Diamond Platnumz aumbuka, azuiwa kupanda Jukwaa Kuu

Ata kapicha bac...
 
Huyu diamond hata atakopokuwa anataka kuingia mbinguni atakutana na mkono unaomzuia kama huo uliomzuia leo
 
Hivi na weweee kweli unataka nchi iwe na vichwa vya kiropokajii kwa misingi ya kujenga taifa ....Too bad unakazia ety watz waoga muoga mwenyewe sisi tunaijoy maisha ..Ukitaka stochastic equilibration huwez ipata duniani kotee ni kwa Mungu
 
Sio haki kuingilia utashi wao, usiwanyanyase mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…