Tuff
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 300
- 700
Kwanza tuwekane sawa hapa, Unachopinga wewe ni kuwa hatumii au bado hayajaanza kumletea madhara, au unapinga vyote?Ndugu mbona ngenga nyingi, taja effects za drug abuse ulizoziona kwa Mond mbona unakuwa mwepesi kumkimbilia cheed, taja kwa Mond nimeona 1,2,3 na sio ngenga