Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Kusafiri mara mbili kwa mwezi kwenda Marekani ni mazingira magumu? Unajua Elon anasafiri mara ngapi kwa mwezi?

Kwani Chid Benz, TID au Lord Eyez walikuwa wanatumbuiza kwa muda wa saa ngapi jukwaani? Huku wakitumia dawa za kulevya?

Ondoka kwenye fikra za kutafsiri uwezo wa kutumbuiza muda mrefu, kuwa siyo utumiaji dawa za kulevya. Iko tofauti.

Ova
Kwa hiyo Elon huwa anapanda commercial flights? Ala unajua maana ya mazingira ya kazi namaanisha nyenzo wezeshi elewa hilo.

Hao Lord na cheed hadi ss hv nani kafanya shows nyingi na kubwa? Nani kadumu kwa muda mrefu akiendelea kutumbuiza kwa ukubwa ule ule? Mcheck huyo cheed uwezo wake ss hv kwenye jukwaa
 
Naandika hii thread kwa machungu sana, hili limeniwia vigumu sana kulisema hapa, lakini imenibidi!

Siandiki nionekane nilisema, wala sipendi siku thread hii ije kufukuliwa kwamba yametimia, wala siandiki kama umbea. Hili ni suala serious juu ya kijana mwenzetu huyu maarufu pengine kuliko kijana yeyote kutokea katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya.

Ni nini kimekusibu Naseeb? Kwanini ulifikia uamuzi huo wa kutumbukia huko ulikotumbukia? Imeniumiza sana, kweli!
Mimi sio shabiki wako, ila siwezi kupinga wewe ni Icon, watu wanakutazama kama nembo ya upambanaji!
Na sidhani kama unajua wewe ni mtu mkubwa kiasi gani! Mambo mengi ambayo huwa unafanya yanathibitisha hilo, hili pia likiwemo.

Ndugu unayesoma haya, kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa masuala ya wasanii na maisha yao hasa hapa kwetu Bongo lazima utakuwa umewahi kusikia tetesi za Diamond kutumia madawa ya kulevya, mengi yamesemwa… wengi wamesema.

Alianza Harmonize kipindi wapo kwenye ‘bifu’ kali baada ya kuachana na iliyokuwa label iliyomsimamia katika safari yake ya muziki ambayo mmiliki ni Diamond, kila mtu anajua jinsi mtifuano ulivyokuwa mkali baada ya Harmonize kuondoka.
Na katika mtifuano huo ndipo Harmonize alituhabarisha kuwa Diamond ni mteja wa madawa ya kulevya, binafsi sikuamini na niliomba isiwe kweli.
Sikuamini kwakuwa katika ugomvi kila mmoja atasema lolote la kumuumiza mgomvi wake, haikuwa na mashiko sana.

‘Dada wa Taifa’ Mange nae mwaka huu amehakikisha kwa kujiamini kabisa kuwa Diamond anatumia madawa ya kulevya, amesema hivyo mara nyingi… pia sikuamini.

Sasa baada ya maneno na tuhuma hizo juu yake mimi binafsi nikaingia ‘chimbo’
Kila mmoja ana chanzo chake kikuu cha habari, hasa kwa sisi wadau wa habari zote ngumu na nyepesi…
Nikauliza ili nijihakikishie je ni kweli yanayosemwa!
Nilichoambiwa ndicho kimenifanya niandike hii thread, nilijibiwa kiufupi kabisa, “NI KWELI ANATUMIA”

Siko hapa kubishana wala kumshawishi yeyote akubaliane na chanzo changu, mimi mwenyewe ndio naujua uzito wa chanzo changu hicho nyeti. Kiufupi ni kwamba chanzo changu hiki kikiniambia kesho nitafariki naanza kabisa kutubu!

Lengo kuu ni kuongea na muhusika mkuu, Jamii Forums ni platform kubwa pengine atafikishiwa haya.

Tafadhali Naseeb, badili mwenendo. Bado hujafikia hatua mbaya, unaweza kuacha kuanzia sasa ukarudi ktk hali yako ya kawaida.
Hukuona yaliyomkuta Whitney Houston? Wewe una ukubwa gani kumzidi malkia yule wa muziki wa muda wote?

Mifano ni mingi, kwa maslahi ya Taifa tusingependa siku ifike na wewe tukutolee mfano.
Wewe ndiye unayeujua ukweli zaidi kwanini umefikia hatua hiyo, ila tafakari nafasi yako ulipo na ubadilike.

Nifah
Mtu akisema kwamba Diamond hana ngoma basi nitaamini hakuna ngoma duniani. Sio kwa uzinzi kiasi kile
 
Too shit the guy is real hustler back then .

Kuishi cleanest lifestyle sio Rahisi nachojua chibu
Anavuta
Anakunywa Alcohol
And some shit stuffs
Ila hapo on top Hakuna wakumtoa
Umemuona leo akienda sijui kahama,?
Kakongoroka sana tu.
Nilikua simfatilii ila leo baada ya kusoma hapa nikafatilia.
Hali si nzuri
 
Kusafiri mara mbili kwa mwezi kwenda Marekani ni mazingira magumu? Unajua Elon anasafiri mara ngapi kwa mwezi?

Kwani Chid Benz, TID au Lord Eyez walikuwa wanatumbuiza kwa muda wa saa ngapi jukwaani? Huku wakitumia dawa za kulevya?

Ondoka kwenye fikra za kutafsiri uwezo wa kutumbuiza muda mrefu, kuwa siyo utumiaji dawa za kulevya. Iko tofauti.

Ova
B…. Nimecheka sana!
 
Mnamuita Yesu ila Jina lake Halisi katika Elimu ya Demonolojia Anaitwa Mitele ni Demon Yenye umbo la Ndege Aina ya Tai, Umbo lake limeandikwa had huko kweny Biblia,

Ila kwasabb unasomewag Hicho kitabu na Mchungaji ambaye naye hajui Kilichomo ndani ya hicho Kitabu mnachoita Biblia bas Mnafikir Mnaabudu Mungu wa ukweli,

Ila kiuhalisia mnaabudu Demon iitwayo Mitele, Ni demon yenye Umbo la Ndege Juu na Chini Samaki,

Ndomaan nkakwambia huna ujualo kuhus Elimu ya Giza, kiufupi Mmefichwa sana huko kweny Dini zenu ila Papa wa pale vatican Anajua ukweli wote hat hayo majina niliyokutajia ambayo wew na Mchungaji wako huwez kuyajua ni majina ya nan na ni Lugha gani ?

Ila Pope wa pale Vatican anayajua hayo majina Ni ya kina nani na Hiyo Lugha pia anaijua ni Lugha gani Na hata hilo jina La "Mitele" analijua.

Sina muda wa kkuelezea vingi hapa Nitafute kwa muda wako.
Mkuu nimekua interested na hii elimu yako. Napataje haya madini?
 
Kwenye maisha ya utafutaji ukisha kuwa na umaarufu mambo Yako yakaanza kukunyookea unapata maadui wengi sana.

Siku zote Bora adui anaejionyesha kuwa yeye ni adui kuliko maadui wanao jificha kwenye mwamvuli wa urafiki.

Naseeb ni mjomba angu kabisa japo anifahamu.🤣🤣🤣

Maadui zake waliomzunguka ilikuwa ni lazima wahakikishe wanamzima Kwa aina yoyote. Na adui pia Huwa na mipango ya muda mchache ama ya muda mrefu.

Katika haya maisha

Sio Kila sherehe unayo alikwa ni lazima uende nyingine zipotezee Bora wakuone unaringa.

Sio Kila mtu ni wa kumkaribisha nyumbani kwako wengine Bora waishie nje ya geti.

Sio Kila ndugu ni mwema hivyo ni Bora ndugu zako wa kuzaliwa pengine ndio wawe karibu na wewe kuliko wajomba au watoto wao.

Dunia ya Leo imekosa upendo kabisa. Dunia ya sasa ni ya upweke watu awapendi wakuone una furaha, watu wanatamani wakuone umeanguka wakucheke...ujue hakuna mtu anafurahia mafanikio ya mtu. Ukiona mtu anafurahia mafanikio Yako ujue ana masirahi yake binafsi hivyo anaona bila wewe awezi kuishi.

Tumuombee sana huyu kijana najua mwisho wake kama asipo badilika utakuwa kama wa T.I.D ama Chidibenzi😭😭😭

Ivi unadhani clouds media ambao wana upinzani na Kila media Leo hii wasafi iwe mpinzani namba Moja wa clouds...nao clouds wachekelee...?

Walio sema wachawi siku hizi ni vijana hawakukosea kabisa...! Pole sana Naseeb Abdul...

 
Mafanikio, utajiri na umaarufu ndani na nje ya mipaka ya Tz imejenga chuki kubwa sana kwa mahasimu wake.

Huyo Mange na washirika wake kama Ali kiba, Harmonize, Hamisa wote wameungana kuichafua brand ya Diamond hili wajikuze wao. Mfano katika kila dongo la Mange kwa Diamond utakuta kuna mstari unasema, " wewe huna lolote umemzd Harmonize kimuziki tu hila Harmonize ana dude kubwa kuliko ww".
Mfano mwingine Harmonize na Hamisa wakaungana wakidhani wanamkomoa Diamond, shida ikaja mzee wa opportunity akatembea na kiki ya hamisa, sasa hv hamisa anajuta kwann alikutana.

Sasa madai yako khsu madawa ya kulevya mbona side effects hazionekani? Ata kuja mtu na akili ndogo ata akwambia sasa hv Diamond hapendezi, anasuk rasta, anaimba matusi hawezi tena kutunga. Hoja ambazo zinadhihirisha udogo wa akili zao, Diamond sio tena msanii wa Tz tu.

Wasanii wote waliobaki wanaimba kwa ajili ya Tz tu ila sio Diamond maana anasikilizwa takriban Africa nzima.
Harmonize, Ali kiba, Rayvanny hawa wote label zimewashinda, sasa kwann wasinenepe?

Rejea majukumu ya Diamond km mkurugenzi na mwanamuziki, vp hayo majukumu ukiwapa Harmonize, Ali au Mange wataweza au hivyo vitu vitakufa. Diamond shows zake tu km za wasafi anapanda kuanzia saa 9 usiku, bado anakuwa na energy ya kutosha mwanzo mwisho je harmonize, Ali au Ray wanaweza hivyo? Safari zake jumlisha shows na majukumu yake, mfano mikakati ya kutengeneza mastaa km Zuchu na akatamba Africa, je kuna msanii anaweza hilo zaidi ya Diamond?

Kazi na majukumu yake km mkurugenzi wa WCB na wasafi media ndivyo vinamkondesha Diamond mengine hayo ni chuki tu. Duniani hakuna kazi ngumu km kusimamisha biashara na ukipima ss hv Diamond ni billionaire kwa kibongo je tunajua ni nguvu na akili kiasi gani amewekeza kufika hapo? Ukitaka kujua hilo kawaulize wafanya biashara mfano wa kariakoo ni ngumu kiasi gani kusimamisha biashara na kujenga jina kwenye biashara?

Na pia ujiulize kwann Tanzania hii, Diamond ndio ambassador pekee wa kampuni tofauti tofauti na wengine ni ma influencer tu ( tofauti ya ambassador na influencer) hapo ndio utajua jamaa anatumia akili kiasi gani kuwa hapo
Katika arguments zoooote humu, hii sasa ndio imekaa kisomi kuliko yoyote.

Hata kama kwel anatumia ila kwa mlolongo wa majukum yake ulioyadadavua hapa, nakubaliana ns wewe kwamba hiv vitu vinatosha kabisaa kumchosha mtu na kumpa fatigue ya kufa mtu.. am building a buzness myself, aisee sio mchezo..
 
IMG_20231029_172133_174.jpg


Diamond anatembelea mikono na kutembelea mikono hii ni kawaida watz Miguu yetu imekonda Sana so huu sio unga
 
Huwa wanadanganyana kwamba " ukipenga" huwezi kupata madhara kama wanao tumia unga mchafu.

Kupenga ni kutumia unga msafi grade one. Huo unga msafi grade one unatumika kwa kupenga.

Back to the topic : Kwanini wasanii wengi wanapenga? KWA sababu anakuwa ameshafanya starehe zote kasoro kupenga so anapenga ili aonekane na yeye anaenda na wakati mjanja mtoto wa mjini . Kumbe ni ufala
 
Katika arguments zoooote humu, hii sasa ndio imekaa kisomi kuliko yoyote.

Hata kama kwel anatumia ila kwa mlolongo wa majukum yake ulioyadadavua hapa, nakubaliana ns wewe kwamba hiv vitu vinatosha kabisaa kumchosha mtu na kumpa fatigue ya kufa mtu.. am building a buzness myself, aisee sio mchezo..
Watu humu ndani sisi ni keyboard warriors tu, hatujui hadi biashara inasimama na kuwa namba 1 kwa zaidi ya miaka 10 tena biashara ya zaidi ya mamilioni tuna ona vitu vyepesi vyepesi tu.

Biashara ikienda vibaya ni bora drugs abuse unaweza ku overcome ila biashara tena kubwa ki mtaji na mzunguko wa pesa sio suala dogo.
 
Hizi habari zinge kuwa zimetolewa na mtu wa karibu na diamond au shabik yake kindaki ndaki zinge kuwa na mashiko,ila tarifa unazitoa kwa haters wake (konde na Mange) upo serious kweli?. Wewe mwenyewe umekubali kua siyo shabiki yake so habari zake zozote mbaya utazikubali tu ata zikiwa si za kweli
 
Hizi habari zinge kuwa zimetolewa na mtu wa karibu na diamond au shabik yake kindaki ndaki zinge kuwa na mashiko,ila tarifa unazitoa kwa haters wake (konde na Mange) upo serious kweli?. Wewe mwenyewe umekubali kua siyo shabiki yake so habari zake zozote mbaya utazikubali tu ata zikiwa si za kweli
Umemaliza kusoma thread yote au umekimbilia kucomment na wewe uonekane umesema?
 
Back
Top Bottom