The Undisputed
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 204
- 330
Nipe sasa indicators ulizoziona kutoka kwa DiamondUnamkumbuka mwanamuziki Ammy Winehouse? Unafahamu ameishi kama mtumiaji mkubwa wa dawa za kulevya kwa muda gani kabla ya kifo chake?
Ammy alionesha tofauti kubwa katika utumbuizaji wake kwenye show yake ya mwisho kabla ya kifo chake ambako alitumbuiza kwa dakika hamsini tu.
Ambayo alionesha kuwa mwenye tatizo kubwa la kusahau sana ambapo alisahau mashairi ya nyimbo zake na hata majina ya wasanii wake. Hiyo ni show yake ya mwisho kabla ya kifo.
Ova
Kwahiyo mkuu zuwena na yatapita yameandikwa na teja?kwamba hata Lyrics zake zina-prove 100% jamaa mteja.
Wabongo tunajua mtu ukijiliza sana kwenye ngoma ndio anajua ila soko la kimataifa hawakuelewi na ndio maana Marioo hajawahi fanya show nje ya mipaka ya TzKwahiyo mkuu zuwena na yatapita yameandikwa na teja?
Duhhh umenichanganya sans sihaelewaa mara umri mara ivan mara yule mtoto mara valentine mara nini duuuuh umeniacha korogweAkivuka umri alioushindwa ivan atakua na bahati sana. Chai jaba ua jeusi lilimchanganya sana hakutegemea kutoswa ndo maana hadi wa leo anamkana yule mtoto aliyesababisha valentine yake iwe ovyo.
Ustaa una gharama kubwa sana,wanaofaidi matunda yake ni watu wa pembeni ,yeye kutwa stress tupu kubuni mbinu za kubaki juu na kuongelewa daily
Tatzo la wabongo wanajua maisha ni pesa,,,,, haya huu ushauri unamsaidia nn mwamba kama labda anateseka na migogoro ya familia,kudhulumiwa,kutengwa,kuachwa,kudharauliwa, namengine???
Nipe sasa indicators ulizoziona kutoka kwa Diamond
Huna hoja na pia ungerejea pia post za nyuma.Mimi na wewe tutarudisha nyuma mjadala kama nitakubali kufanya hicho ambacho unanitaka nifanye. Kwa sababu tangu mjadala unaanza zinaelezwa.
Kama ukizitaka zirejee kwa kuzisima kwa waliotutangulia kwenye mjadala. Samahani, mimi sitazirudia kuzitaja tena hapa ndugu yangu.
Ova
Msamehe Bure mkuu kazoea mambo ya sura kitabu.
Sasa mtu amekutolea mfano wa mwanamuziki mkubwa ambaye aligundulika kutumia madawa ya kulevya mwishoni kabisa mwa taaluma na maisha yake, unaulizia indicators kwa Diamond ambaye ndio ameanza kutumia?Nipe sasa indicators ulizoziona kutoka kwa Diamond
Wewe unaongea kama ni kweli anatumia wakati nikosoma maelezo yako hayaoneshi ushahidi kwa unachoongea sababu zenyewe mnazotoa ni za kitoto sijui kakonda, mwingine anasema sijui nyimbo anazotunga, sijui kachanganyikiwa sasa mkuu wewe upunguaji? labda angekuwa ni mnene alafu angepungua sana angalau hapo, Hakuna wakati unafanya jambo la ajabu ukiwa na stress? Mwingine anasema nyimbo anazotunga now zina matusi lakini anasahau huyo huyo kaachia Zuwena na Yatapita nyimbo ambazo zina ujumbe mzuri na wala hazina matusi.Sasa mtu amekutolea mfano wa mwanamuziki mkubwa ambaye aligundulika kutumia madawa ya kulevya mwishoni kabisa mwa taaluma na maisha yake, unaulizia indicators kwa Diamond ambaye ndio ameanza kutumia?
Ndio maana ya huu uzi inapokuja sasa.
Waungwana hatutaki Diamond afikie huko, tunatoa tahadhari kabla ya mambo kuharibika… before it’s too late!
Masaaa 3 haya haya au kuna mengineWewe unaongea kama ni kweli anatumia wakati nikosoma maelezo yako hayaoneshi ushahidi kwa unachoongea sababu zenyewe mnazotoa ni za kitoto sijui kakonda, mwingine anasema sijui nyimbo anazotunga, sijui kachanganyikiwa sasa mkuu wewe upunguaji? labda angekuwa ni mnene alafu angepungua sana angalau hapo, Hakuna wakati unafanya jambo la ajabu ukiwa na stress? Mwingine anasema nyimbo anazotunga now zina matusi lakini anasahau huyo huyo kaachia Zuwena na Yatapita nyimbo ambazo zina ujumbe mzuri na wala hazina matusi.
Kinachomfanya diamond achoke ni hard worker yake hapati muda mwingi wakupuumzika juzi tu kaenda kufanya show Kenya kaperform masaa ma3 jukwaani kesho yake ambaye ni jana karudi tz kaenda kufanya show kahama nakaperform masaa ma3 tena kamaliza show alfajiri akitoka hapo anarudi tena kuendelea na majukumu ya media yake na kusimamia label yake ya Wasafi hivi mnazani kuendesha vitu vingi kwa pamoja ni kazi ya kitoto? Hivi The Undisputed hivi hawa wanaelewa hivi vitu kweli?
Kwa hiyo nyie wenyewe hamjui hizo ishara mlizoona bali mnakisia tuSasa mtu amekutolea mfano wa mwanamuziki mkubwa ambaye aligundulika kutumia madawa ya kulevya mwishoni kabisa mwa taaluma na maisha yake, unaulizia indicators kwa Diamond ambaye ndio ameanza kutumia?
Ndio maana ya huu uzi inapokuja sasa.
Waungwana hatutaki Diamond afikie huko, tunatoa tahadhari kabla ya mambo kuharibika… before it’s too late!
Mkuu unafuatilia show za Wasafi festival au umewahi kuona show yoyote ya mondi?Masaaa 3 haya haya au kuna mengine
Hayo masaa matatu anayatumia kwa mfumo upi.Mkuu unafuatilia show za Wasafi festival au umewahi kuona show yoyote ya mondi?
Anakaa kwenye stage akiimba na kucheza kwa masaa ma3 inaonesha wewe ni mgeni hujawahi kuangalia show zake Ndio Maana nashangaa mtoa mada anavyosema eti diamond anatumia madawa ya kulevyaHayo masaa matatu anayatumia kwa mfumo upi.
Ina maana wazinzi wote wana ngoma 😄Mtu akisema kwamba Diamond hana ngoma basi nitaamini hakuna ngoma duniani. Sio kwa uzinzi kiasi kile
Yeye anazaa na kila mtu ina maana hata kinga hatumiiIna maana wazinzi wote wana ngoma 😄