Diamond Platnumz aumbuka, azuiwa kupanda Jukwaa Kuu

Diamond Platnumz aumbuka, azuiwa kupanda Jukwaa Kuu

Ccm wanachofanya katika uchaguzi huu ni sawa na demu kajifungia bafuni tena la nje halina hata bati alafu anamwambia mwanaume aliye nje " utawezaa". Huku akimning'izia dume chupi yake nje.
Sema watz wengi waoga sana wa mabadiliko, halafu wengi hawatambui haki zao.

Nchi hii ingekuwa na vichwa kumi kama Lisu kila mkoa, ujinga na unyanyasi wa ccm dhidi ya Raia ungekomeshwa mapema sana.

Watz mmezidi unyonge na uoga ndio maana mnachezewa sharabu kila siku.
 
Kinachonichekeshe watu hawataongelea hoja wataongelea wasanii na Mambo ya mitama.

Kinaniuuma vibarua wangu wamebebwa na malori ya CCM kwa ahadi ya 10,000 na tishirt na kofia. Kesho wakirudi ntawaambie waende kuomba kazi CCM kwani tayar uniform wanazo.

Hongereni CCM kwa fiesta nzuri ila clouds mnawaweka kwenye wakati mgumu kibiashara.
Ccm inapendwa sana na watu wa rika zote
 
Acha uongo ni watu wachumia tumbo tu ndio wanaipenda ccm na hata hao wasanii wapo hapo kwa ajili ya kipato na ukiona watu wamejaa kwenye huo uwanja jua kuwa wameenda kwa ajili ya show za wasanii...
Huoni watu walivyojaa leo kwenye ufunguzi wao wa kampeni.

20200826_105250.jpg
 
Ikawaje akapona aiseee, bomu halikutegwa vizuri hilo
Naona timing ya mlipuaji ilikuwa mbovu!Bomu lilikuwa dogo kiasi kwamba mlengwa alitakiwa awe on the spot wakati linalipuliwa!Lakini hesabu zao hazikwenda sawa kwanimlemgwa alikuwa hayuko kwenye zone tarajiwa!
Walinzi wa Rais bomu lilipukia jirani na miguu yao,acha wachomoke spidi😁😁😁,Hussein Bolt cha mtoto!
 
Naona timing ya mlipuaji ilikuwa mbovu!Bomu lilikuwa dogo kiasi kwamba mlengwa alitakiwa awe on the spot wakati linalipuliwa!Lakini hesabu zao hazikwenda sawa kwanimlemgwa alikuwa hayuko kwenye zone tarajiwa!
Walinzi wa Rais bomu lilipukia jirani na miguu yao,acha wachomoke spidi[emoji16][emoji16][emoji16],Hussein Bolt cha mtoto!
Next time watege boom lao vizuri, hawa madikteta wa afrika wanastahili kulipuliwa.
 
Ccm wanachofanya katika uchaguzi huu ni sawa na demu kajifungia bafuni tena la nje halina hata bati alafu anamwambia mwanaume aliye nje " utawezaa". Huku akimning'izia dume chupi yake nje.
🤣🤣🤣🤣Hatarii
 
Back
Top Bottom