Ndiyo maana kuna mwingine alivaa mask ili asijulikane, nia kumdharirisha mtu pale.Ninacho wapa lawama Clouds media ni kumhoji mtu aliye lewa halafu mambo binafsi kwakweli aliyo kuwa ana yaongea yalikuwa hayana tija!
Kwan mungu na bnadamu wapo sawa?Kwa hiyo na sisi tunamkosea Mungu asitusamehe km kuna makosa ya moyo tunafanya
Binadam hajakamilika ndugu kuna leo na kesho
Kwahiyo nani anamfyatua huyo mamake diamond sikuhizi?? Anafyatuliwa palepale kwa diamond au akitaka kufyatuliwa anaomba day out ya kwenda lodge??Ila pamoja na hayo, Diamond can do better kwa bana yake. Kimuonekano hayuko sawa, eidha ni alcoholic au anabwia.
Pia alikiri kuwa hajaonana na mwanae toka enzi Diamond kaenda kumtambulisha Wema. Na mpaka sasa hajatambulishwa kwa mjukuu wake, kadai anatumiwa mihamala kiasi, ila mawasiliano ya ana kwa ana hayapo, kamuomba mwanae asimtupe kiasi hicho. Kwa haya maelezo na jinsi anavyoonekana, kuna mambo mengi hayako sawa kati yao watatu, diamond, mama diamond na baba diamond.
Kwahivyo mama diamond alikuwa anachapwa nao au??
Kwenye U Heard Soudy Brown yuko na Baba yake Diamond Platnumz Abdul Juma akielezea mkasa mzima uliosababisha akaikimbia familia yake kipindi wanaishi wote.
Baada ya kuulizwa kwanini aliikimbia familia Baba Dimond anasema “niliondoka kwao kama saa tisa usiku, ogopa sana mboga yako umeipika alafu hujui nani kakuwekea chumvi..lakini ukija kujua mtu aliyekuwekea ni hasira”
Jambo gani ambalo limewahikuongelewa kwa Diamond na likamchukiza? “Watu wanaposema kuwa Diamond hanisaidii.. wakati mimi ananisaidia, sasa hivi nikitembea watu wananinyooshea vidole kuwa natembea pekupeku.. mimi najisikia simple “
U HEARD FEB 5
umeongea point.tatizo mizee ya hivi inakeraga sana,hasa wanapojitokeza baada ya kuona mtoto aliyemtelekeza kipindi ambacho mtoto anauhitaji hasa wa mapenzi ya baba(akiwa kinda),amekuwa na mafanikio!hii inanipa picha kwamba laiti huyu mtoto asingefanikiwa na kuendelea kuwa majalala kama enzi hizo maana yake ni kwamba utelekezaji ungeendelea tu,toka utoto mpk ukubwani.
hili ni somo zuri sana kwa wanaume/wanawake wanaotelekeza watoto pasi na kuanticipate potentiality ya iko kiumbe huko mbeleni...uzuri fundisho limekuja kupitia superstar ili hadhira kubwa ijifunze kupitia kinachoendelea kati ya chibu na mdingi wake. Yaani mtu wa hivi kumsamehe kiroho safi(kumsafia nia) ni ngumu sana maana utakuwa unafikiria kuwa hili limdingi limejirudi baada ya kuona now I am somebody in this world,vyenginevo asingejirudi huyu,so unahisi kabisa huyu hajaja kwa sababu eti amekuwa na mapenzi ya dhati kwa mwanawe kwa sasa la hasha,bali mafanikio ndo yametengeneza mahaba kwa mwanawe!hatari sana hii.
Mkuu kwani baba yake diamond yuko wapi mbona naskia sio huyo et baba yake yuko arusha? Au ni redio za mbao naskia yuko mto wa mbu nd ni tajiri na anauwezo sana .Diamond mwisho wake mbaya sana atakuja juta amzarauye babaye maisha yake ni kama tone la maji huwezi kujua mapenzi ya baba yako na mama yako yaliingia dosari gani kwa mwanaume mwenye akili hayo mambo usiyaingilie unatakiwa uyakwepe usukubali kujumuishwa humo inahitaji akili sana sababu ni rahisi sana kwa mama kumwaminisha mtoto mabaya ya baba yake kuliko baba kumwaminisha mtoto
Mimi mwenyewe sijui hizi mambo za waswahili mkuuMkuu kwani baba yake diamond yuko wapi mbona naskia sio huyo et baba yake yuko arusha? Au ni redio za mbao naskia yuko mto wa mbu nd ni tajiri na anauwezo sana .
KAbisa kabisa rudi kwa baba yako Diamond umtunze inavyosatahili kutokana na mapato yako> Km unaweza saidia watu baki sembuse baba yako. Jifunze kwa Christiano Ronaldo nadhani. Mama yake alitaka toa mimba yake lakini hajaweka kinyongo anamtunza mama yake kama kawa!Nimeona interview ya clouds tv na mzee platnumz, kweli jamaa kachoka. Huyu ni baba yake na mwanamuziki matata nchini Diamond Platnumz.
Kama alikukosea wewe na mama yako, mbona ameshasema mumsamehe? Bila ya yeye Diamond asingekuwa alivyo sasa. Hivyo inatakiwa Diamond awe na moyo mkubwa wa kusamehe mtu ambaye ameshaomba kusamehewa. Binadamu tuna mapungufu na ni ujasiri ulioje kukubali kuwa umekosa na kuomba kusamehewa. Diamond ni kioo cha jamii, awe na moyo wa kusamehe. Pia kwa Queen Darlin, baba yenu kawaomba msamaha wote. Msaidieni. Nadhani kwa kiasi fulani anaweza akawa mtu wa 'sembe'.
P.s: Sikujua kama Diamond na Queen Darlin ni mtu na dada yake. Wanashea baba, tena huyu aliyehojiwa na Clouds Tv Weekend chat.
Apeleke DNA test results kwanza huyo Mzee Abdul sio anataka kubambikiwa mtoto kilazima....sio mwanae yule..Nimeona interview ya clouds tv na mzee platnumz, kweli jamaa kachoka. Huyu ni baba yake na mwanamuziki matata nchini Diamond Platnumz.
Kama alikukosea wewe na mama yako, mbona ameshasema mumsamehe? Bila ya yeye Diamond asingekuwa alivyo sasa. Hivyo inatakiwa Diamond awe na moyo mkubwa wa kusamehe mtu ambaye ameshaomba kusamehewa. Binadamu tuna mapungufu na ni ujasiri ulioje kukubali kuwa umekosa na kuomba kusamehewa. Diamond ni kioo cha jamii, awe na moyo wa kusamehe. Pia kwa Queen Darlin, baba yenu kawaomba msamaha wote. Msaidieni. Nadhani kwa kiasi fulani anaweza akawa mtu wa 'sembe'.
P.s: Sikujua kama Diamond na Queen Darlin ni mtu na dada yake. Wanashea baba, tena huyu aliyehojiwa na Clouds Tv Weekend chat.
Siku wakiTUSUA na HAWA BABA ZAO Ndipo WATAKAPOJITOKEZA.Nimeona interview ya clouds tv na mzee platnumz, kweli jamaa kachoka. Huyu ni baba yake na mwanamuziki matata nchini Diamond Platnumz.
Kama alikukosea wewe na mama yako, mbona ameshasema mumsamehe? Bila ya yeye Diamond asingekuwa alivyo sasa. Hivyo inatakiwa Diamond awe na moyo mkubwa wa kusamehe mtu ambaye ameshaomba kusamehewa. Binadamu tuna mapungufu na ni ujasiri ulioje kukubali kuwa umekosa na kuomba kusamehewa. Diamond ni kioo cha jamii, awe na moyo wa kusamehe. Pia kwa Queen Darlin, baba yenu kawaomba msamaha wote. Msaidieni. Nadhani kwa kiasi fulani anaweza akawa mtu wa 'sembe'.
P.s: Sikujua kama Diamond na Queen Darlin ni mtu na dada yake. Wanashea baba, tena huyu aliyehojiwa na Clouds Tv Weekend chat.
Leeni kwanza watoto wenu
Kwenye U Heard Soudy Brown yuko na Baba yake Diamond Platnumz Abdul Juma akielezea mkasa mzima uliosababisha akaikimbia familia yake kipindi wanaishi wote.
Baada ya kuulizwa kwanini aliikimbia familia Baba Dimond anasema “niliondoka kwao kama saa tisa usiku, ogopa sana mboga yako umeipika alafu hujui nani kakuwekea chumvi..lakini ukija kujua mtu aliyekuwekea ni hasira”
Jambo gani ambalo limewahikuongelewa kwa Diamond na likamchukiza? “Watu wanaposema kuwa Diamond hanisaidii.. wakati mimi ananisaidia, sasa hivi nikitembea watu wananinyooshea vidole kuwa natembea pekupeku.. mimi najisikia simple “
U HEARD FEB 5
Kuna watu wengine sijui mnadhani kuna binadamu wanaroho ya KIMUNGU.NGONO MLIFANYA WENYEW LEENI WATOTO WENU.Msisubiri wakifanikiwa ndo mjitokeze.Mnasema tu UNAFIKI MTUPU.Hamjui UCHUNGU HUU.Nimeona interview ya clouds tv na mzee platnumz, kweli jamaa kachoka. Huyu ni baba yake na mwanamuziki matata nchini Diamond Platnumz.
Kama alikukosea wewe na mama yako, mbona ameshasema mumsamehe? Bila ya yeye Diamond asingekuwa alivyo sasa. Hivyo inatakiwa Diamond awe na moyo mkubwa wa kusamehe mtu ambaye ameshaomba kusamehewa. Binadamu tuna mapungufu na ni ujasiri ulioje kukubali kuwa umekosa na kuomba kusamehewa. Diamond ni kioo cha jamii, awe na moyo wa kusamehe. Pia kwa Queen Darlin, baba yenu kawaomba msamaha wote. Msaidieni. Nadhani kwa kiasi fulani anaweza akawa mtu wa 'sembe'.
P.s: Sikujua kama Diamond na Queen Darlin ni mtu na dada yake. Wanashea baba, tena huyu aliyehojiwa na Clouds Tv Weekend chat.
Diamond mwisho wake mbaya sana atakuja juta amzarauye babaye maisha yake ni kama tone la maji huwezi kujua mapenzi ya baba yako na mama yako yaliingia dosari gani kwa mwanaume mwenye akili hayo mambo usiyaingilie unatakiwa uyakwepe usukubali kujumuishwa humo inahitaji akili sana sababu ni rahisi sana kwa mama kumwaminisha mtoto mabaya ya baba yake kuliko baba kumwaminisha mtoto
Dahacha akipate cha moto,ubaba hauishii kumwaga sperms tu,ubaba ni malezi,kama baba hakuwepo pindi diamond anamuhitaji the most,why diamond awepo kwenye maisha ya baba yake now?Diamond hakuna kurudi nyuma na kumsamehe siyo lazima umsaidie
gosh!!!!!!!!!!Hata mimi hiyo interview nimeiangalia Baba wa Diamond anasema wazi mwanae ana msaidia na hana tatizo nae kabisa!
Haya mambo media ina ya kuza sana ..!
Nimekerwa sana na kitendo cha Clouds kwenda kumhoji mtu aliye kuwa amelewa na anaonekana kabisa na sijui lengo lao ni nini? Mimi naamini kabisa sasa wamepitiliza sana!