BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Wanapendeza sana kama couple pia wana chemistry kubwa kuliko wote waliowahi kuwa nao na kuwa na watoto pamoja kuwaongeza bond between them kuwa kubwa. Also DP is trying his best to be close to those kids.
Hata diamond nae pale kanasa, sijui linampaga manini.. usema lina guu tamu 😋😋😋 akivaaga na kile kikuuu nabaki nameza mate tu.. sijui ndani kama yamo yaliyomo.. ila paka toto la tandale linaendeleza libeneke ujue moto upo mle