Kabisa, yule anakonda na mengi huku mabeto waliokuwa wanamwita masikini yupo fire, kule zari yupo na furaha na benten wake.Zarithebosslady anamchanganya sana huyu kijana, sidhani kama ataacha hiyo kitu.
Bora wee uduguu umesemaa, kila siku najiuliza km mama ake anaweza kumu control, ndo ashindwe kwa hilii? KhaaahTukubaliane kuwa yule mama yake naye ni tatizo kubwa, hivi halioni hilo kwa mwanae? Ameweza kucontrol mangapi ya Diamond hilo limshinde? Diamond ana access na wataalamu wa kila aina angetaka wamsaidie kuishinda addiction asingeshindwa.
Diamond wa kipindi cha wema alikuwa amekonda bado kapauka pauka kiasi, Diamond wa kipindi cha Zari alikuwa ana ka mwili, anavaa smart anapendeza, akivaa suti inakaa, huyu Diamondi wa Tanasha na wa Zuchu aisee pamoja na hela zote hatazamiki, kakondeana, ngozi imevutika, ana mirasta yaani haeleweki.
Anyways: It is never too late, kama ni addict kweli bado ana nafasi ya kupona, watu wake hawawezi kumwambia ukweli yamkini wanafaidia na yeye kuwa alivyo. Na pakisambaratika kila mtu atabeba mbao zake atasambaa!
Binafsi ntasikitika sana tukimpoteza huyu kijana wa Tandale aliyefanikiwa kufika mahali ambapo wasanii wetu hawakuweza kufika, “Super star”.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona kabinti kenyewe nacho tayari kameshaanza kulamba sema ndio kapo ktk early stage.
Ndio maana hakichagui cha kuimba, mara mibuno, mala sokomeza kavukavu, mara nailamba yote.
Ni athali za madawa hizo.
Wee ni muongoo sana.Vanesa aliacha muziki kwa kuona presha ya kumaintain itamfikisha pabaya
Mobeto kwa daimond siyo habari. What's zarithebossladyKabisa, yule anakonda na mengi huku mabeto waliokuwa wanamwita masikini yupo fire, kule zari yupo na furaha na benten wake.
Kuna tofauti ya Tajiri na Wealthy. Siku vijana tunataka utajiri hili tuvimbe Ila sio kupass kwenye vizazi vijavyoBro atafanya vijana tupunguze kuhaso aisee.. tumemchukulia kama role model from zero to hero leo ifike time tuanze kumuona kawa broke atatuangusha sana kama ni kweli.
Huo ni ukweli mchungu, mwamba alianza kwenye upunda na sasa kaamua alambe kabisa, wanavyoanza wanasema wanapandisha energy wakishakua addicted ndio vile tena....
Wasi wasi wangu asije akamuharibu na kale kabinti
Boss una proof jamaa anatumia madawa?Wewe ni mpumbavu na isitoshe wewe ni teja mtumiaji.
Wewe unafikiri kwa nini serikali inapambana kudhibiti madawa ya kulevya kwa watu?
Kama mtu kutumia madawa ya kulevya ni "Maisha ya mtu" kwa nini serikali iingilie kati kupambana na wauzaji madawa ya kulevya?
Kwa nini isi ingilie walevi wanywa pombe?
Lisemwalo lipo.
Kitu kinachofanya niamini haya ni namna alivyoshindwa kuitumia nafasi nzuri alipokuwa akivuma kila pande za Africa.
Diamond alikuwa na nafasi kubwa sana ya kufanya makubwa kwenye muziki wake, alikuwa na wakina Burna Boy, Wizkid, Davido ila sasa hivi siyo wenzake tena. Sasa hivi hata watoto wa juzi tu wakina Rema wanamkimbiza kwenye muziki.
Lazima kuna tatizo.
Kwani kuna tabia ngapi watu huziacha kwa kusemwa? Watu wakisema ukaona inafaa kuacha au kuendelea hilo ni chaguo lako ….mtoa mada ametimiza wajibuHivi unaamini kabisa kama ni kweli anatumia madawa ataacha sababu umeandika thread humu ndani?
Unajua shida ya familia zetu mtu akishakuwa ana pesa na nguvu ya pesa hata kusemwa au kushauriwa inakuwa shida….Mama yake anachojali ni kijana wake awe single ili awe na uhakika wa kuzitumbua mali za mwanae. Akioa au kuwa kwenye mahusiano hatakua na nguvu kwenye mali za mwanae. Hivyo nguvu nyingi anawekeza kuvunja mahusiano yoyote serious ya jaba
Kuna sehemu nimetaja mond anatumia madawa?Boss una proof jamaa anatumia madawa?
Anastahali pongezi kwa alipofika ila ukitoa mafanikio yake kifedha kwenye muziki wake alifikia hatua ambayo angeweza kufanya makubwa zaidi ila ni kama akapotea kwa kufanya muziki wa nyumbani zaidi.Tajir unataka Mondi awe kama Burna boy au wizkid ... Jamaa amepambana na bado anaendelea kupambana kwa nafasi yake so you have to respect that