Diamond Platnumz atua na Rolls Royce 2021

Diamond Platnumz atua na Rolls Royce 2021

Diamond platinumz amedhihirisha Hilo kwa kununua Roll Royce Cullinan 2021 yenye thamani ya Zaid ya 2b.

Hatua hii kubwa inamfanya kuwa msanii mkubwa mwenye ndinga Kali akiungana na DAVIDO mwenye Roll Royce.

Wasanii we ye Rolls Royce Africa ni wawili tu Diamond platinumz na Davido.

DON'T HATE AND BE INSPIRED [emoji120][emoji123]

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hao ni haters achana nao bhana

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mna ufwala mwingi sana ,P Square,Fally Ipupa,Koffi wanamiliki zamani tu,hjawaongelea kina Wizy na Tekno tena zamani sana.
Hawana kelele.
Kama Kweli kajitahidi👏👏
 
Kimeumana huku daah

Bongo nuksi

IMG-20210714-WA0192.jpg
 
Mimi
😂😂😂😂

Kwa mimi uelewa wangu mdogo kutokana kua petrol head wa kuunga unga nnacho elewa hio gari ni luxury suv so matairi yanayotumika kwenye gari yanakua sio ya offroad bali ya special for tarmac roads

Anavosema sijui gari sio mpya inaweza isiwe lakini bado si chini ya milion 800 huko

Hata kwa akili ya kuunga unga tu watanzania hata kama kweli lingekua used mtu anunue gari la billioni ashindwe kununua tairi mpaka zichakae ???
 
Back
Top Bottom