Diamond platnumz, baba ni baba tu, rudi kwa baba yako

Diamond platnumz, baba ni baba tu, rudi kwa baba yako

Ninacho wapa lawama Clouds media ni kumhoji mtu aliye lewa halafu mambo binafsi kwakweli aliyo kuwa ana yaongea yalikuwa hayana tija!
Ndiyo maana kuna mwingine alivaa mask ili asijulikane, nia kumdharirisha mtu pale.
 
Ila pamoja na hayo, Diamond can do better kwa bana yake. Kimuonekano hayuko sawa, eidha ni alcoholic au anabwia.
Pia alikiri kuwa hajaonana na mwanae toka enzi Diamond kaenda kumtambulisha Wema. Na mpaka sasa hajatambulishwa kwa mjukuu wake, kadai anatumiwa mihamala kiasi, ila mawasiliano ya ana kwa ana hayapo, kamuomba mwanae asimtupe kiasi hicho. Kwa haya maelezo na jinsi anavyoonekana, kuna mambo mengi hayako sawa kati yao watatu, diamond, mama diamond na baba diamond.
Kwahiyo nani anamfyatua huyo mamake diamond sikuhizi?? Anafyatuliwa palepale kwa diamond au akitaka kufyatuliwa anaomba day out ya kwenda lodge??
 
Let's twist this situation.. Ebu tufanye baba yake diamond ndio zari lingemwangukia na kuwa tajiri maarufu hapa Dar alafu huyo Diamond na mamake wangekuwa majalala na bado wapo Tandale, Je, huyuhuyu mazake diamond asingemwambia diamond aende kwa babake kuomba msaada?? Na je tuna hakika gani kwamba babake diamond asingemsaidia??

Lazima tujifunze, kila kitu kinatokea for a reason.. Labda diamond asingekuwa hapo alipo kama angekuzwa na babake
 


Kwenye U Heard Soudy Brown yuko na Baba yake Diamond Platnumz Abdul Juma akielezea mkasa mzima uliosababisha akaikimbia familia yake kipindi wanaishi wote.

Baada ya kuulizwa kwanini aliikimbia familia Baba Dimond anasema “niliondoka kwao kama saa tisa usiku, ogopa sana mboga yako umeipika alafu hujui nani kakuwekea chumvi..lakini ukija kujua mtu aliyekuwekea ni hasira”

Jambo gani ambalo limewahikuongelewa kwa Diamond na likamchukiza? “Watu wanaposema kuwa Diamond hanisaidii.. wakati mimi ananisaidia, sasa hivi nikitembea watu wananinyooshea vidole kuwa natembea pekupeku.. mimi najisikia simple “

U HEARD FEB 5
Kwahivyo mama diamond alikuwa anachapwa nao au??
 
Hii ya kutelekeza watoto na mama Kisha maisha yakikuendea vibaya unaanza kutafuta huruma kwa watu, ili urudi ktk Familia iliyostawi!!! Kizee kama hicho unapiga mapanga ya kikurya....... Unataka kuanza kumtomasa tomasa bimkubwa???
 
tatizo mizee ya hivi inakeraga sana,hasa wanapojitokeza baada ya kuona mtoto aliyemtelekeza kipindi ambacho mtoto anauhitaji hasa wa mapenzi ya baba(akiwa kinda),amekuwa na mafanikio!hii inanipa picha kwamba laiti huyu mtoto asingefanikiwa na kuendelea kuwa majalala kama enzi hizo maana yake ni kwamba utelekezaji ungeendelea tu,toka utoto mpk ukubwani.

hili ni somo zuri sana kwa wanaume/wanawake wanaotelekeza watoto pasi na kuanticipate potentiality ya iko kiumbe huko mbeleni...uzuri fundisho limekuja kupitia superstar ili hadhira kubwa ijifunze kupitia kinachoendelea kati ya chibu na mdingi wake. Yaani mtu wa hivi kumsamehe kiroho safi(kumsafia nia) ni ngumu sana maana utakuwa unafikiria kuwa hili limdingi limejirudi baada ya kuona now I am somebody in this world,vyenginevo asingejirudi huyu,so unahisi kabisa huyu hajaja kwa sababu eti amekuwa na mapenzi ya dhati kwa mwanawe kwa sasa la hasha,bali mafanikio ndo yametengeneza mahaba kwa mwanawe!hatari sana hii.
umeongea point.
Kwani kitendo cha kumsamee si kumwambia nimekusamee...sasa swala la kumjali na kumshirikisha kila jambo la kifamilia ni issue nyingine. Huyu mzee inaonekana hana nia njema kwa mwanae...njaa ndo imemrudisha kwa mwanae.
Nakushari Diamond msaidie pale utakapoona moyo wako unautayari ila sio kusikiliza maneno ya media.
Huyu mzee anazingua sana na akizidi kukuchafua kwenye media mchimbe hata mkwara.
 
Diamond amewahi kuimba kuwa huyu mzee alimkataa..sasa Kama alimkataa lini amegundua ni mwanae???..Kama ni hivyo huyu mzee hakuwahi kumkosea diamond bali alimkosea mama wa diamond.. Sasa anamlilia nn kijana wa watu
 
Diamond mwisho wake mbaya sana atakuja juta amzarauye babaye maisha yake ni kama tone la maji huwezi kujua mapenzi ya baba yako na mama yako yaliingia dosari gani kwa mwanaume mwenye akili hayo mambo usiyaingilie unatakiwa uyakwepe usukubali kujumuishwa humo inahitaji akili sana sababu ni rahisi sana kwa mama kumwaminisha mtoto mabaya ya baba yake kuliko baba kumwaminisha mtoto
Mkuu kwani baba yake diamond yuko wapi mbona naskia sio huyo et baba yake yuko arusha? Au ni redio za mbao naskia yuko mto wa mbu nd ni tajiri na anauwezo sana .
 
Mkuu kwani baba yake diamond yuko wapi mbona naskia sio huyo et baba yake yuko arusha? Au ni redio za mbao naskia yuko mto wa mbu nd ni tajiri na anauwezo sana .
Mimi mwenyewe sijui hizi mambo za waswahili mkuu
 
Nimeona interview ya clouds tv na mzee platnumz, kweli jamaa kachoka. Huyu ni baba yake na mwanamuziki matata nchini Diamond Platnumz.
Kama alikukosea wewe na mama yako, mbona ameshasema mumsamehe? Bila ya yeye Diamond asingekuwa alivyo sasa. Hivyo inatakiwa Diamond awe na moyo mkubwa wa kusamehe mtu ambaye ameshaomba kusamehewa. Binadamu tuna mapungufu na ni ujasiri ulioje kukubali kuwa umekosa na kuomba kusamehewa. Diamond ni kioo cha jamii, awe na moyo wa kusamehe. Pia kwa Queen Darlin, baba yenu kawaomba msamaha wote. Msaidieni. Nadhani kwa kiasi fulani anaweza akawa mtu wa 'sembe'.

P.s: Sikujua kama Diamond na Queen Darlin ni mtu na dada yake. Wanashea baba, tena huyu aliyehojiwa na Clouds Tv Weekend chat.
KAbisa kabisa rudi kwa baba yako Diamond umtunze inavyosatahili kutokana na mapato yako> Km unaweza saidia watu baki sembuse baba yako. Jifunze kwa Christiano Ronaldo nadhani. Mama yake alitaka toa mimba yake lakini hajaweka kinyongo anamtunza mama yake kama kawa!
 
Nimeona interview ya clouds tv na mzee platnumz, kweli jamaa kachoka. Huyu ni baba yake na mwanamuziki matata nchini Diamond Platnumz.
Kama alikukosea wewe na mama yako, mbona ameshasema mumsamehe? Bila ya yeye Diamond asingekuwa alivyo sasa. Hivyo inatakiwa Diamond awe na moyo mkubwa wa kusamehe mtu ambaye ameshaomba kusamehewa. Binadamu tuna mapungufu na ni ujasiri ulioje kukubali kuwa umekosa na kuomba kusamehewa. Diamond ni kioo cha jamii, awe na moyo wa kusamehe. Pia kwa Queen Darlin, baba yenu kawaomba msamaha wote. Msaidieni. Nadhani kwa kiasi fulani anaweza akawa mtu wa 'sembe'.

P.s: Sikujua kama Diamond na Queen Darlin ni mtu na dada yake. Wanashea baba, tena huyu aliyehojiwa na Clouds Tv Weekend chat.
Apeleke DNA test results kwanza huyo Mzee Abdul sio anataka kubambikiwa mtoto kilazima....sio mwanae yule..
 
Nimeona interview ya clouds tv na mzee platnumz, kweli jamaa kachoka. Huyu ni baba yake na mwanamuziki matata nchini Diamond Platnumz.
Kama alikukosea wewe na mama yako, mbona ameshasema mumsamehe? Bila ya yeye Diamond asingekuwa alivyo sasa. Hivyo inatakiwa Diamond awe na moyo mkubwa wa kusamehe mtu ambaye ameshaomba kusamehewa. Binadamu tuna mapungufu na ni ujasiri ulioje kukubali kuwa umekosa na kuomba kusamehewa. Diamond ni kioo cha jamii, awe na moyo wa kusamehe. Pia kwa Queen Darlin, baba yenu kawaomba msamaha wote. Msaidieni. Nadhani kwa kiasi fulani anaweza akawa mtu wa 'sembe'.

P.s: Sikujua kama Diamond na Queen Darlin ni mtu na dada yake. Wanashea baba, tena huyu aliyehojiwa na Clouds Tv Weekend chat.
Siku wakiTUSUA na HAWA BABA ZAO Ndipo WATAKAPOJITOKEZA.
 

Kwenye U Heard Soudy Brown yuko na Baba yake Diamond Platnumz Abdul Juma akielezea mkasa mzima uliosababisha akaikimbia familia yake kipindi wanaishi wote.

Baada ya kuulizwa kwanini aliikimbia familia Baba Dimond anasema “niliondoka kwao kama saa tisa usiku, ogopa sana mboga yako umeipika alafu hujui nani kakuwekea chumvi..lakini ukija kujua mtu aliyekuwekea ni hasira”

Jambo gani ambalo limewahikuongelewa kwa Diamond na likamchukiza? “Watu wanaposema kuwa Diamond hanisaidii.. wakati mimi ananisaidia, sasa hivi nikitembea watu wananinyooshea vidole kuwa natembea pekupeku.. mimi najisikia simple “

U HEARD FEB 5
Leeni kwanza watoto wenu

aU wameJIZAA WENYEWE.
 
Nimeona interview ya clouds tv na mzee platnumz, kweli jamaa kachoka. Huyu ni baba yake na mwanamuziki matata nchini Diamond Platnumz.
Kama alikukosea wewe na mama yako, mbona ameshasema mumsamehe? Bila ya yeye Diamond asingekuwa alivyo sasa. Hivyo inatakiwa Diamond awe na moyo mkubwa wa kusamehe mtu ambaye ameshaomba kusamehewa. Binadamu tuna mapungufu na ni ujasiri ulioje kukubali kuwa umekosa na kuomba kusamehewa. Diamond ni kioo cha jamii, awe na moyo wa kusamehe. Pia kwa Queen Darlin, baba yenu kawaomba msamaha wote. Msaidieni. Nadhani kwa kiasi fulani anaweza akawa mtu wa 'sembe'.

P.s: Sikujua kama Diamond na Queen Darlin ni mtu na dada yake. Wanashea baba, tena huyu aliyehojiwa na Clouds Tv Weekend chat.
Kuna watu wengine sijui mnadhani kuna binadamu wanaroho ya KIMUNGU.NGONO MLIFANYA WENYEW LEENI WATOTO WENU.Msisubiri wakifanikiwa ndo mjitokeze.Mnasema tu UNAFIKI MTUPU.Hamjui UCHUNGU HUU.
 
Diamond mwisho wake mbaya sana atakuja juta amzarauye babaye maisha yake ni kama tone la maji huwezi kujua mapenzi ya baba yako na mama yako yaliingia dosari gani kwa mwanaume mwenye akili hayo mambo usiyaingilie unatakiwa uyakwepe usukubali kujumuishwa humo inahitaji akili sana sababu ni rahisi sana kwa mama kumwaminisha mtoto mabaya ya baba yake kuliko baba kumwaminisha mtoto

We kaka wewe mwisho wake utakua mbaya we wa kwako ushauona utakuaje? Kisa cha kumuombea mwenzio mabaya ni nini?? Fact kwamba ni msanii anaejulikana doesn mean he is not human. Ana feelings tu kama binadamu wengine and bound to make mistake mwisho wa siku we all pray we get the chance to regret before it's too late. Wewe, mimi na kila mtu. Sasa kujitia Sheikh Yahaya na kuuona mwisho wa mwenzio UKOME. Im sure ungekua ushauona mwisho wako usingekaa uandike utumbo wako hapa. He helps his dad, the dad himself confessed. The rest vitakuja polepole dont force him into things you dont understand exactly why they are happening yourself. Mwisho kabisa baba yake vividly anamuombea mwanae mwisho mwema wewe kama nani ujitie kumtia nuksi..Otherwise ni mambo yao ya kifamilia vingine waachie wenyewe..
Na maumivu ya kizidi nenda kamuoe esma basi ili muwe ndugu uweze changia vizur wakakuskiliza hahahahahahahha
 
acha akipate cha moto,ubaba hauishii kumwaga sperms tu,ubaba ni malezi,kama baba hakuwepo pindi diamond anamuhitaji the most,why diamond awepo kwenye maisha ya baba yake now?Diamond hakuna kurudi nyuma na kumsamehe siyo lazima umsaidie
Dah
 
Hata mimi hiyo interview nimeiangalia Baba wa Diamond anasema wazi mwanae ana msaidia na hana tatizo nae kabisa!
Haya mambo media ina ya kuza sana ..!
Nimekerwa sana na kitendo cha Clouds kwenda kumhoji mtu aliye kuwa amelewa na anaonekana kabisa na sijui lengo lao ni nini? Mimi naamini kabisa sasa wamepitiliza sana!
gosh!!!!!!!!!!
ina maana walimfanyia interview baba akiwa kalewa?
nani aliye wapa kibali icho? hakya mama kama ndivyo diamond akawashtak. imagine inabaki kwenye archives zao for years.......hii ni nini?
 
Back
Top Bottom