Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Exposure aliyonayo Diamond kupitia mafanikio yake kimuziki na biashara shule yako ata Mara 10,000 haingii kwake. Simply Tz hii katika upande wa burudani especially bongo fleva hakuna mtu wa kumkalisha chini Diamond et amfundishe kazi.

It's not easy kuwa pale alipo Diamond na ndio maana tangia Tz imeumbwa hakuna msanii amewahi kufika alipo Diamond bali the music industry ndio inachakujifundisha kupitia Diamond.

Na wote wanamuiga mfano mfupi tu nikupe, nitajie msanii ambaye yupo active katika ukurasa wa Facebook zaidi au Kama Diamond Tz hii hakuna? Msanii akitoka wasafi mfano harmo vyombo vyote vya burudani eg clouds na efm wanamkimbilia unajua kwann? Wasanii wa wasafi wanazalisha sana pesa kupitia digital contents kachek engagement zao.

Diamond anajua how to maintain his status as the best ever East African Artist na anajua hapo America vp anajua zote the do's and don't. 95% ya music industry wa Tz wanakula kupitia Diamond iwe direct au indirect eg Mwijaku kila siku Diamond, Harmo, Hamisa, Mange mwenyewe alisha confess story za Diamond zina pesa sana kuliko ata za serikali, so tunamshusha vp? Tuchafue brand yake ila tuungane.
We jamaa yeye ana exposure kumzidi Justin Bieber ?, uraibu hauna hayo , anamzidi whitney exposure ? Anamzid exposure Lamar Odom ? Mbona hawa wote wamemzidi hela na exposure ? Justin ni Tajiri kumzid diamond Mara mia ila alitumbukia huko ikawa kisanga, vip kuhusu wayne ? Anamweza kifedha ? Sasa yale ma seizure yalimkutaje ? Mzee akienda huko anakoenda anapotea mzee huo ndio ukweli….
 
Sasa Diamond amechakaa? Em kuwa kiakili nyie ndo huwa mnasema Ommy Dimpoz anajua kuvaa kisa anavaa suti, guys mtu yyte yule akivaa suti anapendeza.

Sasa ww lini umemuona Elon Musk anatumbuiza kwa masaa zaidi ya mawili kwenye tamasha? In terms of development, Elon musk utendaji wake wa kazi una nafuu kubwa kuliko Diamond? Diamond tulimuona yupo kwenye show Mtwara hapo hapo akaenda Zanzibar akarudi tena Mtwara kwenye show, piga picha miundombinu yetu kutoka sehemu moja kwenda nyingine alaf fananisha sasa Elon Musk.

Bado hapo hajarudi kwenye nafasi yake ya ukurugenzi nadhani majukumu ya mkurugenzi unayajua, kampuni isimame na izidi kukuwa je unajua anatumia akili kiasi gani na gharama rudi tena kwenye shows zake. Usimfaninishe na Elon kwassb Elon mazingira yake ya nchi yana mrahisishia kwenye utendaji wake wa kazi kuliko Mond. Ww leo tu mwambie kusaga awe anatumbuiza kwenye matamasha kama akondi yule
Mzee unahisi kwanini wamesema Mondi wala sio wewe, Harmonize wala Marioo?
We haupo busy kwenye Shughuli zako?
Watu waliwahi kusema Unavuta Unga?
 
We jamaa yeye ana exposure kumzidi Justin Bieber ?, uraibu hauna hayo , anamzidi whitney exposure ? Anamzid exposure Lamar Odom ? Mbona hawa wote wamemzidi hela na exposure ? Justin ni Tajiri kumzid diamond Mara mia ila alitumbukia huko ikawa kisanga, vip kuhusu wayne ? Anamweza kifedha ? Sasa yale ma seizure yalimkutaje ? Mzee akienda huko anakoenda anapotea mzee huo ndio ukweli….
We jamaa ww mimi siku zote siwezi kuzifananisha nchi zilizoendelea na nchi zinazoendelea, ni vitu viwili tofauti.

Hao kina Justin wamekuwa hapo kutokana na mifumo wezeshi ya nchi sasa jiulize Diamond amekuwa hapo alipo kwa mifumo wezeshi ya nchi au mifumo yake?
 
Sasa Diamond amechakaa? Em kuwa kiakili nyie ndo huwa mnasema Ommy Dimpoz anajua kuvaa kisa anavaa suti, guys mtu yyte yule akivaa suti anapendeza.

Sasa ww lini umemuona Elon Musk anatumbuiza kwa masaa zaidi ya mawili kwenye tamasha? In terms of development, Elon musk utendaji wake wa kazi una nafuu kubwa kuliko Diamond? Diamond tulimuona yupo kwenye show Mtwara hapo hapo akaenda Zanzibar akarudi tena Mtwara kwenye show, piga picha miundombinu yetu kutoka sehemu moja kwenda nyingine alaf fananisha sasa Elon Musk.

Bado hapo hajarudi kwenye nafasi yake ya ukurugenzi nadhani majukumu ya mkurugenzi unayajua, kampuni isimame na izidi kukuwa je unajua anatumia akili kiasi gani na gharama rudi tena kwenye shows zake. Usimfaninishe na Elon kwassb Elon mazingira yake ya nchi yana mrahisishia kwenye utendaji wake wa kazi kuliko Mond. Ww leo tu mwambie kusaga awe anatumbuiza kwenye matamasha kama akondi yule
Huyo diamond unamuona kwenye tv wenzako tunabang nae mpuuzi wewe!


Wenzako tunampa ushauri "Naseeb" wewe na kichwa chako kimejaa kamasi endelea kumpa ushauri "Diamond"


Nadhani Kwa kichwa chako kilichojaa uharo wa Bata hutaelewa nilichoandika!


Kahyaba wa buguruni wewe

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Mzee unahisi kwanini wamesema Mondi wala sio wewe, Harmonize wala Marioo?
We haupo busy kwenye Shughuli zako?
Watu waliwahi kusema Unavuta Unga

Mzee unahisi kwanini wamesema Mondi wala sio wewe, Harmonize wala Marioo?
We haupo busy kwenye Shughuli zako?
Watu waliwahi kusema Unavuta Unga?
Na pia jiulize kwann kina Mwana fa na jide km sikosei walirudi clouds kuomba msamaha baada ya kufungiwa vioo alaf Daimond hakurudi ila siku hizi wanarejesha wenyewe kambi kwake.

Jibu ni rahisi tutachafua vp brand yake, msanii anaishi kutokana na brand yake ndio chanzo chake cha pesa. Sasa hapo jiulize ni kwann Harmonize hana ubalozi wowote ule wa maana na pia kwann nchi hii kwa wasanii Daimond ni balozi na nwengine ni ma influencer?

Au wewe pia unaamini Hamisa na Alikiba hawajawahi kuchafua hali ya hewa ila ni Zuchu na Diamond tu ndi huwa wanachafua
 
Huyo diamond unamuona kwenye tv wenzako tunabang nae mpuuzi wewe!


Wenzako tunampa ushauri "Naseeb" wewe na kichwa chako kimejaa kamasi endelea kumpa ushauri "Diamond"


Nadhani Kwa kichwa chako kilichojaa uharo wa Bata hutaelewa nilichoandika!


Kahyaba wa buguruni wewe

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Ww hadi unaingia kaburini huwezi kubang na Diamond labda useme kingwendu ww unampa ushauri unashindwa kujipa ww mwenyewe ushauri wa mafanikio na ww ujue nitolee makamasi yako hapa
 
We jamaa ww mimi siku zote siwezi kuzifananisha nchi zilizoendelea na nchi zinazoendelea, ni vitu viwili tofauti.

Hao kina Justin wamekuwa hapo kutokana na mifumo wezeshi ya nchi sasa jiulize Diamond amekuwa hapo alipo kwa mifumo wezeshi ya nchi au mifumo yake?
We jamaa ww mimi siku zote siwezi kuzifananisha nchi zilizoendelea na nchi zinazoendelea, ni vitu viwili tofauti.

Hao kina Justin wamekuwa hapo kutokana na mifumo wezeshi ya nchi sasa jiulize Diamond amekuwa hapo alipo kwa mifumo wezeshi ya nchi au mifumo yake?
Ishue ni kama anakula madawa ni noma mkuu, I am not a hater , this dude inspires alot of young people sawa ? Using narcotics ni tatizo mkuu hata uwe kama Jay Z , unakwenda DMX alitembea kimasihara sana. Unakumbuka the other day siku Yanga anafanya parade ya trophy ? Alishuka kwenye gari and he was drunk as hell talking to random people, that was not cool unless otherwise uniambie it was staged. Mimi binafsi sikubaliani na swala la mtu kuwa mteja, kwa hapa tz kuna kipindi chidy alikuwa juu kuliko diamond lakin saivi mkuu unaonaje ?
Anyways kama hatumii its cool, kama anatumia there is no getting out mpaka aende rehab, wengi wanaaoanzaga madawa huwa wanadhani wanaweza wakaacha kabla watu hawajajua yan huwa wanadhani ni kama kunywa pombe kumbe ni balaa..Muda ni rafiki mzuri tuombe uzima mkuu
 
Mafanikio, utajiri na umaarufu ndani na nje ya mipaka ya Tz imejenga chuki kubwa sana kwa mahasimu wake.

Huyo Mange na washirika wake kama Ali kiba, Harmonize, Hamisa wote wameungana kuichafua brand ya Diamond hili wajikuze wao. Mfano katika kila dongo la Mange kwa Diamond utakuta kuna mstari unasema, " wewe huna lolote umemzd Harmonize kimuziki tu hila Harmonize ana dude kubwa kuliko ww".
Mfano mwingine Harmonize na Hamisa wakaungana wakidhani wanamkomoa Diamond, shida ikaja mzee wa opportunity akatembea na kiki ya hamisa, sasa hv hamisa anajuta kwann alikutana.

Sasa madai yako khsu madawa ya kulevya mbona side effects hazionekani? Ata kuja mtu na akili ndogo ata akwambia sasa hv Diamond hapendezi, anasuk rasta, anaimba matusi hawezi tena kutunga. Hoja ambazo zinadhihirisha udogo wa akili zao, Diamond sio tena msanii wa Tz tu.

Wasanii wote waliobaki wanaimba kwa ajili ya Tz tu ila sio Diamond maana anasikilizwa takriban Africa nzima.
Harmonize, Ali kiba, Rayvanny hawa wote label zimewashinda, sasa kwann wasinenepe?

Rejea majukumu ya Diamond km mkurugenzi na mwanamuziki, vp hayo majukumu ukiwapa Harmonize, Ali au Mange wataweza au hivyo vitu vitakufa. Diamond shows zake tu km za wasafi anapanda kuanzia saa 9 usiku, bado anakuwa na energy ya kutosha mwanzo mwisho je harmonize, Ali au Ray wanaweza hivyo? Safari zake jumlisha shows na majukumu yake, mfano mikakati ya kutengeneza mastaa km Zuchu na akatamba Africa, je kuna msanii anaweza hilo zaidi ya Diamond?

Kazi na majukumu yake km mkurugenzi wa WCB na wasafi media ndivyo vinamkondesha Diamond mengine hayo ni chuki tu. Duniani hakuna kazi ngumu km kusimamisha biashara na ukipima ss hv Diamond ni billionaire kwa kibongo je tunajua ni nguvu na akili kiasi gani amewekeza kufika hapo? Ukitaka kujua hilo kawaulize wafanya biashara mfano wa kariakoo ni ngumu kiasi gani kusimamisha biashara na kujenga jina kwenye biashara?

Na pia ujiulize kwann Tanzania hii, Diamond ndio ambassador pekee wa kampuni tofauti tofauti na wengine ni ma influencer tu ( tofauti ya ambassador na influencer) hapo ndio utajua jamaa anatumia akili kiasi gani kuwa hapo
Naomba nikujibu kistaarabu maana unaonekana una upeo wa akili.

Hayo majukumu ndiyo yamemfanya adondokee kwenye unga, kazi na uwekezaji katika hizo biashara zake vimemzidia na suluhisho alilolichagua ndio hilo.

Sikutaka kusema mengi sababu hii haikuwa sehemu ya lawama bali a wake up call.

Kama kweli unamkubali sana jamaa tafuta namna za kumnusuru, mimi ambaye wala sio shabiki yake nimekuja hapa kumpa onyo na ombi la kubadilika, wewe tafuta njia yako.

Kila kitu kina matokeo, mazuri au mabaya yote ni matokeo. Lakini, tunaweza kuamua aina ya matokeo ya kuyapokea.

Hii thread ni serious, sio cheap stunt na sina ninachonufaika na hilo hadi nifanye hivyo.
 
Na pia jiulize kwann kina Mwana fa na jide km sikosei walirudi clouds kuomba msamaha baada ya kufungiwa vioo alaf Daimond hakurudi ila siku hizi wanarejesha wenyewe kambi kwake.

Jibu ni rahisi tutachafua vp brand yake, msanii anaishi kutokana na brand yake ndio chanzo chake cha pesa. Sasa hapo jiulize ni kwann Harmonize hana ubalozi wowote ule wa maana na pia kwann nchi hii kwa wasanii Daimond ni balozi na nwengine ni ma influencer?

Au wewe pia unaamini Hamisa na Alikiba hawajawahi kuchafua hali ya hewa ila ni Zuchu na Diamond tu ndi huwa wanachafua
Kwahiyo una amini mleta mada kaleta hii habari ili amchafue Diamond?
 
Sasa Diamond amechakaa? Em kuwa kiakili nyie ndo huwa mnasema Ommy Dimpoz anajua kuvaa kisa anavaa suti, guys mtu yyte yule akivaa suti anapendeza.

Sasa ww lini umemuona Elon Musk anatumbuiza kwa masaa zaidi ya mawili kwenye tamasha? In terms of development, Elon musk utendaji wake wa kazi una nafuu kubwa kuliko Diamond? Diamond tulimuona yupo kwenye show Mtwara hapo hapo akaenda Zanzibar akarudi tena Mtwara kwenye show, piga picha miundombinu yetu kutoka sehemu moja kwenda nyingine alaf fananisha sasa Elon Musk.

Bado hapo hajarudi kwenye nafasi yake ya ukurugenzi nadhani majukumu ya mkurugenzi unayajua, kampuni isimame na izidi kukuwa je unajua anatumia akili kiasi gani na gharama rudi tena kwenye shows zake. Usimfaninishe na Elon kwassb Elon mazingira yake ya nchi yana mrahisishia kwenye utendaji wake wa kazi kuliko Mond. Ww leo tu mwambie kusaga awe anatumbuiza kwenye matamasha kama akondi yule
Wewe jamaa mbona unaonekana una akili zako tu?
Yani unataka kusema Diamond ana majukumu kuliko tajiri wa Dunia Elon Musk?
I rest my case!
 
Ishue ni kama anakula madawa ni noma mkuu, I am not a hater , this dude inspires alot of young people sawa ? Using narcotics ni tatizo mkuu hata uwe kama Jay Z , unakwenda DMX alitembea kimasihara sana. Unakumbuka the other day siku Yanga anafanya parade ya trophy ? Alishuka kwenye gari and he was drunk as hell talking to random people, that was not cool unless otherwise uniambie it was staged. Mimi binafsi sikubaliani na swala la mtu kuwa mteja, kwa hapa tz kuna kipindi chidy alikuwa juu kuliko diamond lakin saivi mkuu unaonaje ?
Anyways kama hatumii its cool, kama anatumia there is no getting out mpaka aende rehab, wengi wanaaoanzaga madawa huwa wanadhani wanaweza wakaacha kabla watu hawajajua yan huwa wanadhani ni kama kunywa pombe kumbe ni balaa..Muda ni rafiki mzuri tuombe uzima mkuu
Ile siku ya parade la Yanga ndipo niliposhtuka na mimi, ni kama alikuwa high.
Niliogopa sana
 
Ishue ni kama anakula madawa ni noma mkuu, I am not a hater , this dude inspires alot of young people sawa ? Using narcotics ni tatizo mkuu hata uwe kama Jay Z , unakwenda DMX alitembea kimasihara sana. Unakumbuka the other day siku Yanga anafanya parade ya trophy ? Alishuka kwenye gari and he was drunk as hell talking to random people, that was not cool unless otherwise uniambie it was staged. Mimi binafsi sikubaliani na swala la mtu kuwa mteja, kwa hapa tz kuna kipindi chidy alikuwa juu kuliko diamond lakin saivi mkuu unaonaje ?
Anyways kama hatumii its cool, kama anatumia there is no getting out mpaka aende rehab, wengi wanaaoanzaga madawa huwa wanadhani wanaweza wakaacha kabla watu hawajajua yan huwa wanadhani ni kama kunywa pombe kumbe ni balaa..Muda ni rafiki mzuri tuombe uzima mkuu
Stimu ya Heroin ni mara buku ya orgasm- Sasa unadhani inaachika kiurahisi tu.

Wengine utamu wa ngono tu umetuteka ,sembuse unga?
 
Mtu anapata wapi ujasiri wa kumfuatilia na kumpangia mtu maisha ya kuishi ?
Ikizingatiwa wewe sio Baba ake wala sio mama ake.?

Jiulize swali mmoja tu Kutumia kwake madawa kunaathir nin ktk maisha yako?

Ama akiwa sio mtumiaji wa madawa kunakunufaisha nin ktk maisha yako.?

Yaani mtu unaamka asubuh asubuh na kushusha kitabu kizima cha maneno kwa kumpangia mtu maisha ya kuishi.

Itoshe kusema kama hakuna lolote unalofaidika nalo ungeacha kufatilia maisha ya watu.
Mkuu,

Na mimi nilikuwa na mawazo kama yako.

Ila pia, nikaona hii ni nafasi ya kuzungumzia tatizo la uraibu wa madawa ya kulevya kama ugonjwa katika jamii yetu.

Yani hata ukiongelea hili tatizo in the abstract tu bila kuwa too personal kwa Diamond, hayo ni mazungumzo yanayohitajika, kwa sababu anayevuma ni Diamond na madawa ya kulevya, lakini kuna watu wengi wana uraibu wa hayo madawa mpaka pombe. Wanaotuhusu na wasiotuhusu.

Pia, ni nafasi ya kuzungumzia gharama halisi za kuwa msanii maarufu, mambo ya afya ya akili, na jinsi gani tunaweza kusaidia kuandaa wasanii wetu wawe na maamuzi bora baada ya kupata umaarufu.

Waingereza wana msemo "Be careful what you wish for, you might receive it".

Ni mtihani mmoja kuushinda umasikini, kupata utajiri na umaarufu.

Ni mtihani tofauti kabisa kuweza kuishi vizuri baada ya kupata utajiri na umaarufu.

Kuna actor mmoja Mmarekani amefariki jana, anaitwa Matthew Perry, alikuwa katika show moja maarufu inaitwa "Friends" kwa miaka 10 kabla ya ku act katika shows nyingine nyingi. Alisema kuwa alifurahia umaarufu kwa miezi nane tu, baada ya hapo aliona umaarufu kuwa ni kero tupu.
 
Mkuu,

Na mimi nilikuwa na mawazo kama yako.

Ila pia, nikaona hii ni nafasi ya kuzungumzia tatizo la uraibu wa madawa ya kulevya kama ugonjwa katika jamii yetu.

Yani hata ukiongelea hili tatizo in the abstract tu bila kuwa too personal kwa Diamond, hayo ni mazungumzo yanayohitajika, kwa sababu anayevuma ni Diamond na madawa ya kulevya, lakini kuna watu wengi wana uraibu wa hayo madawa mpaka pombe. Wanaotuhusu na wasiotuhusu.

Pia, ni nafasi ya kuzungumzia gharama halisi za kuwa msanii maarufu, mambo ya afya ya akili, na jinsi gani tunaweza kusaidia kuandaa wasanii wetu wawe na maamuzi bora baada ya kupata umaarufu.

Waingereza wana msemo "Be careful what you wish for, you might receive it".

Ni mtihani mmoja kuushinda umasikini, kupata utajiri na umaarufu.

Ni mtihani tofauti kabisa kuweza kuishi vizuri baada ya kupata utajiri na umaarufu.

Kuna actor mmoja Mmarekani amefariki jana, anaitwa Matthew Perry, alikuwa katika show moja maarufu inaitwa "Friends" kwa miaka 10 kabla ya ku act katika shiws nyingine nyingi. Alisema kuwa alifurahia umaarufu kwa miezi nane tu, baada ya hapo aliona umaarufu kuwa ni kero tupu.
Asante.
 
Naandika hii thread kwa machungu sana, hili limeniwia vigumu sana kulisema hapa, lakini imenibidi!

Siandiki nionekane nilisema, wala sipendi siku thread hii ije kufukuliwa kwamba yametimia, wala siandiki kama umbea. Hili ni suala serious juu ya kijana mwenzetu huyu maarufu pengine kuliko kijana yeyote kutokea katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya.

Ni nini kimekusibu Naseeb? Kwanini ulifikia uamuzi huo wa kutumbukia huko ulikotumbukia? Imeniumiza sana, kweli!
Mimi sio shabiki wako, ila siwezi kupinga wewe ni Icon, watu wanakutazama kama nembo ya upambanaji!
Na sidhani kama unajua wewe ni mtu mkubwa kiasi gani! Mambo mengi ambayo huwa unafanya yanathibitisha hilo, hili pia likiwemo.

Ndugu unayesoma haya, kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa masuala ya wasanii na maisha yao hasa hapa kwetu Bongo lazima utakuwa umewahi kusikia tetesi za Diamond kutumia madawa ya kulevya, mengi yamesemwa… wengi wamesema.

Alianza Harmonize kipindi wapo kwenye ‘bifu’ kali baada ya kuachana na iliyokuwa label iliyomsimamia katika safari yake ya muziki ambayo mmiliki ni Diamond, kila mtu anajua jinsi mtifuano ulivyokuwa mkali baada ya Harmonize kuondoka.
Na katika mtifuano huo ndipo Harmonize alituhabarisha kuwa Diamond ni mteja wa madawa ya kulevya, binafsi sikuamini na niliomba isiwe kweli.
Sikuamini kwakuwa katika ugomvi kila mmoja atasema lolote la kumuumiza mgomvi wake, haikuwa na mashiko sana.

‘Dada wa Taifa’ Mange nae mwaka huu amehakikisha kwa kujiamini kabisa kuwa Diamond anatumia madawa ya kulevya, amesema hivyo mara nyingi… pia sikuamini.

Sasa baada ya maneno na tuhuma hizo juu yake mimi binafsi nikaingia ‘chimbo’
Kila mmoja ana chanzo chake kikuu cha habari, hasa kwa sisi wadau wa habari zote ngumu na nyepesi…
Nikauliza ili nijihakikishie je ni kweli yanayosemwa!
Nilichoambiwa ndicho kimenifanya niandike hii thread, nilijibiwa kiufupi kabisa, “NI KWELI ANATUMIA”

Siko hapa kubishana wala kumshawishi yeyote akubaliane na chanzo changu, mimi mwenyewe ndio naujua uzito wa chanzo changu hicho nyeti. Kiufupi ni kwamba chanzo changu hiki kikiniambia kesho nitafariki naanza kabisa kutubu!

Lengo kuu ni kuongea na muhusika mkuu, Jamii Forums ni platform kubwa pengine atafikishiwa haya.

Tafadhali Naseeb, badili mwenendo. Bado hujafikia hatua mbaya, unaweza kuacha kuanzia sasa ukarudi ktk hali yako ya kawaida.
Hukuona yaliyomkuta Whitney Houston? Wewe una ukubwa gani kumzidi malkia yule wa muziki wa muda wote?

Mifano ni mingi, kwa maslahi ya Taifa tusingependa siku ifike na wewe tukutolee mfano.
Wewe ndiye unayeujua ukweli zaidi kwanini umefikia hatua hiyo, ila tafakari nafasi yako ulipo na ubadilike.

Nifah
Kama daima hukuwahi kuwa mhanga wa tatizo la dawa za kulevya unaweza usione uzito ama umuhimu wa thread hii ya kuonya.

Kwa nilivyoguswa na thread hii, leo naeleza familia yangu imetikiswa na tatizo hili baada ya dada yangu kujiingiza humo.

Dada yangu, nisimtaje, naye alikuwa maarufu. Aliingiza pesa nyingi ila baada kukosana na management yake tukashtukia akitumia.

Tulifanya kosa, tulichagua iwe siri kama alivyokuwa akitaka yeye. Kumbe Ilikuwa siri ya kujimaliza, tatizo lilikua badala ya kumalizika.

Hali ikawa mbaya, ofisi yangu ikajaribu kusaidia, lakini akaacha kwa muda na akarudia tena kwa ubaya zaidi hadi akawa kama kawehuka.

Kiukweli, hakuamua kuacha kwa dhati hadi tulipoamua suala lake kuliweka wazi, kila anayemfahamu akajua hali yake.

Hiyo ikasaidia akarudi nyumbani na akatuomba mwenyewe apelekwe sober. Tunashukuru kwa sasa ameondoka katika tatizo hilo.

Ila, hasara aliyopata ni kubwa. Alikua na maduka mawili ya nguo, yalifilisika. Alikuwa na gari mbili aliuza zote na alikuwa na nyumba aliuza.

Isitoshe, aliuza vitu vyake vya ndani vyote. Akawa sifuri. Alituomba aende nje akasomee uigizaji, tumefanya hivyo na sasa yuko nje.

Kwanini thread hii ni muhimu?

Ni kwa sababu, njia ya kumsema hadharani mtu anayetumia dawa za kulevya humfanya aone uzito wa kosa lake na kuchukua hatua.

Kwa uzoefu wa dada yetu, baada ya kutoroka nyumbani, tulipoamua kumsema hadharani alirudi nyumbani na kuomba apelekwe sober.

Aliona aibu kwani ile siri aliyoomba tumfichie ilifichuka. Na ilikuwa dawa kuu iliyomsaidia kubadilika, lakini tayari dawa zilishamfilisi.

Kumfichia siri hii Nassib hakuwezi kumsaidia kuondokana na tatizo hilo hadi azomewe kama hivi hadharani, ndivyo kumsaidia.

Kama hatutamuunga mkono Nifah na tukaona kama ana chuki na Nassib, muda utaongea na tutarudi na majuto kama sisi kwa dada yetu.

Ieleweke kuwa, hakuna mtumiaji wa dawa za kulevya anayefurahia utumiaji wa dawa hizo baada ya kuathirika, ila hulazimika.

Hili janga ni kubwa zaidi ya tunavyofikiri, ila huwezi kuuona ukubwa wake hadi liingie kwenye sebule ya familia yako.

Ova
 
Back
Top Bottom