Diamond Platnumz, Hamisa Mobetto na Nandy wahojiwa na Polisi kwa kusambaza video za faragha, wapewa dhamana...

Safi sana. Anayesema serekali isifuatile haya mambo, nende twitter ujione wakenya walivyo choka ambapo serekali haikufuatilia maneno kama haya. Wiki iliyopita, Wakenya online wamezindua kampeni ya kuwaaibisha vijana wadogo ambao wanatoa picha na video chafu kwenye mitandao. Lengo ni kuzisambaza picha hizo sana mitandaoni hadi ziwafikie wazazi, walezi au jamaa ya vijana hao. Hash tag yenyewe ni [HASHTAG]#ifikiewazazi[/HASHTAG]
 
Kwani chibu anakosa gani?
Au kwa vile wameruhusu ukoloni kutawala Taifa?.
 
Wakuuu nimesikia kuwa diamond na nandy watapelekwa mahakani Kwa kosa la maadili OK nandy najua ni kufanya ngono kinyume na maumbile tena hadharani Lakini hiii Ya diamond sijainyaka naomba kujulishwa huyu Kijana diamond kafanyaje tena?
Hahah kinyume na maumbile? Uliona wapi mkuu?
 
Diamond huu mwaka huu inabid ajiweke low profile
 
Mawaziri hizi nguvu zihamishieni kwenye kuzisaka zile 1.5 Trillion maana aya mengine hata balozi wa Madale anaweza kukomaa nae,serikali inahamisha magoli.
 
unawezaje kumkamata mtu ambaye ana sauti kuliko wewe mwenye zamana... ana bishana na mawaziri kila leo... ana tokelezea ktk mikutano ya uzinduzi ya mh. yupo pamoja na DAB... una wezaje kumkamata huyo mtu kirahisi... kama sio kamchezo furani ni nini


Masikio hayazidi kichwa, Dogo asidanganyike na sifa za mitaani.
 
Haha Diamond na hao wengine hawana makosa... kwani video zilikuwa kwenye account zao?

Waliozisambaza ndio washughulikiwe...

Halafu kwa diamond ndio kabisa wanamaliza rasilimali za serikali maana hamna kosa pale
 
fact mkuu huwezi kulandana mama yako unamheshimu halafu kila siku upo na wanawake tu labda kama yule mama yake ni wa bandia ila kwa kimaadili mond anachofanya ni ujinga kama ni pesa karuhusu zimvue utu wake
mama yk.mwenyewe ana miliki kiben 10.. tena anaambatana nae na mond akiwemo..utawaambia nn...
 
Wakimalizana na hao wasanii twendlee na budget yetu.
 
Mange anazidi kupotezwa na ile kitu uake ya 26/4 hahahaha muvi nyingine za kidwanzi sana
 
Aliyeandika hii Script nampa vyeo sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…