Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Huu ni msiba wa kujitakia na sidhani kama ni rahisi kumrudisha mtu mwenye addiction ya madawa refer Chid Benz,Pauline Zongo nk naona jamaa kaamua kujimaliza mwenyewe, Walaumiwe management/familia yake kwa kutomsaidia mwanzoni tu alipoanza, kama ni kweli basi tushampoteza Guavo low budget,Ni suala la mda tu tutaanza kuambiwa pray for Guavo
 
Huu n mwaka wa sita km c wakumi mnaimbaga wimbo huo huo mara anatumiaa madawa mara n freemason ,mara anawala wenzie jicho ,

Ss ww dai afanye yt ww unapata tabu gan mkuu hapo ulipo ,,

Acha kupangiaa mwenye Hela zake starehee yakufanyaa..
Kijana hata Kipindi zilipo anza tetesi Chid benz ana bwia unga hakuna aliyekubali na watu walisema sana na ilikuwa vigimu kukubali lakini baada ya miaka mingi ya sasa kila kitu kilikuwa hadharani….
Kuna kitu hakiko sawa kwa Diamond kwa sasa hata ukimuangalia unajua kuna shida fulani….
Kama kweli hatumii basi Diamond kuna shida ya kiafya anayo lazima tukubali amepungua sana kila kukicha…..
Watu wakisema jambo lazima kuna viashiria vimeanza kuonekana…..
Muda ni mwalimu mzuri sana sana…….
Diamond ana muda wa kubadilika kama ni kweli au kushughulikia kila kinachoonekana kwa watu…
Maana hapa sote tunakubaliana kuwa Diamond ame loose weight …na inaonekana wazi shida ni nini?

Hawa watu wote wanaosema hawawezi kuwa vichaa au haters…..
Nafikiri hizi taarifa zinapaswa kufanyiwa kazi vizuri na watu wa karibu na Diamond….!
 
🤣🤣 Ila umeskia imeongezewa update na feeding kutoka mwaka 2021 sept mpaka 2022
Najichanga nihamie chat gpt 4 haya masuala ya free.
Ifikie wakati tuyakomeshe .
Watu wanaumiza akili zao bwana😁😁
 
Kwanini asilaumiwe mwenyewe? Kama ni kweli anatumia.
 
Sasa huu muda wa kuandika haya wewe una utoa wapi? Kwa taarifa tuu hii si mara ya kwanza hili jambo kuja hapa…! Wanasema jambo likisemwa sana linapaswa kuangaliwa kwa jina la pili zaidi hakuna ubaya kwenye hili….! Mtoa mada kaandika jambo zuri sana na nina hakika watu wa karibu na Diamond lazima walifanyie kazi!
 
Hivi unaamini kabisa kama ni kweli anatumia madawa ataacha sababu umeandika thread humu ndani?
 
Tafadhali Naseeb, badili mwenendo. Bado hujafikia hatua mbaya, unaweza kuacha kuanzia sasa ukarudi ktk hali yako ya kawaida.
Hukuona yaliyomkuta Whitney Houston? Wewe una ukubwa gani kumzidi malkia yule wa muziki wa muda wote?

Umeandika insha ndefu, lakini hujajua kuwa that nigga's soul belongs to the devil, he sacrificed his soul to the devil

Anza kwa kumuombea kwa Mungu amuondoe huko kwanza, maana kwa sasa nafsi yake ni mateka...
 
Wewe ni mpumbavu na isitoshe wewe ni teja mtumiaji.

Wewe unafikiri kwa nini serikali inapambana kudhibiti madawa ya kulevya kwa watu?

Kama mtu kutumia madawa ya kulevya ni "Maisha ya mtu" kwa nini serikali iingilie kati kupambana na wauzaji madawa ya kulevya?

Kwa nini isi ingilie walevi wanywa pombe?
 
Kwanini bibi usiendee kuongea na kikongwe mwenzio Mama Dangote mkamshauri kijana?
 
Sijawahi kuona Elijah mpumbavu kama wewe. Badili jina ujiite Faiza.
 
Kuna ulevi ukitumia kujitoa ni ngumu sanaa..
Nacho jua mtu yoyote anae tumia kilevi chochote for recreational purpose na Kwa kiasi (kipimo itamchukua muda sanaaa kuweza kuharibikiwa)

Hii haina ubishi uki istimulate akili Kwa Madawa uwezo wa kufikili ,akili,maarifa na upeo Huwa mkubwa na waajabu shida utaanza kuongeza mdogo mdogo mpaka unaaribikiwa Hawa watu nyuma ya pazia na mioyon mwao wamebeba vitu vingi sanaa....

Nina story ya brother angu mmoja yeye aliondoka home miaka 32 iliyo pita akawa maarufu sana na currently ana miaka 50 na ushee NDIO amekuja juzi kupatikana jamaa ni sharobaro balaa ni kama Kina Jay Z, P.diddy na Birdman
Madawa ya kulevya ni hatare sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…