Wewe unaongea kama ni kweli anatumia wakati nikosoma maelezo yako hayaoneshi ushahidi kwa unachoongea sababu zenyewe mnazotoa ni za kitoto sijui kakonda, mwingine anasema sijui nyimbo anazotunga, sijui kachanganyikiwa sasa mkuu wewe upunguaji? labda angekuwa ni mnene alafu angepungua sana angalau hapo, Hakuna wakati unafanya jambo la ajabu ukiwa na stress? Mwingine anasema nyimbo anazotunga now zina matusi lakini anasahau huyo huyo kaachia Zuwena na Yatapita nyimbo ambazo zina ujumbe mzuri na wala hazina matusi.
Kinachomfanya diamond achoke ni hard worker yake hapati muda mwingi wakupuumzika juzi tu kaenda kufanya show Kenya kaperform masaa ma3 jukwaani kesho yake ambaye ni jana karudi tz kaenda kufanya show kahama nakaperform masaa ma3 tena kamaliza show alfajiri akitoka hapo anarudi tena kuendelea na majukumu ya media yake na kusimamia label yake ya Wasafi hivi mnazani kuendesha vitu vingi kwa pamoja ni kazi ya kitoto? Hivi
The Undisputed hivi hawa wanaelewa hivi vitu kweli?