Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Diamond sio kwamba Madawa ya kulevya yanamharibu ila nikwamba mda wake umefika. Peak yake ndo imeisha sasa anaanza kudrop taratibu mpaka atabaki jina. Amini diamond platnumz akishuka atashuka na wengi sana wale wote ambao ummarafu wao unamtegemea diamond platnumz.
Ili ushuke ni lazima kuwe na mtu ambaye atakuwa top yake sasa yupi unaona amemzidi?
 
Umesoma wanazuoni wa saikolojia wanavyoelezea uraibu kamanugonjwa?

Au unaongelea kwa uzoefu wako tu na ujinga wa kukosa kujiongeza?

Si kila mtu anaweza kuwa na mental resiliency sawa, unaelewa hilo?

Na kukosa hiyo mental resiliency ndiyo sehemu ya ugonjwa wenyewe.

Unaelewa hilo?

Ukichofanya hapo ni sawa na mzungu aliyetoka Ulaya ambako hakuna Malaria halafu akaanza kuwalaumu Watanzania wanaokaa Tanzania kwenye Malaria kwa kusema kwa nini unaishi nchi yenye Malaria? Bila ya kuelewa kwamba labda yeye kwao Ulaya kuna baridi mbu hawawezi kuishi, si sawa na Tanzania ambako mbu kibao wanaishi.
Kwasababu umeniita Mimi mjinga na ninakuheshimu acha niishie hapa!

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Kama kanajipitisha na hakashei namba
Kateme kabisa sa kana ushamba
Kanapitapita tu hakashei namba
Katemea kabisa kha! Kana ushamba
Kana hu? kana u? kana hu?
Kana ushamba
Kana hu? kana u? kana hu?
Kana ushamba....

We Zombie! Haujui!!!
Na Simba la Masimba Dangotee
Eh bathi eh eh, eh eh!
Ah eh yah yah eh aiii aiii
Kibanebane mwisho kiliwe na nyenyere
Kibanebane mwisho kiliwe na nyenyere

kwamba hata Lyrics zake zina-prove 100% jamaa mteja.
 
Bora bao nililokudunga mimba mama yako angenipiga Blowjob usingesaliwa kichaa kama wewe!


Imbecile

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Shida zote hz ww haramu kisa mamako kakosa child support, ss tumia puru lako hilo kuingiza kipato umsaidie mamako atoke kimboka pale maana ajuza yule umri umeenda ss ni zamu yako ww binti kigori
 
Kwasababu umeniita Mimi mjinga na ninakuheshimu acha niishie hapa!

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Ujinga = kutojua kitu.

Kila mtu ni mjinga katika jambo fulani.

Na katika hilo, kujua kwamba mimi ni mjinga katika haya mambo na nahitaji kujielimisha ndiyo ujanja wa kumaliza huo ujinga.

Ukikataa kwamba huna ujinga katika hilo, unaendeleza ujinga badala ya kuumaliza.

Mimi ukiniona nina ujinga sehemu fulani niambie tu tuuondoe, ukitaka kuniheshimu usiniambie utakuwa huniheshimu.

Tuufute huu ujinga wa kutoelewa kwamba uraibu ni ugonjwa kama magonjwa mengine yeyote.

Uraibu ni ugonjwa sawa na magonjwa mengine.
 
Kwa hiyo Elon huwa anapanda commercial flights? Ala unajua maana ya mazingira ya kazi namaanisha nyenzo wezeshi elewa hilo.

Hao Lord na cheed hadi ss hv nani kafanya shows nyingi na kubwa? Nani kadumu kwa muda mrefu akiendelea kutumbuiza kwa ukubwa ule ule? Mcheck huyo cheed uwezo wake ss hv kwenye jukwaa
Nadhani hata wewe ukisoma hoja yako huielewi, maana yake uko kwenye ubishani siyo mjadala, kwa sababu kila nikikusoma unahama kwenye hoja yako ya msingi.

Kufanya show kubwa au ndogo, maana yake ni nini? Hii ni tofauti na hoja yako. Kwamba kutumbuiza kwa saa nyingi jukwaani ndiyo uliona ndiyo dalili ya kutotumia dawa za kulevya.

Kwa msingi wa hoja yako, show hata iwe kubwa namna gani, lakini kama itafanywa kwa dakika ishirini tu jukwaani sio kitu kwa mujibu wa hoja yako ndugu yangu.

Umeshawahi kumwona Chid Benz au TID wakitumbuiza jukwaani? Marehemu Banza Stone alikuwa anakaa jukwaani na Twanga Pepeta kwa saa ngapi?

Hivi ndugu yangu unaona kusafiri na commercial flights unaona kama vile kusafiri na roli la mizigo? Kwa sababu sikuelewi unavyohusisha shida na kusafiri kwenda Marekani.

Unamaanisha nini?

Ova
 
Nadhani hata wewe ukisoma hoja yako huielewi, maana yake uko kwenye ubishani siyo mjadala, kwa sababu kila nikikusoma unahama kwenye hoja yako ya msingi.

Kufanya show kubwa au ndogo, maana yake ni nini? Hii ni tofauti na hoja yako. Kwamba kutumbuiza kwa saa nyingi jukwaani ndiyo uliona ndiyo dalili ya kutotumia dawa za kulevya.

Kwa msingi wa hoja yako, show hata iwe kubwa namna gani, lakini kama itafanywa kwa dakika ishirini tu jukwaani sio kitu kwa mujibu wa hoja yako ndugu yangu.

Umeshawahi kumwona Chid Benz au TID wakitumbuiza jukwaani? Marehemu Banza Stone alikuwa anakaa jukwaani na Twanga Pepeta kwa saa ngapi?

Hivi ndugu yangu unaona kusafiri na commercial flights unaona kama vile kusafiri na roli la mizigo? Kwa sababu sikuelewi unavyohusisha shida na kusafiri kwenda Marekani.

Unamaanisha nini?

Ova
Em na ww toa basi hizo ishara za kuwa Diamond anatumia unga? Kingine ww unaweza fananisha mazingira ya kazi ya Diamond na Elon, mm nimetolea mfano kwa safari tu ila ww umekanyagia hapo hapo.

Au ww unadhani mazingira ya kazi ni kusafiri tu? Huwezi ku compare mazingira ya developed countries na developing countries.

Huyo Banza stone kafanya shows kubwa kuzidi Diamond? Uliwahi kuona banza anajaza viwanja ktk nchi za kigeni na watu bado wanamshangilia mwanzo mwisho?
 
Em na ww toa basi hizo ishara za kuwa Diamond anatumia unga? Kingine ww unaweza fananisha mazingira ya kazi ya Diamond na Elon, mm nimetolea mfano kwa safari tu ila ww umekanyagia hapo hapo.

Au ww unadhani mazingira ya kazi ni kusafiri tu? Huwezi ku compare mazingira ya developed countries na developing countries.

Huyo Banza stone kafanya shows kubwa kuzidi Diamond? Uliwahi kuona banza anajaza viwanja ktk nchi za kigeni na watu bado wanamshangilia mwanzo mwisho?
Hebu tubaki hapa, kwenye hili la kufanya show kubwa kuliko wasanii wote, unakuunganishaje na hoja kuu ya utumiaji wa dawa za kulevya? Hebu twende taratibu ili tuelewane.

Ova
 
Hebu tubaki hapa, kwenye hili la kufanya show kubwa kuliko wasanii wote, unakuunganishaje na hoja kuu ya utumiaji wa dawa za kulevya? Hebu twende taratibu ili tuelewane.

Ova
Energy yake kwenye stage kwa takriban miaka 10 ss ipo pale pale na haishuki na anafanya shows usiku mkubwa sana na kwa zaidi ya lisaa, sasa iweje ambao hawatumii madawa ya kulevya wanashindwa kufanya hivyo. Mfano kamcheck kiba tamasha simba day show ilivyompwaya, huyo harmonize juzi kule mtwara sauti ilikuwa inakoroma watu wakamwambie apunguze bangi, cheed pale mwanza yy na Diamond nusu saa tu alikuwa hoi na hapo Diamond alikuwa ametoka Rwanda kwenye sound check, show ya yanga pale jangwani watu anasema alikuwa ame OD au amelewa chakari lkn kaangalie energy yake kwenye stage alaf akishuka mpandishe chilla ndio utaelewa
 
Energy yake kwenye stage kwa takriban miaka 10 ss ipo pale pale na haishuki na anafanya shows usiku mkubwa sana na kwa zaidi ya lisaa, sasa iweje ambao hawatumii madawa ya kulevya wanashindwa kufanya hivyo. Mfano kamcheck kiba tamasha simba day show ilivyompwaya, huyo harmonize juzi kule mtwara sauti ilikuwa inakoroma watu wakamwambie apunguze bangi, cheed pale mwanza yy na Diamond nusu saa tu alikuwa hoi na hapo Diamond alikuwa ametoka Rwanda kwenye sound check, show ya yanga pale jangwani watu anasema alikuwa ame OD au amelewa chakari lkn kaangalie energy yake kwenye stage alaf akishuka mpandishe chilla ndio utaelewa

Unamkumbuka mwanamuziki Ammy Winehouse? Unafahamu ameishi kama mtumiaji mkubwa wa dawa za kulevya kwa muda gani kabla ya kifo chake?

Ammy alionesha tofauti kubwa katika utumbuizaji wake kwenye show yake ya mwisho kabla ya kifo chake ambako alitumbuiza kwa dakika hamsini tu.

Ambayo alionesha kuwa mwenye tatizo kubwa la kusahau sana ambapo alisahau mashairi ya nyimbo zake na hata majina ya wasanii wake. Hiyo ni show yake ya mwisho kabla ya kifo.

Ova
 
hata afya yake imekongoroka, uwezo wa kutunga umeporomoka ana flow nyimbo za matusi tu.. he is loosing mentally and physically kila siku.. in 10 years anaweza kuwa vibaya maana balaa la madawa ni kwamba the more you take the more u need it.
wanaomzunguka waache uchawa na upambe wameambie ukweli, family na ma manager wamsaidie..
vita za madawa huwez ishinda mwenyewe , amuulize Lord Eyez katokaje huko.
10yrs kote huko mkuu!
😔Mbali sana
 
Back
Top Bottom