Diamond platnumz aweka record mpya Afrika

Diamond platnumz aweka record mpya Afrika

Trend sasa ni ngada hizi nyingine ni zeze. Bad timing. Ila kuna watu mnalipwa kwa kazi ya kuandika thread na kukoment kwa id zaidi ya 20 za mtu mmoja.
Kiba kapumzika mziki tena.... Naona hamna jipya... Mwaka sasa..
 
Trend sasa ni ngada hizi nyingine ni zeze. Bad timing. Ila kuna watu mnalipwa kwa kazi ya kuandika thread na kukoment kwa id zaidi ya 20 za mtu mmoja.
hao madogo nadhani ni madansa wa diamond kutafuta tu kiki .wanadhani wapo insta huku watudanganye
 
Yaani we we bhana unabisha hadi ukweli
ukweli gani? unajua tupo jf home of great thinkers sawa? tuweke ushabiki pembeni.
vevo africa ina wasanii wangapi? weka idadi?
na viewers wao ndani ya siku tano ni wangapi kwa kila mmoja? tuanzie hapo shida ipo wapi mbona blah blah sana
 
Meanwhile kule Kupumuliwa avenue...
Sisi hatutaki kujionyesha ndio maana tumekataa interviews kibao huko majuu.
 
Ndugu zangu wenye timu zenu kuweni wapole kwa muda huu wakati list inaendelea kutajwa msije kukumbiana maana Paulo hana undugu kabisa awamu ya tatu lazima kambi zenu zipigwe kibiriti.
 
Kuwa mshabiki wa ali kiba ni kujitafutia ugonjwa wa moyo msanii mwaka mzima nyimbo moja, yaani utasema ndio anaanza music sasa hajui hata kupromote kazi zake sema amejitahidi kidogo kwenye tembo. Mzee wa kuna vitu sivielewielewe......
 
Kwa mwaka 2017mpaka sasa....diamond show 1gabon AFCON.....Kibakuli show 1perugina pub DODOMA....so mi naona wako sawa maana wote wamefanya show moja tangia mwaka uanze!
 
Kesho alipoti sentro ajibu mashitaka anamiliki unga
 
Back
Top Bottom