Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

kaimu lazima awepo lakini haimzuii yeye kutekeleza majukumu yake ya mkurugenzi
Kuna walakini hapo, au ana ulimbukeni fulani. Mtu mpaka afya yako izorote kwa kufanya kazi kama punda na uwezo wa kuajiri watu wenye weledi (management) anao na naamini wapo haiingii akilini Mkuu.
 
Tulimpoteza Ruge na mpaka sasa hatuna mtu wa aina yake. Kuna watu wanapoibuka kwenye jamii zetu hizi ambazo bado zipo nyuma ni vizuri kulindwa kama nyara za serikali.

Mtu ambaye anaweza kumsaidia Nasseb kwa haraka na kusikilizwa ni Paul Makonda!
 
Tulimpoteza Ruge na mpaka sasa hatuna mtu wa aina yake. Kuna watu wanapoibuka kwenye jamii zetu hizi ambazo bado zipo nyuma ni vizuri kulindwa kama nyara za serikali.

Mtu ambaye anaweza kumsaidia Nasseb kwa haraka na kusikilizwa ni Paul Makonda!
Mkuu, suala la kumsaidia mtuamiaji wa madawa ya kulevya linaanza na mtumiaji mwenyewe, je yuko tayari kusaidika?
Yuko tayari kuacha?
Hata Rais aingilie kati kama hana utayari wa kuacha ni kazi bure.

Mimi kwa kulijua hilo sikutaka kumlaumu yeyote aliye karibu yake ikiwemo familia. Muhusika ndio hasa anatakiwa kubadilika kwanza ndipo asaidike.
Kwa maana ya kwamba aamue mwenyewe kuacha, hili ni suala la saikolojia ya mtumiaji zaidi.
 
Kuna walakini hapo, au ana ulimbukeni fulani. Mtu mpaka afya yako izorote kwa kufanya kazi kama punda na uwezo wa kuajiri watu wenye weledi (management) anao na naamini wapo haiingii akilini
Kuna walakini hapo, au ana ulimbukeni fulani. Mtu mpaka afya yako izorote kwa kufanya kazi kama punda na uwezo wa kuajiri watu wenye weledi (management) anao na naamini wapo haiingii akilini Mkuu.
Licha ya mgt kuwepo, bado mkurugenzi ajue ni nn kilichojiri kipindi hayupo na bado atapanga nn kifanyike ili tufike wapi. Watendaji watatekeleza tu maagizo kutoka kwa uongozi wa juu na ni lazima mkurugenzi atie maono yake kwenye mikakati ya taasisi na kumbuka pia ana taasisi mbili je unatambua ni akili kiasi gani anaumiza? Lingekuwa ni duka la nguo sawa uangalizi unakuwa nafuu kwa kiasi lkn pale kumbuka kuna watu zaidi ya 100 anawalipa mishahara so lazima ajue ni nn kinaendelea
 
Mkuu, suala la kumsaidia mtuamiaji wa madawa ya kulevya linaanza na mtumiaji mwenyewe, je yuko tayari kusaidika?
Yuko tayari kuacha?
Hata Rais aingilie kati kama hana utayari wa kuacha ni kazi bure.

Mimi kwa kulijua hilo sikutaka kumlaumu yeyote aliye karibu yake ikiwemo familia. Muhusika ndio hasa anatakiwa kubadilika kwanza ndipo asaidike.
Kwa maana ya kwamba aamue mwenyewe kuacha, hili ni suala la saikolojia ya mtumiaji zaidi.
Shida ni kuwa watu mmefanalise kuwa anatumia dawa za kulevya ila side effects mnazoziona mnawataja kina cheed au Amy kwa Diamond mnabaki kusema tu amekonda, anasuka rasta, anavaa km wasanii wa mbele kuwa hana muonekano. Tutajieni na side effects mlizoziona kwa Diamond tujue tunamsaidia vp na sio kutuambia kuwa mashairi yake ya kijinga kuwa aimbi km Jaymelody
 
Naombea isiwe kweli.

Yani kuhangaika kote aje aishie humo jamani [emoji22][emoji22]
Hakuna ukweli wowote ule shida watu wanamuona km Ali kiba kuwa anaingia studio tu nakuimba yaani ni mwanamuziki tu ila wanasahau majukumu yake mengine.

Diamond anafanya muziki biashara na pia atanue wigo wake Africa na duniani sidhani km Ali kiba ana hizo ndoto maana tungeona movements zake.
 
The Undisputed
Ingekuwa ni hivyo wasanii wote wanaomiliki record label wangekuwa na afya dhoofu.

Ndo maana nilisema pia huenda pia ni limbukeni maana kama mpaka afya yako inazorota kisa majukumu sasa hicho unachokipambania utakifaidi vipi sasa ikitokea umepoteza maisha au huwezi tena kuwa na nguvu ya kutimiza hayo majukumu?

Au kuna changamoto extraordinary anazopitia ambazo wasanii wengine wanaomiliki labels hawazipitii? Kama unazifahamu itapendeza ukizitaja ili tuzijue.
 
Mfungwa wa madawa ya kulevya kwa kawaida huwa hana maamuzi yake binafsi ya kuacha maana ni mfungwa tayari!! Inahitaji afunguliwe!! Kama Platinumz atapitia post hii, namshauri amtafute mwamba wa miamba yote aitwaye YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI!!! Ampokee YESU kama BWANA na MWOKOZI wa maisha yake!! Baada ya hapo ataokoka na kuwa kiumbe kipya!! Na atapata mwongozo wa namna ya kuishi maisha baada ya hapo!! Akihitaji ushauri binafsi namkaribisha pm!! Yesu hashindwi kitu!!
 
The Undisputed
Ingekuwa ni hivyo wasanii wote wanaomiliki record label wangekuwa na afya dhoofu.

Ndo maana nilisema pia huenda pia ni limbukeni maana kama mpaka afya yako inazorota kisa majukumu sasa hicho unachokipambania utakifaidi vipi sasa ikitokea umepoteza maisha au huwezi tena kuwa na nguvu ya kutimiza hayo majukumu?

Au kuna changamoto extraordinary anazopitia ambazo wasanii wengine wanaomiliki labels hawazipitii? Kama unazifahamu itapendeza ukizitaja ili tuzijue.
Em ww kwanza anza kuthibitisha afya yake ilivyozorota, toa hizo facts kwanza
 
Mkuu, suala la kumsaidia mtuamiaji wa madawa ya kulevya linaanza na mtumiaji mwenyewe, je yuko tayari kusaidika?
Yuko tayari kuacha?
Hata Rais aingilie kati kama hana utayari wa kuacha ni kazi bure.

Mimi kwa kulijua hilo sikutaka kumlaumu yeyote aliye karibu yake ikiwemo familia. Muhusika ndio hasa anatakiwa kubadilika kwanza ndipo asaidike.
Kwa maana ya kwamba aamue mwenyewe kuacha, hili ni suala la saikolojia ya mtumiaji zaidi.
JK alimuokoa Ray C huku bado akiwa hajitambui. Kuingilia ni kutumia influence ili akubali tiba na tiba ni mambo mengi ikiwemo saikolojia. Huyo kwasasa haoni kama anaingia shimoni na jamii ikisubiri ajitambue hiyo siku haitakuja au itakuja too late.
 
JK alimuokoa Ray C huku bado akiwa hajitambui. Kuingilia ni kutumia influence ili akubali tiba na tiba ni mambo mengi ikiwemo saikolojia. Huyo kwasasa haoni kama anaingia shimoni na jamii ikisubiri ajitambue hiyo siku haitakuja au itakuja too late.
Ray C hata baada ya JK kuingilia kati alirudi kutumia tena, ni hadi alipoamua mwenyewe kuacha.
 
Nawashangaa sana watu humu, nawashangaa wote pamoja na Mleta mada nakushangaa sana...

Huyu jamaa Diamond kabeba maunga ya kutosha kuwafikishia binadamu wenzake kawaharibu, Hilo hamlioni eti Sasa mnaumia Kwa Yeye kutumia...

Mko serious ama mnatania?

Unajua ni watu wangapi keshawaua kiroho Kwa hayo matakataka alikuwa akibeba?

Mnamuhurumia mtu asiye na mipaka ya kimaadili nashangaa huu unafiki humu jukwaani Nifah
 
Naandika hii thread kwa machungu sana, hili limeniwia vigumu sana kulisema hapa, lakini imenibidi!

Siandiki nionekane nilisema, wala sipendi siku thread hii ije kufukuliwa kwamba yametimia, wala siandiki kama umbea. Hili ni suala serious juu ya kijana mwenzetu huyu maarufu pengine kuliko kijana yeyote kutokea katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya.

Ni nini kimekusibu Naseeb? Kwanini ulifikia uamuzi huo wa kutumbukia huko ulikotumbukia? Imeniumiza sana, kweli!
Mimi sio shabiki wako, ila siwezi kupinga wewe ni Icon, watu wanakutazama kama nembo ya upambanaji!
Na sidhani kama unajua wewe ni mtu mkubwa kiasi gani! Mambo mengi ambayo huwa unafanya yanathibitisha hilo, hili pia likiwemo.

Ndugu unayesoma haya, kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa masuala ya wasanii na maisha yao hasa hapa kwetu Bongo lazima utakuwa umewahi kusikia tetesi za Diamond kutumia madawa ya kulevya, mengi yamesemwa… wengi wamesema.

Alianza Harmonize kipindi wapo kwenye ‘bifu’ kali baada ya kuachana na iliyokuwa label iliyomsimamia katika safari yake ya muziki ambayo mmiliki ni Diamond, kila mtu anajua jinsi mtifuano ulivyokuwa mkali baada ya Harmonize kuondoka.

Na katika mtifuano huo ndipo Harmonize alituhabarisha kuwa Diamond ni mteja wa madawa ya kulevya, binafsi sikuamini na niliomba isiwe kweli.

Sikuamini kwakuwa katika ugomvi kila mmoja atasema lolote la kumuumiza mgomvi wake, haikuwa na mashiko sana.

‘Dada wa Taifa’ Mange nae mwaka huu amehakikisha kwa kujiamini kabisa kuwa Diamond anatumia madawa ya kulevya, amesema hivyo mara nyingi… pia sikuamini.

Sasa baada ya maneno na tuhuma hizo juu yake mimi binafsi nikaingia ‘chimbo’
Kila mmoja ana chanzo chake kikuu cha habari, hasa kwa sisi wadau wa habari zote ngumu na nyepesi…
Nikauliza ili nijihakikishie je ni kweli yanayosemwa!

Nilichoambiwa ndicho kimenifanya niandike hii thread, nilijibiwa kiufupi kabisa, “NI KWELI ANATUMIA”

Siko hapa kubishana wala kumshawishi yeyote akubaliane na chanzo changu, mimi mwenyewe ndio naujua uzito wa chanzo changu hicho nyeti. Kiufupi ni kwamba chanzo changu hiki kikiniambia kesho nitafariki naanza kabisa kutubu!

Lengo kuu ni kuongea na muhusika mkuu, Jamii Forums ni platform kubwa pengine atafikishiwa haya.

Tafadhali Naseeb, badili mwenendo. Bado hujafikia hatua mbaya, unaweza kuacha kuanzia sasa ukarudi ktk hali yako ya kawaida. Hukuona yaliyomkuta Whitney Houston? Wewe una ukubwa gani kumzidi malkia yule wa muziki wa muda wote?

Mifano ni mingi, kwa maslahi ya Taifa tusingependa siku ifike na wewe tukutolee mfano. Wewe ndiye unayeujua ukweli zaidi kwanini umefikia hatua hiyo, ila tafakari nafasi yako ulipo na ubadilike.

Nifah
 
Tukubaliane kuwa yule mama yake naye ni tatizo kubwa, hivi halioni hilo kwa mwanae? Ameweza kucontrol mangapi ya Diamond hilo limshinde? Diamond ana access na wataalamu wa kila aina angetaka wamsaidie kuishinda addiction asingeshindwa.

Diamond wa kipindi cha wema alikuwa amekonda bado kapauka pauka kiasi, Diamond wa kipindi cha Zari alikuwa ana ka mwili, anavaa smart anapendeza, akivaa suti inakaa, huyu Diamondi wa Tanasha na wa Zuchu aisee pamoja na hela zote hatazamiki, kakondeana, ngozi imevutika, ana mirasta yaani haeleweki.

Anyways: It is never too late, kama ni addict kweli bado ana nafasi ya kupona, watu wake hawawezi kumwambia ukweli yamkini wanafaidia na yeye kuwa alivyo. Na pakisambaratika kila mtu atabeba mbao zake atasambaa!

Binafsi ntasikitika sana tukimpoteza huyu kijana wa Tandale aliyefanikiwa kufika mahali ambapo wasanii wetu hawakuweza kufika, “Super star”.
 
Kusoma hujui picha huoni?

Kwani wewe mpaka unasema anakuwa hivyo kwa kutingwa na majukumu na shows hoja ilikuwa ni nini?
Mimi kusoma sijui na wala picha siioni, aya toa side effects ulizoziona kutoka kwa Diamond. Mbona kwa ray c au cheed mnatoa ila kwa Diamond mnakuwa wakali. Ww acha maneno thibitisha hoja yako kwa ushahidi au hadi na ww tukufuate kwenye app
 
Mimi kusoma sijui na wala picha siioni, aya toa side effects ulizoziona kutoka kwa Diamond. Mbona kwa ray c au cheed mnatoa ila kwa Diamond mnakuwa wakali. Ww acha maneno thibitisha hoja yako kwa ushahidi au hadi na ww tukufuate kwenye app
Si hamtaki aambiwe. Subiri afike hatua ya kama ya Chidi. Na hata akifika huko nahisi utaulizia majibu ya mkojo wake.
 
Back
Top Bottom