Diamond Platnumz atua na Rolls Royce 2021

Diamond Platnumz atua na Rolls Royce 2021

Hyo picha we umeitoa wapi, ni gari gani hii....tunaomba picha nzima ya gari yake sio huu ujinga wa picha umeokoteleza Kwa wapuuzi akina carry mastory
Watu wachawi sana, ukiangalia post original tyre zote mpya kabisaa.. watu wanezidisha kukalia 🖕🖕🖕 sana
 
Mliosema oh Dogo muongo hana hela semeni jingine! Kampuni kama WASAFI MEDIA uwe na shares 45% ushindwe kununua gari ya billion moja si utakuwa kichaa! Biashara inayoingiza millions za kueleweka kila siku kupitia content na matangazo like Yow! Tangazo moja tu la sauti kwa sekunde 30 linanunua IST mpya Japan kwa siku yapo mangapi?

Dogo hana hela shenziii type! Semeni jingine mtu ana endorsements kama zote kampuni kubwa tofauti bado shows na Youtube contents wanamlipa! Achen masihara..Its hard to be a hater kwa mtu kama Diamond!

Dogo ni money making genius japo aliishia form 4 truth to be said!
 
Kanunua gari ya ndoto za watu sio yake, domo anajitesa sana , amefanya Hayo yote kushindana na watu , watu ata waweza kweli?, all in all kuna wenye pesa zaidi yake akae akijua hilo... na akiendekeza sifa za kijinga watammaliza, watu hawapendi stepz zake
Pole sana
 
Back
Top Bottom