Diamond Platnumz atua na Rolls Royce 2021

Wanapendeza sana kama couple pia wana chemistry kubwa kuliko wote waliowahi kuwa nao na kuwa na watoto pamoja kuwaongeza bond between them kuwa kubwa. Also DP is trying his best to be close to those kids.

Hata diamond nae pale kanasa, sijui linampaga manini.. usema lina guu tamu 😋😋😋 akivaaga na kile kikuuu nabaki nameza mate tu.. sijui ndani kama yamo yaliyomo.. ila paka toto la tandale linaendeleza libeneke ujue moto upo mle
 
Wanapendeza sana kama couple pia wana chemistry kubwa kuliko wote waliowahi kuwa nao na kuwa na watoto pamoja kuwaongeza bond between them kuwa kubwa. Also DP is trying his best to be close to those kids.
Kuhusu kids 100%. Sema inaonekana wamekubalia kuishi ile wanaita mahusion open.. hakuna kubanana banaa.. sidhani kama mondi anakaa siku zote bila kukinukisha na hata kwa zari ngumu kukaa mda wote bila kukiwashaa.. ila wanaendana sana.. licha ya hivyo Zari chombo
 
😂😂😂😂😂 Imekuingia mpaka kwenye utumbo mpana leo
 
Dah! Hapo chini kuna jina Simba!!
Lakini hawa team mondi ni utopolo sana [emoji3][emoji3][emoji3], team mondi walitakiwa wote kuwa utopolo ili washangilie magari pamoja na utopolo wenzao.
[emoji1787]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Anaipa "value" brand yake..Asiinekane cheap..Promota majalala huwezi mfuata kwa show za kuunga unga..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Warumi mbona kama umekasirika.please usinitukane tu.
 
Kwa hyo naww ungekua nalo ila unaogopa unaangaliwa step zako we unahangaika na nafsi mkuu tatizo sio watu kua na hela zaidi yake main issue ni katoa hela kanunua wewe unayesema sio ndoto yake unanishangaza kama ww ndio ndoto yake unamsemea

I feel sad kwa hizi akili zako za kikongwe
Unamuonya mtu asinunue gari kwa sababu watu watammaliza cha kusikitisha zaidi haupo karibu na mtu alienunua hata ukiambiwa utaje mmoja anayemwangalia hujui poor you
Its sad kua hater
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…