Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Wale lialia wa jamhuri ya Twitter wanasemaje wakati v8 hazikua zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo issues tairi, kwa zero km manake kiwandani to bandari to Mbezi beach.........basi sawa.Sasa ile tairi unaielezaje kwa zero km?
Wanasema ni feki. Ya kichinaWale lialia wa jamhuri ya Twitter wanasemaje wakati v8 hazikua zao
Sio mbayaWanasema ni feki. Ya kichina
Wako hivyo na kijiba cha roho ya kinyongoliloUnajua watanzania wana kaufala fulani hivi
Hahahha et Rolce Royce Feki kummmmk, hivi kuna m UK feki uliskia wapi??? How can you fake a Car?Kuna watu wanataka kupasuka kwa chuki na jamaa...aendelee kuwanyoosha kama rula...
GashozWanaume wanazidi kupungua duniani,
Changes hii hatari..
From Man to....
Ile umesikia ni ya 2021 na hii uliyoweka hapa ni 2020Kwenye Bei umetudanganya mzeeView attachment 1854211
Watu wachawi sana, ukiangalia post original tyre zote mpya kabisaa.. watu wanezidisha kukalia 🖕🖕🖕 sanaHyo picha we umeitoa wapi, ni gari gani hii....tunaomba picha nzima ya gari yake sio huu ujinga wa picha umeokoteleza Kwa wapuuzi akina carry mastory
Wakisema hivyo nafsi zao za kimasikini zinaridhikaHahahha et Rolce Royce Feki kummmmk, hivi kuna m UK feki uliskia wapi??? How can you fake a Car?
Wanajiona wamemuweza parking lot gari zilizopaki thamani yake inaweza kumlisha mwijaku na ukoo wake mpaka wanazikwa bila kufanya kazi yeyote😂😂😂Wakisema hivyo nafsi zao za kimasikini zinaridhika
Hahahahah af Mondi alivyokuwa na dharau anakwambia raha ya gari bwana iwe yako 😂😂😂 sasa unaanzaje kushindana na mtu kama huyu?
Nunua lako lenye rangi nzuriGari lina Rangi mbaya
Hahahaha mawe anayo kweliKwa sisi car enthusiasts tunasema mjinga ana mawe. Hongera zake
Bila shaka dada mkuu yuko bize LA kutafuta RRs ambazo ni Uber
Mange ni mpuuzi tu sadist wa karneMange kashika akili za watu 😀😀
Pole sanaKanunua gari ya ndoto za watu sio yake, domo anajitesa sana , amefanya Hayo yote kushindana na watu , watu ata waweza kweli?, all in all kuna wenye pesa zaidi yake akae akijua hilo... na akiendekeza sifa za kijinga watammaliza, watu hawapendi stepz zake