Diamond Platnumz bado ni mshamba sana

Diamond Platnumz bado ni mshamba sana

Hayo mawazo yako na chuki zako binafsi.Kwani wasanii wote waliotamba wana dance zao binafsi?

Hebu nitajie dance binafsi ya Burnaboy,Patoranking,2 face Idibia?

Eti,msanii hana jipya,hana jipya kwako,msanii na show zaidi ya 90 karibia kila mwaka,hebu nitajie wasanii watano tu Africa wenye utitiri wa show kama Diamond.

Makonda ana mchango gani katika kupeleka mziki wa Diamond mbele?

Mbona Steve Nyerere na Bongo movie kila siku wapo na Makonda lkn hamna hata mmoja aliyefikia level za Kanumba.

Wakati naanza kusoma comment yako nilitaka kuacha...Kumbe umeandika ujumbe mpana sana ningekosa Ujumbe mzuri.
 
Ndiyo wabongo mnavyodanganywa hivyo kirahisi rahisi tu mnakubali.
We jamaa inaelekea sio mfuatiliaji wa game! Ina maana umeshasahau au hufahamu Wasanii wa Kenya walivyolalamika kwenye show ya Mombasa baada ya Media za Kenya kufichua Mondi alilipwa KSH 5M wakati wasanii wa Kenya hakuna hata mmoja aliyekuwa amelipwa angalau nusu ya hiyo 5M. And man, hiyo ni 5M ya 🇰🇪 kwahiyo piga mwenyewe hesabu kwa pesa za madafu! Hadi Bodi ya Filamu ya Kenya na wenyewe wakaanza figisu kwamba Diamond analipwa pesa nyingi sana Kenya lakini hailipi kodi! Back in the days, huko huko Kenya ikatolewa orodha ya wasanii wanaolipwa mkwanja mrefu zaidi kupitia "COSOTA" ya Kenya! Hapo napo Diamond alikuwa at the top of everyone else including Kenyan Musicians! Na sio tu alikuwa on top of everyone bali pia aliwaacha mbali!

Ile kampeni yao Kenya ya last year ya PLAY KENYA na kuzuia Bongo Flavor iliwalenga akina Diamond kwa sababu wanapiga pesa ndefu Kenya kuliko Wakenya wenyewe!

Hata hapa Bongo, hivi ulishawahi kujiuliza kwanini alikuwa hapigi shows za ndani hadi ilipokuja Wasafi Festival?! In short, Promoters wa Bongo walikuwa hawafikii dau lake! Muulize Erick Shigongo atakueleza vizuri hili! Ungekuwa mfuatiliaji wa game, ungefahamu ama 2017 au 2016 Shigongo na Tale waliparuana sana! Kisa?! Malalamiko ya Shigongo kwamba Diamond anatoza pesa kubwa mno bila kujali kwamba hawatendei haki mashabiki wake wa TZ waliofanya afike hapo alipo! Malalamiko ya Shigongo yalikuja baada ya kumtaka Diamond kwenye show yake pale Dar Live, alipotajiwa price akakimbilia Instagram kulia lia! Kwa unafiki tu Shigongo akataka kuwatumia mashabiki kumbe lengo lake ni la mfanyabiasha yeyote yule!! Amlipe pesa ndogo msanii ili yeye avune maradufu!!
 
Pamoja na hayo yoooteeee hela anazopiga ni nyingi sana asee. Cjui wewe unapiga mpunga mrefu kiasi gani
 
Unaweza kuwa na hela ukawa mshamba vilevile.
The problem, kwa kuangalia maelezo yako inaonekana hata tafsiri ya ushamba huijui!

Kwa mfano, eti kila wakati anatoa nyimbo za mapenzi! Khaa! Ina maana hujui kwamba mapenzi ni one of music themes/genres na kila msanii ana theme anayoifurahia zaidi? Sasa suala la ushamba hapo linaingiaje?! Hata mfano wako kwamba dance yake ni ile ile!! Hapo napo ushamba unaingiaje?! Si bora ungesema anakosa ubunifu!

Hata ukija kwenye pullover!! Ulishawahi kujiuliza alivaa kwenye mazingira yapi hasa kwa kuzingatia what you saw was just an Instagram photo! Kuna siku kuna watu walikuwa wanatoa povu kuona Instagram video wakati jamaa anavuta sigara na cigar bila kufahamu picha kama zile wakati mwingine kama sio wote zinakuwa kwa ajili ya matangazo! "Mtu anashangaa kumuona Mondi anavuta cigar wakati mezani anaona kuna chupa ya Belaire!! Au unaweza kushangaa kumuona Diamond amevaa pullover wakati ameenda mtaani?! Au zinakusumbua swagger za kwenye stage ambazo dadazetu wanafikia kwenda hata na chupi tupu!!

Sorry kiongozi, we unaonesha wazi kwamba sio mtu wa burudani na ndo maana hata issues zinazoendana na burudani huzijui!

Huko Unyamwezini kwenyewe wala usidhani kila dressing code ya wasanii ni ili ku-adapt hali ya hewa ya huko! Mfano mzuri, angalia videos za Rap, Hipo hop and R&b za back in 1990's!

Ukiangalia hizo videos, nyingi utakuta watu wamepiga boots kubwa kweli kweli na majaketi heavy!! Ilikuwa ni rahisi sana kwetu ku-conclude kwamba walikuwa wanafanya hivyo kwa ajili ya baridi! But the question is: mbona siku hizi hatuwaoni wakiwa kwenye mabuti na majaketi mazito?! Ni kwamba cku hizi hakuna baridi au wasanii wa siku hizi hawasikii baridi! Au hiyo hiyo baridi ilikuwa inapenya kwa akina Vinny, Trech, Heavy D, Ice Cube, Wutang, Brand Nubian and the like peke yao wakati mademu kwenye same videos wapo na vichupi! Hiyo baridi ilikuwa inawa-attack wao peke yao lakini ilikuwa inawaogopa akina Michael Jackson?!

Ukitafakari ndipo utajua kwamba haya mambo have nothing to do with adapting mazingira but it's all about swagger!!
 
Hayo mambo binafsi yanaingiaje? Na mimi sijaongelea issue binafsi za Diamond nimeongelea fani yake tu. Kipaji anacho na ni mtu wa kujituma sana, kasoro ndogo ndogo za kiutendaji zinamkwamisha.
Sanaa bongo inaendeshwa na watu wasio sahihi. Yamoto ingeweza kuwa kama Beatles (kama umewahi kuisikia) ukanda huu ila sijui imefia wapi.
yamoto kuwa kama Beatles ni hadithi za Kobe kumzidi mbio sungura
 
Mtoa mada anasema kujua kuvaa no kuvaa mavazi yanayoendana na hali ya mazingira... Kama ujui Stylish bora ukakaa kimya usiandike utumbo...
 
Jamaa kwanza kwenye uvaaji tu bado sana. Na tena afadhali ameacha kuvaa kofia za baridi wakati yuko Madale anatandikwa na jua kali, ilikuwa ni aibu.

Tuje kwenye uimbaji. Kila siku habari za mapenzi tena matusi. Hata kina Michael Jackson wameimba nyimbo za maisha kiujumla, yeye anataka kukaa kimya.

Tuje kwenye uchezaji. Diamond hajaweza kuwa na dance style yoyote iliyotrend Afrika. Kila siku anacopy style tena ambazo zimeshachoka.

Beyonce hakukosea. Bila nguvu za Makonda na CCM, Diamond ni kama Jux tu.

Inashangaza eti kuna mtu anamuweka level moja na Davido!!

Ningetoa ushauri ila sidhani kama utapokelewa kwa mikono miwili.

NYONGEZA: Sina chuki binafsi na Naseeb ila naona kipaji chake hajakitumia kikamilifu. Hana washauri wazuri. Washauri wenyewe nao sasa hivi wako busy wanagombania umaarufu huo huo.
U male au female
 
Jamaa kwanza kwenye uvaaji tu bado sana. Na tena afadhali ameacha kuvaa kofia za baridi wakati yuko Madale anatandikwa na jua kali, ilikuwa ni aibu.

Tuje kwenye uimbaji. Kila siku habari za mapenzi tena matusi. Hata kina Michael Jackson wameimba nyimbo za maisha kiujumla, yeye anataka kukaa kimya.

Tuje kwenye uchezaji. Diamond hajaweza kuwa na dance style yoyote iliyotrend Afrika. Kila siku anacopy style tena ambazo zimeshachoka.

Beyonce hakukosea. Bila nguvu za Makonda na CCM, Diamond ni kama Jux tu.

Inashangaza eti kuna mtu anamuweka level moja na Davido!!

Ningetoa ushauri ila sidhani kama utapokelewa kwa mikono miwili.

NYONGEZA: Sina chuki binafsi na Naseeb ila naona kipaji chake hajakitumia kikamilifu. Hana washauri wazuri. Washauri wenyewe nao sasa hivi wako busy wanagombania umaarufu huo huo.
Kumbe wewe ndo seven mosha manager wa kiba 100 ahaaaaah go and sleep.
 
Hata Makonda Mkolomije akipiga pamba hazimpendezi kawaida sana cha muhimu account iwe imenona na pupuchi unazila unavyotaka.
Unamainisha nini kuwa pamba huwa hazimpendezi bashite!!!!!??? Are u serious????? Mbona huwa zinamu shape vzr sana. Au una wivu was kike? Au unatumika na mabeberu? Kati ya Halima mdee na Bashite Nani atatokelezea akivaa skin jeans!!!!!??? 🐯
 
Unamainisha nini kuwa pamba huwa hazimpendezi bashite!!!!!??? Are u serious????? Mbona huwa zinamu shape vzr sana. Au una wivu was kike? Au unatumika na mabeberu? Kati ya Halima mdee na Bashite Nani atatokelezea akivaa skin jeans!!!!!??? [emoji197]
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
 
Back
Top Bottom