Ata kapicha bac...Wakati akiendelea kutumbuiza bwana mondi alitaka ashuke jukwaa lake aende kupanda jukwaa la wenye nchi, kufika ngazini kakutana na kono la baunsa mwenye shati la kijani kampiga stopu ikabidi azuge akaenda kupanda jukwaa la makada wa kawaida na kuendeleza mbwembwe zake.
Kweli hata ujione uko juu vipi kuna mipaka. Naona kitendo icho kimemvunja munkari sana mondi mwenyewe alijiona VVIP kokote anapita.
Aisee utasababisha innocent dependent agome kula chakula cha usiku kwa hasira 🤣Diamond umeniangusha sana leo shabiki yako. Nilitegemea makubwa toka kwako.
You mean bongo fleva inapendwa ?Ccm inapendwa sana na watu wa rika zote
Hasa na wajinga wajingaYou mean bongo fleva inapendwa ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had mbavu zinauma lolInamaana hakumuona Bashite ambaye ni mlezi wake alivyotimuliwa kabisa na kuambiwa akakae kwenye vumbi na wagogo wengine?
Weeee 😩 😩 😩 😩 😩Inamaana hakumuona Bashite ambaye ni mlezi wake alivyotimuliwa kabisa na kuambiwa akakae kwenye vumbi na wagogo wengine?
Sema watz wengi waoga sana wa mabadiliko, halafu wengi hawatambui haki zao.
Nchi hii ingekuwa na vichwa kumi kama Lisu kila mkoa, ujinga na unyanyasi wa ccm dhidi ya Raia ungekomeshwa mapema sana.
Watz mmezidi unyonge na uoga ndio maana mnachezewa sharabu kila siku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi wanavyokodoaga macho kwa mbwembwee nikajua majasiri kumbe hakuna loloteKwa Mnagangwa niliona wana usalama wakitimua mbio baada ya bomu kulipuka[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sio haki kuingilia utashi wao, usiwanyanyase mkuuKinachonichekeshe watu hawataongelea hoja wataongelea wasanii na Mambo ya mitama.
Kinaniuuma vibarua wangu wamebebwa na malori ya CCM kwa ahadi ya 10,000 na tishirt na kofia. Kesho wakirudi ntawaambie waende kuomba kazi CCM kwani tayar uniform wanazo.
Hongereni CCM kwa fiesta nzuri ila clouds mnawaweka kwenye wakati mgumu kibiashara.
Hahahah cha ajabu hapo tyuuuh.Halafu kuna mtu anakwambua wale wauza mahindi sio usalama..
Kama mondi haweza kumsogelea mkuu wauza mahindi ndio wataruhusiwa??