Diamond platnumz asipodhibitiwa ataleta maafa


Wala yakitokea sitakuwepo.
Mie napenda live band.
 
DUH BINADAMU TUPO TOFAUTI SANA MI NADHANI WAJARIBU KUANGALIA NA IDADI YA WATU NA MAENEO ZINAPOFANYIKA SHOO ZAO......
 
Haya tunasubiri na huyu kibakuli wao alete nyomi kama ana ubavu
ali kiba ana potential nzuri tu ya kufanya vizuri ila jamaa namuona kama vile anajihold kurudi nyumasijui kwanini...... mond saiv ni mkali kama umeme huwezi kumlinganisha na kiba kuna tofauti kubwa sana na wanaowalinganisha hua nawashangaa sana siongei kwa ushabiki bali ukweli ninao uona
 
Hapo dawa ni kuongeza bei ya viingilio ili kudhibiti idadi ya watu.
ANGALIZO: Kwa kiingilio cha chini ya 50000 msitarajie msongamano kwisha kwenye show zake.
hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini Dar Live ilijengwa Mbagala na si Oysterbay??....
 

Ninyi mnatakiwa mumpate Donald Trump kama nyampara wenu maana ujinga umezidi sana
 
And he is great at making his own. There will never be another DIAMOND PLATNUMZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…