Kijana hata Kipindi zilipo anza tetesi Chid benz ana bwia unga hakuna aliyekubali na watu walisema sana na ilikuwa vigimu kukubali lakini baada ya miaka mingi ya sasa kila kitu kilikuwa hadharani….Huu n mwaka wa sita km c wakumi mnaimbaga wimbo huo huo mara anatumiaa madawa mara n freemason ,mara anawala wenzie jicho ,
Ss ww dai afanye yt ww unapata tabu gan mkuu hapo ulipo ,,
Acha kupangiaa mwenye Hela zake starehee yakufanyaa..
Ni kweli haina nguvu kama chat gpt 4 lakini swali dogo kama hilo program imelijibu kwa ufasaha.ChatGpt 3.5 haina Nguvu sana ki algorism kama chatGPT4 ...
Na Bard ni bora zaidi ki Algorism kuliko ChatGpt kwa sababu ya RNN
🤣🤣 Ila umeskia imeongezewa update na feeding kutoka mwaka 2021 sept mpaka 2022Ni kweli haina nguvu kama chat gpt 4 lakini swali dogo kama hilo program imelijibu kwa ufasaha.
Najichanga nihamie chat gpt 4 haya masuala ya free.🤣🤣 Ila umeskia imeongezewa update na feeding kutoka mwaka 2021 sept mpaka 2022
Kwanini asilaumiwe mwenyewe? Kama ni kweli anatumia.Huu ni msiba wa kujitakia na sidhani kama ni rahisi kumrudisha mtu mwenye addiction ya madawa refer Chid Benz,Pauline Zongo nk naona jamaa kaamua kujimaliza mwenyewe, Walaumiwe management/familia yake kwa kutomsaidia mwanzoni tu alipoanza, kama ni kweli basi tushampoteza Guavo low budget,Ni suala la mda tu tutaanza kuambiwa pray for Guavo
Sasa huu muda wa kuandika haya wewe una utoa wapi? Kwa taarifa tuu hii si mara ya kwanza hili jambo kuja hapa…! Wanasema jambo likisemwa sana linapaswa kuangaliwa kwa jina la pili zaidi hakuna ubaya kwenye hili….! Mtoa mada kaandika jambo zuri sana na nina hakika watu wa karibu na Diamond lazima walifanyie kazi!Ni ujinga mtu kufuatilia jambo ambalo halitamnufaisha kwa namna yoyote ile.
Sikusema kama ni ushaur mbaya ila kinachonishangaza mim mtu anatoa wapi mda wa kufuatilia mambo ya watu?
Mda ni mali unapoona mtu asubuh asubuh badala kufanya mambo yake ya maana ila yeye anaamka nakuanza kufuatilia mambo yatu ujue kuna tatizo mahal.
Me sio mgeni apa jukwaani nipo kitambo sana na hii sio ID ya kwanza kutumia mara nyingi hupenda kusoma tu labda mara moja moja weekend nikiwa home siendi kazin ndo kama ivi napananikisha watu apa jukwaani
Hivi unaamini kabisa kama ni kweli anatumia madawa ataacha sababu umeandika thread humu ndani?Naandika hii thread kwa machungu sana, hili limeniwia vigumu sana kulisema hapa, lakini imenibidi!
Siandiki nionekane nilisema, wala sipendi siku thread hii ije kufukuliwa kwamba yametimia, wala siandiki kama umbea. Hili ni suala serious juu ya kijana mwenzetu huyu maarufu pengine kuliko kijana yeyote kutokea katika tasnia ya muziki kila kizazi kipya.
Ni nini kimekusibu Naseeb? Kwanini ulifikia uamuzi huo wa kutumbukia huko ulikotumbukia? Imeniumiza sana, kweli!
Mimi sio shabiki wako, ila siwezi kupinga wewe ni Icon, watu wanakutazama kama nembo ya upambanaji!
Na sidhani kama unajua wewe ni mtu mkubwa kiasi gani! Mambo mengi ambayo huwa unafanya yanathibitisha hilo, hili pia likiwemo.
Ndugu unayesoma haya, kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa masuala ya wasanii na maisha yao hasa hapa kwetu Bongo lazima utakuwa umewahi kusikia tetesi za Diamond kutumia madawa ya kulevya, mengi yamesemwa… wengi wamesema.
Alianza Harmonize kipindi wapo kwenye ‘bifu’ kali baada ya kuachana na iliyokuwa label iliyomsimamia katika safari yake ya muziki ambayo mmiliki ni Diamond, kila mtu anajua jinsi mtifuano ulivyokuwa mkali baada ya Harmonize kuondoka.
Na katika mtifuano huo ndipo Harmonize alituhabarisha kuwa Diamond ni mteja wa madawa ya kulevya, binafsi sikuamini na niliomba isiwe kweli.
Sikuamini kwakuwa katika ugomvi kila mmoja atasema lolote la kumuumiza mgomvi wake, haikuwa na mashiko sana.
‘Dada wa Taifa’ Mange nae mwaka huu amehakikisha kwa kujiamini kabisa kuwa Diamond anatumia madawa ya kulevya, amesema hivyo mara nyingi… pia sikuamini.
Sasa baada ya maneno na tuhuma hizo juu yake mimi binafsi nikaingia ‘chimbo’
Kila mmoja ana chanzo chake kikuu cha habari, hasa kwa sisi wadau wa habari zote ngumu na nyepesi…
Nikauliza ili nijihakikishie je ni kweli yanayosemwa!
Nilichoambiwa ndicho kimenifanya niandike hii thread, nilijibiwa kiufupi kabisa, “NI KWELI ANATUMIA”
Siko hapa kubishana wala kumshawishi yeyote akubaliane na chanzo changu, mimi mwenyewe ndio naujua uzito wa chanzo changu hicho nyeti. Kiufupi ni kwamba chanzo changu hiki kikiniambia kesho nitafariki naanza kabisa kutubu!
Lengo kuu ni kuongea na muhusika mkuu, Jamii Forums ni platform kubwa pengine atafikishiwa haya.
Tafadhali Naseeb, badili mwenendo. Bado hujafikia hatua mbaya, unaweza kuacha kuanzia sasa ukarudi ktk hali yako ya kawaida.
Hukuona yaliyomkuta Whitney Houston? Wewe una ukubwa gani kumzidi malkia yule wa muziki wa muda wote?
Mifano ni mingi, kwa maslahi ya Taifa tusingependa siku ifike na wewe tukutolee mfano.
Wewe ndiye unayeujua ukweli zaidi kwanini umefikia hatua hiyo, ila tafakari nafasi yako ulipo na ubadilike.
Nifah
Tumia bard wanatumia Same algorism language na ChatGPT 4..Najichanga nihamie chat gpt 4 haya masuala ya free.
Ifikie wakati tuyakomeshe .
Watu wanaumiza akili zao bwana😁😁
Tafadhali Naseeb, badili mwenendo. Bado hujafikia hatua mbaya, unaweza kuacha kuanzia sasa ukarudi ktk hali yako ya kawaida.
Hukuona yaliyomkuta Whitney Houston? Wewe una ukubwa gani kumzidi malkia yule wa muziki wa muda wote?
Wewe ni mpumbavu na isitoshe wewe ni teja mtumiaji.Mtu anapata wapi ujasiri wa kumfuatilia na kumpangia mtu maisha ya kuishi ?
Ikizingatiwa wewe sio Baba ake wala sio mama ake.?
Jiulize swali mmoja tu Kutumia kwake madawa kunaathir nin ktk maisha yako?
Ama akiwa sio mtumiaji wa madawa kunakunufaisha nin ktk maisha ya
Yaani mtu unaamka asubuh asubuh na kushusha kitabu kizima cha maneno kwa kumpangia mtu maisha ya kuishi.
Itoshe kusema kama hakuna lote unalofaidika nalo ungeacha kufatilia maisha ya watu.
Kwamba "Devil" ndio anafanya watu watumie madawa ya kulevya?Umeandika insha ndefu, lakini hujajua kuwa that nigga's soul belongs to the devil, he sacrificed his soul to the devil
Anza kwa kumuombea kwa Mungu amuondoe huko kwanza, maana kwa sasa nafsi yake ni mateka...
Kwamba "Devil" ndio anafanya watu watumie madawa ya kulevya?
Kitu ingine kinatuponza wabongo ni kukwepa gharamaTumia bard wanatumia Same algorism language na ChatGPT 4..
Sasa mkuu unakosa $20 Acha bhna
Kwanini bibi usiendee kuongea na kikongwe mwenzio Mama Dangote mkamshauri kijana?Hilo mimi nilipoanza kulisikia nikaanza kumtazama sana kwenye youtube, kuna ukweli kwenye hilo, Diamond hata kuongea kwake kumebadilika, anaongea kama teja kabisa.
Chanzo kikuu kinachowasibu hawa vijana ni kutaka kuonesha udume kwa njia yoyote ile kwenye ufuska.
Tumuombee abadilike, hakuna ataeweza kumbadili isipokuwa yeye mwenyewe. Lakini hali ni mbaya kweli, mpaka kubadilika namna ya kuongea, ni pakubwa si padogo.
Inatisha.
Sijawahi kuona Elijah mpumbavu kama wewe. Badili jina ujiite Faiza.Mtu anapata wapi ujasiri wa kumfuatilia na kumpangia mtu maisha ya kuishi ?
Ikizingatiwa wewe sio Baba ake wala sio mama ake.?
Jiulize swali mmoja tu Kutumia kwake madawa kunaathir nin ktk maisha yako?
Ama akiwa sio mtumiaji wa madawa kunakunufaisha nin ktk maisha yako.?
Yaani mtu unaamka asubuh asubuh na kushusha kitabu kizima cha maneno kwa kumpangia mtu maisha ya kuishi.
Itoshe kusema kama hakuna lote unalofaidika nalo ungeacha kufatilia maisha ya watu.
Kuna ulevi ukitumia kujitoa ni ngumu sanaa..Naandika hii thread kwa machungu sana, hili limeniwia vigumu sana kulisema hapa, lakini imenibidi!
Siandiki nionekane nilisema, wala sipendi siku thread hii ije kufukuliwa kwamba yametimia, wala siandiki kama umbea. Hili ni suala serious juu ya kijana mwenzetu huyu maarufu pengine kuliko kijana yeyote kutokea katika tasnia ya muziki kila kizazi kipya.
Ni nini kimekusibu Naseeb? Kwanini ulifikia uamuzi huo wa kutumbukia huko ulikotumbukia? Imeniumiza sana, kweli!
Mimi sio shabiki wako, ila siwezi kupinga wewe ni Icon, watu wanakutazama kama nembo ya upambanaji!
Na sidhani kama unajua wewe ni mtu mkubwa kiasi gani! Mambo mengi ambayo huwa unafanya yanathibitisha hilo, hili pia likiwemo.
Ndugu unayesoma haya, kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa masuala ya wasanii na maisha yao hasa hapa kwetu Bongo lazima utakuwa umewahi kusikia tetesi za Diamond kutumia madawa ya kulevya, mengi yamesemwa… wengi wamesema.
Alianza Harmonize kipindi wapo kwenye ‘bifu’ kali baada ya kuachana na iliyokuwa label iliyomsimamia katika safari yake ya muziki ambayo mmiliki ni Diamond, kila mtu anajua jinsi mtifuano ulivyokuwa mkali baada ya Harmonize kuondoka.
Na katika mtifuano huo ndipo Harmonize alituhabarisha kuwa Diamond ni mteja wa madawa ya kulevya, binafsi sikuamini na niliomba isiwe kweli.
Sikuamini kwakuwa katika ugomvi kila mmoja atasema lolote la kumuumiza mgomvi wake, haikuwa na mashiko sana.
‘Dada wa Taifa’ Mange nae mwaka huu amehakikisha kwa kujiamini kabisa kuwa Diamond anatumia madawa ya kulevya, amesema hivyo mara nyingi… pia sikuamini.
Sasa baada ya maneno na tuhuma hizo juu yake mimi binafsi nikaingia ‘chimbo’
Kila mmoja ana chanzo chake kikuu cha habari, hasa kwa sisi wadau wa habari zote ngumu na nyepesi…
Nikauliza ili nijihakikishie je ni kweli yanayosemwa!
Nilichoambiwa ndicho kimenifanya niandike hii thread, nilijibiwa kiufupi kabisa, “NI KWELI ANATUMIA”
Siko hapa kubishana wala kumshawishi yeyote akubaliane na chanzo changu, mimi mwenyewe ndio naujua uzito wa chanzo changu hicho nyeti. Kiufupi ni kwamba chanzo changu hiki kikiniambia kesho nitafariki naanza kabisa kutubu!
Lengo kuu ni kuongea na muhusika mkuu, Jamii Forums ni platform kubwa pengine atafikishiwa haya.
Tafadhali Naseeb, badili mwenendo. Bado hujafikia hatua mbaya, unaweza kuacha kuanzia sasa ukarudi ktk hali yako ya kawaida.
Hukuona yaliyomkuta Whitney Houston? Wewe una ukubwa gani kumzidi malkia yule wa muziki wa muda wote?
Mifano ni mingi, kwa maslahi ya Taifa tusingependa siku ifike na wewe tukutolee mfano.
Wewe ndiye unayeujua ukweli zaidi kwanini umefikia hatua hiyo, ila tafakari nafasi yako ulipo na ubadilike.
Nifah