Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Shida ni kukutana na shetani daily,unadhani ni kazi rahisi,na kupewa masharti unazani ni rahisi??

SIO RAHISI lazima ajidunge, kwa harmonize ni pombe na mademu kuwala tigo ili aishi. Ustaa kasikie kwa jirani
Muheshimu Shetani walau Kidogo Binti, Shetani hawez kkutana na Kiumbe kinachoitwa Binadamu

Bahati hiyo Aliipata Mutu na Muto Basi (kama huwajui hao niliowataja Bas una safar ndefu san katik Kuyajua mambo ya Kiroho hakuna unalofaham kuhusu Shetani(Mudima Bobe).
 
Sasa huu muda wa kuandika haya wewe una utoa wapi? Kwa taarifa tuu hii si mara ya kwanza hili jambo kuja hapa…! Wanasema jambo likisemwa sana linapaswa kuangaliwa kwa jina la pili zaidi hakuna ubaya kwenye hili….! Mtoa mada kaandika jambo zuri sana na nina hakika watu wa karibu na Diamond lazima walifanyie kazi!
Acheni kujifanya washauri wazur kwa kufuatilia maisha watu mna ndugu zenu kibao mnashindwa kuwashaur mnakuja kumshaur mtu ambae hamjahusiana nae huo ni ujinga
 
Muheshimu Shetani walau Kidogo Binti, Shetani hawez kkutana na Kiumbe kinachoitwa Binadamu

Bahati hiyo Aliipata Mutu na Muto Basi (kama huwajui hao niliowataja Bas una safar ndefu san katik Kuyajua mambo ya Kiroho hakuna unalofaham kuhusu Shetani(Mudima Bobe).
Sawa ila Yesu ndio namuheshimu pekee freemanson ni basi tu hujui kuwa ni uhuru wa kuwa na shetani atakuja mahali popote saa ydyote kukusalimia nakukumbushia maagano yenu kila daily so ujue hilo. Ujue hilo soma uelewe maana ya walichoenda kufanya
 
Sibadiliki kwani kuvuta kwangu unga wewe kuna kuathiri nin ama nikiacha kuvuta unga ww utafaidika na nin ?
Utakua umeokoka nakuendeleza taifa hili la tz usidhani watu hawajawahi kuzimika tumevuta sana bangi hadi unaona hii nikawaida . Ila nilipata mwana akaona ni bora ni ubie unga nikaona huyu nikatoto fulani nikamzingua , katika maisha usiishi kimazoea ishi upendavyoo aisee . Kuvuta unga ni ushawishi wawatu fulani so kisa nini usikilize watu wakuharibu ningekubali saivi ningekuwa wapi??
 
Back
Top Bottom