relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,336
- 5,217
mbona rangi yake kama imepigiwa sidodats whats Up
View attachment 1853215
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona rangi yake kama imepigiwa sidodats whats Up
View attachment 1853215
Mna ufwala mwingi sana ,P Square,Fally Ipupa,Koffi wanamiliki zamani tu,hjawaongelea kina Wizy na Tekno tena zamani sana.Diamond platinumz amedhihirisha Hilo kwa kununua Roll Royce Cullinan 2021 yenye thamani ya Zaid ya 2b.
Hatua hii kubwa inamfanya kuwa msanii mkubwa mwenye ndinga Kali akiungana na DAVIDO mwenye Roll Royce.
Wasanii we ye Rolls Royce Africa ni wawili tu Diamond platinumz na Davido.
DON'T HATE AND BE INSPIRED [emoji120][emoji123]
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Cdm kwisha habari yenu na ilo gogo lenu fara, uzuri watu wamemjibu huko, mara, rogo, sasa yupo na diamond puuzi tu kama bavicha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata Yanga tuna Scania Iriza mpya kabisaBig Congratulations kwa SIMBA !
FungukaKuna kitu kizuri cha kujifunza kupitia diamond platinumz....
😀😀😀😀😀
Potelea pote.. kuliko sisi hatuna kitu na usiku tunalala na nzi na kuguni.Halafu usiku analala chini na joka kubwa
Na ndo cha msingi kuimba wanaimba hata wa ngoma za asili😂😂Mwenzake anajua kutafuta hela.
😂😂😂😂
Cannabliss😊Cannibis
Ni tata kama la simbaHata Yanga tuna Scania Iriza mpya kabisa
Sasa ile tairi unaielezaje kwa zero km?We endelea kuto kuamnini, ila ukweli mnaujua.
Mimi hata sijui kwa nini nasubiria mwisho wa huu mtanage wa hii gari liwe feki basi tu nitafurahi🤣🤣🤣.Wabongo na chuki za kishamba bana dah hawakosi neno
Roho ya korosho kmmmk likiwa fake we unapata relief ganiMimi hata sijui kwa nini nasubiria mwisho wa huu mtanage wa hii gari liwe feki basi tu nitafurahi🤣🤣🤣.