ndo sh ngp hyothubutuuúuu hapo fain haizidi lako tano
Hahah kinyume na maumbile? Uliona wapi mkuu?Wakuuu nimesikia kuwa diamond na nandy watapelekwa mahakani Kwa kosa la maadili OK nandy najua ni kufanya ngono kinyume na maumbile tena hadharani Lakini hiii Ya diamond sijainyaka naomba kujulishwa huyu Kijana diamond kafanyaje tena?
Mtatua washeli hana makosaSasa amekamatwa nandy,vip kuhusu bill nenga
Zitafute tafute mtandaoni utaziona. Zimefichika sehemu flani.!
!
Hizo video ziko wapi?
unawezaje kumkamata mtu ambaye ana sauti kuliko wewe mwenye zamana... ana bishana na mawaziri kila leo... ana tokelezea ktk mikutano ya uzinduzi ya mh. yupo pamoja na DAB... una wezaje kumkamata huyo mtu kirahisi... kama sio kamchezo furani ni nini
mama yk.mwenyewe ana miliki kiben 10.. tena anaambatana nae na mond akiwemo..utawaambia nn...fact mkuu huwezi kulandana mama yako unamheshimu halafu kila siku upo na wanawake tu labda kama yule mama yake ni wa bandia ila kwa kimaadili mond anachofanya ni ujinga kama ni pesa karuhusu zimvue utu wake
Mange anazidi kupotezwa na ile kitu uake ya 26/4 hahahaha muvi nyingine za kidwanzi sanaWasanii watatu Billinas, Nandy, Diamond na Mwanadada ambaye ni Mwanamitindo Hamisa Mobeto wameachiwa Kwa dhamana baada ya kushikiliwa na polisi Kwa kosa la kusambaza video zisiokuwa na maadili zikiwaonesha wako Faragha.
Pia wametakiwa kureport tena polisi siku ya ijumaa.....
Kuna habari pia kuwa Hamisa ana mpango wa kumfungulia case Diamond kwa kumdhalilisha na kuweka video kwenye mitandao na yeye haikuwa ridhaa yake bali ali lazimishwa kurekodiwa..
wasalaam
masikio ya DAB una taka kusema bado hayaja zidi kichwa...!?Masikio hayazidi kichwa, Dogo asidanganyike na sifa za mitaani.
Aliyeandika hii Script nampa vyeo sana...Mwakyembe amesema kuna baadhi ya wasanii ambao walianza kufanya uhuni ndani ya mitandao akiwemo mwanamuziki nyota wa muziki, Diamond ambae tayari amekamatwa na Jeshi la Polisi na anahojiwa kutokana na picha alizozungusha.
Pia Mwakyembe amesema pia imebidi binti Nandy naye akamatwe kisha kuhojiwa na wanaangalia namna ya kuwapeleka mahakamani.
Mwakyembe ametoa wito kwa vijana kuwa mitandao sio kokoro la kupeleka uchafu wote ambao umezuiwa na sheria zingine na nchi ina utamaduni wake ambapo inahitajika kulindwa kizazi cha sasa na cha kesho cha Taifa hili.
Akiuliza swali, mbunge wa Ulanga, Goodluck Mlinga alitaka kujua kauli ya Serikali juu kukithiri kwa ushoga na kutukana matusi mithili ya bomu la nyuklia ambayo sio maadili ya mtanzania na team za matusi ikiwemo za Wema, Zari, Diamond na Shilole.
Mwakyembe amesema sheria ya EPOCA ilitungwa mwaka 2010 lakini zilikosekana kanuni za kubana maudhui hasa upande wa mitandao. Amesema kanuni zimeshatungwa na zimeanza kufanya kazi.