Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Anaitafuta Uber ya RR ila wapi! Dogo kawakomeshaBila shaka dada mkuu yuko bize LA kutafuta RRs ambazo ni Uber
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaitafuta Uber ya RR ila wapi! Dogo kawakomeshaBila shaka dada mkuu yuko bize LA kutafuta RRs ambazo ni Uber
Heheheheh mtoto chombo kweli kweliKuhusu kids 100%. Sema inaonekana wamekubalia kuishi ile wanaita mahusion open.. hakuna kubanana banaa.. sidhani kama mondi anakaa siku zote bila kukinukisha na hata kwa zari ngumu kukaa mda wote bila kukiwashaa.. ila wanaendana sana.. licha ya hivyo Zari chombo
Hahahahhaa hawa madogo bangi kweli yaniKwani mahitaji yake ni shamba? Au kwani hana shamba?? Au lazima kilosa😅😅😅😅
Ameshanunua kabakisha kununua matako yako tu 😂😂😂Hiyo 1.5bil+ si angenunua shamba Kilosa? Alisikika jamaa mmoja
Michigan ya Igurusi au Kwimba?Nmeichunguza kwa makini jamaa kashikishwa io gari ni fake, nayapata Sana hayo mandinga aseh kipindi kipindi icho nipo Michigan 😃
Kanunue yako yenye mapya😅😅😅Kwanin matairi sio mapya
Hao ni watu ambao hawana elimu.....Duh, sasa gari la diamond linatuhusu nini mkuu? Wewe ni ke au me? Kama ni me pole kwa wazazi wako
Hahahah watu katika huu uzi wamekosa pembe na vibuyu tu 😅😅😂 ila ukiwapa ungo na kaniki wanapaaUchawi hauishi Afrika
Kinadai sanaaa kile.. kama used basi imetoka penyewe 😀😀Heheheheh mtoto chombo kweli kweli
Sema kibongo Bongo ile parking ile parking imeshibaWanajiona wamemuweza parking lot gari zilizopaki thamani yake inaweza kumlisha mwijaku na ukoo wake mpaka wanazikwa bila kufanya kazi yeyote😂😂😂
Wewe wewe si ulishasemaga kuna G-Wagon za kichina zinatumiwa na jeshi hapa bongo kwenye ule uzi wako wa Volkswagen?..au nimechanganya?.Hahahha et Rolce Royce Feki kummmmk, hivi kuna m UK feki uliskia wapi??? How can you fake a Car?
Kuna mtu alisema mi hata sikuwa najua hilo mzeeWewe wewe si ulishasemaga kuna G-Wagon za kichina zinatumiwa na jeshi hapa bongo kwenye ule uzi wako wa Volkswagen?..au nimechanganya?.
Zote ni za 100G and moreSema kibongo Bongo ile parking ile parking imeshiba
Cadillac Escullado zipo 2
Toyota land cruiser V8 Zipo 3
BMW X6
Cullinan Rolls Royce
Muhimu ana gari saba halafu zote kali
Mchawi atakuchukia hata ukinawiri tu 😅😅😅Tyre mpya zote kama ukiitazama wakati inashuka. Wachawi huwa hawakosi hoja
Ile umesikia ni ya 2021 na hii uliyoweka hapa ni 2020
Utafirwa bila vaseline wewe, acha wivu wa kike! Post hata passo ulionayo ya 2021Unashabikia kama wa mmeo sema tairi kipara SanaView attachment 1854310
Uki convert kwa rate kuja kwa kibongo inagonga 800M+ kabla ya kodi! Ukiwaweka TRA inafika 1.5BKwenye Bei umetudanganya mzeeView attachment 1854211