Kwa Mnagangwa niliona wana usalama wakitimua mbio baada ya bomu kulipuka😁😁😁😁Kwenye usalama wa nambari 1hakuna mazoea na kujuana.
Unafikiri alietega bomu kwenye jukwaa la Mnangagwa alikuwa mgeni machoni pa wenye dhamana ya ulinzi.
Yale ya Ghandi kuipuiwa na bomu la kwenye mkanda ilikuwa mambo kama hayo ya Mondi.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16],kuna tamasha huko dodoma?
Oooh okay!Tena la wasanii 200 +
Alijiona yeye mkubwa alitaka aende pale kwa magufuli akawaimbishe pale kina kikwete [emoji23]Kwenye usalama wa nambari 1hakuna mazoea na kujuana.
Unafikiri alietega bomu kwenye jukwaa la Mnangagwa alikuwa mgeni machoni pa wenye dhamana ya ulinzi.
Yale ya Ghandi kulipuliwa na bomu la kwenye mkanda ilikuwa mambo kama hayo ya Mondi.
HaswaaaaahHalafu kaimba vibaya na ma play-back yake. Kiba kaimba vizuri sana. Konde boy pia kaimba vizuri.
Diamond kapayuka payuka tu.
Au Mwinyi na ule uzee aruke sebene la "woyo woyo woyo" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alijiona yeye mkubwa alitaka aende pale kwa magufuli akawaimbishe pale kina kikwete [emoji23]