimi huwa namkubali jinsi anavyo jituma.
 
Hiyo Nyumba haifiki mil 100,nyumba ya mil 60 eti imekuwa 100?Tena hata 60 sidhani Kama inafika.
Hivi unafahamu hiyo nyumba ipo wapi? Mie naishi Temeke, mwaka jana kuna mzee kakataa kuuza nyumba kwa 300 million na ni ya kawaida sana! Ninapotaja Temeke I hope you know what I mean unless kama sio mkazi wa Dar!

But all in all, hebu angalia vile vibanda vya NHC... vya Dar es salaam vinauzwa bei gani?
 
Upo sahihi hiyo nyumba kwa milioni 60 unajenga. Ila hongera zake.. ila naye awe mjanja siku ingine. Nyumba gani ina marangi rangi kama kachumbari?
Nyumba kama hiyo huwezi kupata kwa 60M Dar es salaam labda iwe ndani ndani kabisa huko!

Kwamba unaweza kujenga kwa bei hiyo ni sawa lakini pia inategemea ni wapi manake hata kama maeneo haya haya tunayoishi sote, hiyo 60M si ajabu ikaishia kwenye kiwanja
 
Mimi ni mzaliwa na mkazi wa Dar, Temeke siyo prime area kwa hapa Dar, na japo nimezaliwa Wiles lakini Temeke siipendi kabisa kama ninavyopachukia kinondoni, sidhani kama ni maeneo salama kulea familia bora.
 
hiyo nyumba haiko na space na kitchen ndogo ya kizamani choo za kishamba zile za sinki lakini unachuchuma wakati wa kukata gogo.kwa kifupi kashikishwa.

swissme
weka picha ya nyumba yako hapa tuione
 
Mimi ni mzaliwa na mkazi wa Dar, Temeke siyo prime area kwa hapa Dar, na japo nimezaliwa Wiles lakini Temeke siipendi kabisa kama ninavyopachukia kinondoni, sidhani kama ni maeneo salama kulea familia bora.
Na kv ni mkazi wa Dar then unafahamu kwa prime area hiyo 300M ni pesa ya kiwanja na sio nyumba!! Na hata nilivyo - conclude kuhusu Temeke ni kuonesha kwamba sio prime area but still mtu anakataa kuuza nyumba kwa 300M let alone 60M.
 
Hebu tuonyeshe kwanza zako tuzione
 
TRA wamekumbuka kuchukua kodi ya ongezeko la thamani.
 
hata mie nimeshangaa, mia kabsa? au kwakuwa wamemchanganyia mirangi kibao? mbona nyumba ya kawaida kabisa hii? bati lenyewe ni haya yakwetu ya kisambaa alafu wakalitia rangi. WELI sawa tu, hongera zake, mimi huwa namkubali jinsi anavyo jituma.
hebu tuwekee jumba lako la kifahari tulione
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…