Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Siko hapa kubishana wala kumshawishi yeyote akubaliane na chanzo changu, mimi mwenyewe ndio naujua uzito wa chanzo changu hicho nyeti. Kiufupi ni kwamba chanzo changu hiki kikiniambia kesho nitafariki naanza kabisa kutubu!
Hukua na haja ya kuandika hii aya kabisa. Lakini pia kwakua umeandika nami ninalo la kusema hapa. Kulingana na uzito wa chanzo chako cha taarifa ni imani yangu kwamba wewe unayo nafasi kubwa kukishawishi chanzo chako cha taarifa kianze utaratibu wa kumsaidia kabla ya ku address huku. Kama lengo ni kumsaidia fanya ivyo dada
 
Bro atafanya vijana tupunguze kuhaso aisee.. tumemchukulia kama role model from zero to hero leo ifike time tuanze kumuona kawa broke atatuangusha sana kama ni kweli.
Msaidieni masharti basi hakuna kitu cha shetani ni uhero sina 20 nina 30 + tumepitia hivi mivitu tukakimbia . Bado humu mtu anakushauri uwe free manson . Sikia hakuna raha yeyote ukimtumikia shetani. Bora mtoto wa hamisa amekataliwa kwenye matunda ya shetani. Maisha kuna rahisi kitu hata siku moja .

Utaona mtu anajituma kumbe kiundani analiwa kimasihara,au analawiti watoto wadogo,au mama yake mzazi ila maana ni siri unamsifia nataka niwe kama yeye . Mtu anaambia ujiweke kwenye jeneza,asioe,asiwe huru kula au kusherekea vitu,kwisha kwa hali hii unga ndio kazi kubwa
 
Umeongea point kubwa sanaa.. unaweza kuta ndani ya masaa 24 yy ana mawili tuu.
Mi naona ana fanya kazi kupitiliza inapelekea uchovu mkubwa...ukichoka sanaa usingizi hauji ndio anaamua kubust mara vinanoga.
Maisha ya watu wakubwa yana Kila namna huku anahitajika kule anahitajika,familia na ndugu wanakuhitaji,kazi nayo unatakiwa uibrandy isije ikakutupa mkono! Halafu bado Kuna ku maintain status ya umaarufu na pesa! Hili linawakaba wengi!.. mwisho vibe la stage liwe lilelile...😂
 
Maisha ya watu wakubwa yana Kila namna huku anahitajika kule anahitajika,familia na ndugu wanakuhitaji,kazi nayo unatakiwa uibrandy isije ikakutupa mkono! Halafu bado Kuna ku maintain status ya umaarufu na pesa! Hili linawakaba wengi!.. mwisho vibe la stage liwe lilelile...😂
Maisha magumu sanaa 😂😂😂
 
Kijana #DiamondPlatinumz tumeshampoteza. Hii issue ya dawa za poda ni ya muda mrefu Sana. Alidanganywa ni grade One haina madhara. Big mistake. Sasa tusibiri tu kazi ya MOLA itimie. Hawezi kutoka hadharani kuomba msaada kwa sababu ya aibu. Hali ni mbaya mno.
 
Hujanielewa kumbe!
Huyo Simba atapotea kabisa coz nyakati zake za utajiri aliopewa zimeisha!

Nini kinatokea,kinachotokea ni retreat yaani ufanye Nini pale mambo yanapokua magumu kiasi kwamba your days are numbered!?

Ni displacement reaction hufuata,sasa Kila mtu hu retreat kivyake,hao Huwa wanapata pesa na umaarufu kw mkataba fulani toka kwa yule mwenye mwanga za wa ulimwengu!!!

Nimejitahidi labda umenielewa,nikiongeza zaidi ya hapa nitakosea!!!
Yani ndio umekoroga kabisa! Bora ungeacha vilevile...
 
Akivuka umri alioushindwa ivan atakua na bahati sana. Chai jaba ua jeusi lilimchanganya sana hakutegemea kutoswa ndo maana hadi wa leo anamkana yule mtoto aliyesababisha valentine yake iwe ovyo.

Ustaa una gharama kubwa sana,wanaofaidi matunda yake ni watu wa pembeni ,yeye kutwa stress tupu kubuni mbinu za kubaki juu na kuongelewa daily
Sad
 
Hata sie wa huku porini tunaomuona kwenye mitandao tu ukifatilia mahojiano yake hivi karibuni kwenye media mbalimbali unamuona kabisa kabadilika anaongea kama anasinzia anavuta vuta kamasi, haeleweki kabisa,, hata hivyo nimeumia sana hasa kama mama,, ukiisoma hii mada ukayakumbuka ya Whitney Houston unaweza kujikuta unalia tu madawa sio kitu cha kumuombea mtu ni mabaya mno
Ukiona mpaka mimi namuonea huruma Diamond sio mchezo!
 
Back
Top Bottom