Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Kwa hiyo Elon huwa anapanda commercial flights? Ala unajua maana ya mazingira ya kazi namaanisha nyenzo wezeshi elewa hilo.

Hao Lord na cheed hadi ss hv nani kafanya shows nyingi na kubwa? Nani kadumu kwa muda mrefu akiendelea kutumbuiza kwa ukubwa ule ule? Mcheck huyo cheed uwezo wake ss hv kwenye jukwaa
 
Mtu akisema kwamba Diamond hana ngoma basi nitaamini hakuna ngoma duniani. Sio kwa uzinzi kiasi kile
 
Too shit the guy is real hustler back then .

Kuishi cleanest lifestyle sio Rahisi nachojua chibu
Anavuta
Anakunywa Alcohol
And some shit stuffs
Ila hapo on top Hakuna wakumtoa
Umemuona leo akienda sijui kahama,?
Kakongoroka sana tu.
Nilikua simfatilii ila leo baada ya kusoma hapa nikafatilia.
Hali si nzuri
 
B…. Nimecheka sana!
 
Mkuu nimekua interested na hii elimu yako. Napataje haya madini?
 
Kwenye maisha ya utafutaji ukisha kuwa na umaarufu mambo Yako yakaanza kukunyookea unapata maadui wengi sana.

Siku zote Bora adui anaejionyesha kuwa yeye ni adui kuliko maadui wanao jificha kwenye mwamvuli wa urafiki.

Naseeb ni mjomba angu kabisa japo anifahamu.🤣🤣🤣

Maadui zake waliomzunguka ilikuwa ni lazima wahakikishe wanamzima Kwa aina yoyote. Na adui pia Huwa na mipango ya muda mchache ama ya muda mrefu.

Katika haya maisha

Sio Kila sherehe unayo alikwa ni lazima uende nyingine zipotezee Bora wakuone unaringa.

Sio Kila mtu ni wa kumkaribisha nyumbani kwako wengine Bora waishie nje ya geti.

Sio Kila ndugu ni mwema hivyo ni Bora ndugu zako wa kuzaliwa pengine ndio wawe karibu na wewe kuliko wajomba au watoto wao.

Dunia ya Leo imekosa upendo kabisa. Dunia ya sasa ni ya upweke watu awapendi wakuone una furaha, watu wanatamani wakuone umeanguka wakucheke...ujue hakuna mtu anafurahia mafanikio ya mtu. Ukiona mtu anafurahia mafanikio Yako ujue ana masirahi yake binafsi hivyo anaona bila wewe awezi kuishi.

Tumuombee sana huyu kijana najua mwisho wake kama asipo badilika utakuwa kama wa T.I.D ama Chidibenzi😭😭😭

Ivi unadhani clouds media ambao wana upinzani na Kila media Leo hii wasafi iwe mpinzani namba Moja wa clouds...nao clouds wachekelee...?

Walio sema wachawi siku hizi ni vijana hawakukosea kabisa...! Pole sana Naseeb Abdul...

 
Katika arguments zoooote humu, hii sasa ndio imekaa kisomi kuliko yoyote.

Hata kama kwel anatumia ila kwa mlolongo wa majukum yake ulioyadadavua hapa, nakubaliana ns wewe kwamba hiv vitu vinatosha kabisaa kumchosha mtu na kumpa fatigue ya kufa mtu.. am building a buzness myself, aisee sio mchezo..
 
Huwa wanadanganyana kwamba " ukipenga" huwezi kupata madhara kama wanao tumia unga mchafu.

Kupenga ni kutumia unga msafi grade one. Huo unga msafi grade one unatumika kwa kupenga.

Back to the topic : Kwanini wasanii wengi wanapenga? KWA sababu anakuwa ameshafanya starehe zote kasoro kupenga so anapenga ili aonekane na yeye anaenda na wakati mjanja mtoto wa mjini . Kumbe ni ufala
 
Watu humu ndani sisi ni keyboard warriors tu, hatujui hadi biashara inasimama na kuwa namba 1 kwa zaidi ya miaka 10 tena biashara ya zaidi ya mamilioni tuna ona vitu vyepesi vyepesi tu.

Biashara ikienda vibaya ni bora drugs abuse unaweza ku overcome ila biashara tena kubwa ki mtaji na mzunguko wa pesa sio suala dogo.
 
Hizi habari zinge kuwa zimetolewa na mtu wa karibu na diamond au shabik yake kindaki ndaki zinge kuwa na mashiko,ila tarifa unazitoa kwa haters wake (konde na Mange) upo serious kweli?. Wewe mwenyewe umekubali kua siyo shabiki yake so habari zake zozote mbaya utazikubali tu ata zikiwa si za kweli
 
Umemaliza kusoma thread yote au umekimbilia kucomment na wewe uonekane umesema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…