Diamond Platnumz hamishia shughuli zako Marekani kwa muda

Diamond Platnumz hamishia shughuli zako Marekani kwa muda

Kwanza diamond mwenyewe anaimba nini?

Hebu mchukue muweke aimbe live band uone kitachotokea.

Tanzania amekua rahisi kutoka kimuziki sababu tumezoea makelele hatujui maana ya mziki.akineda huko marwkani ndo atachemka kabisa..labda watz wanaoishi huko ndo wassupport anachoimba..but black americans?
N msanii yupi marekani ameweza kuwa mkubwa Kwa kuimba live band
 
Kuna kipindi B Dozen wakati bado ajatimkia Efm aliwahi kusema Marioo ndiye 'Ed Sheeran' wa bongoflava. Licha yakutofikia viwango vya mziki vya huko majuu bado tuna copy za wasanii wao, yaani unakuta mtu anaingia studio wanaokoteza chords wakiwa na producer then inanyongwa beat na baada ya hapo wimbo unatoka.

kuna kipande kidogo cha mziki kwenye series ya Merlin ambacho kinaitwa Merlin burries Sir Lancelot, kwenye hii instrumental umepigwa mziki tu (tena uliotulia), sasa kama ukitulia na kuwaza tu tena kwa sauti hivi kweli Maneke/S2kizzy/Yogo/Abbah/Kapipo au maproducer wengine wakiitwa kuwa kama maproducer wakuu wa instrumentals za Series ya GOT wanaweza kutokea kweli au hata kusimama mbele na kujiita maproducer?
Kuna kipindi nilikua na produce music,,kuna mzungu akatupeleka zanzibar kuna studio moja konyo ya wazungu tukafanye mixing ya nyimbo fulani...,kuna dada mzungu alipenda sana touches zangu akaomba tufanye ngoma but tuanze ku compose chorus, hiyo chorus hakuimba alinipa tu music notes akasema chorus hiyo Mr ...haha niliona chenga chenga
 
Kuna kipindi B Dozen wakati bado ajatimkia Efm aliwahi kusema Marioo ndiye 'Ed Sheeran' wa bongoflava. Licha yakutofikia viwango vya mziki vya huko majuu bado tuna copy za wasanii wao, yaani unakuta mtu anaingia studio wanaokoteza chords wakiwa na producer then inanyongwa beat na baada ya hapo wimbo unatoka.

kuna kipande kidogo cha mziki kwenye series ya Merlin ambacho kinaitwa Merlin burries Sir Lancelot, kwenye hii instrumental umepigwa mziki tu (tena uliotulia), sasa kama ukitulia na kuwaza tu tena kwa sauti hivi kweli Maneke/S2kizzy/Yogo/Abbah/Kapipo au maproducer wengine wakiitwa kuwa kama maproducer wakuu wa instrumentals za Series ya GOT wanaweza kutokea kweli au hata kusimama mbele na kujiita maproducer?
Ila Bdozen🤣🤣🤣🤣 huo mfano katupiga hadi basi.
 
Chukua hata uraia wa Marekani kwa muda ukane huu wa bongo.

ukifika kule anzia chini kabisa, jishushe fanya remix ya nyimbo zako hasa zile za zamani ukiimba kiingereza kwa wingi kiswahili kidogo.

imba hata barabarani na na kwenye mikusanyiko ya watu wengi fanya show za bure,fanya interview kwenye radio na tv stations za huko hata kwa kulipia Hapa utapata mafans wa kustream kazi zako kwenye platform zinazolipa kama i tunes, n.k

Jifunze namna wenzetu wanavyo sambaza kazi zao,wanavyotengeza pesa nyingi uje ulete mbinu bongo.

Miaka michache ijayo utakuwa msanii bilionea in dollar kama akina drake na justin beiber na dunia nzima itawajua akina mama dangote na uncle shamte na utauza reality show kama wanavyofanya kina kim kadashian.

Utapiga show kwenye kumbi kubwa zaidi duniani huko paris, london kwa sold out na utakuza uchumi wa tanzania na sanaa yake kwa ujumla.

Hata akina Wizkid watakuja kuomba collabo na utakuwa na kiburi mbele ya ccm.

Au mnasemaje madau??
Kuna shida mbili kubwa: kwanza lyrics. Nyimbo zake hazina sophistication, yaani zimejaa maneno ya uswahilini ambayo hayana maana sana wala hayafikirishi. Pili, utamaduni na lugha ya Marekani hawezi kuvimudu kwa muda mfupi. Yaani akiwa Marekani anakuwa 'removed' from the culture, haelewi jinsi wamarekani wanavyofikiria.
 
Kuna shida mbili kubwa: kwanza lyrics. Nyimbo zake hazina sophistication, yaani zimejaa maneno ya uswahilini ambayo hayana maana sana wala hayafikirishi. Pili, utamaduni na lugha ya Marekani hawezi kuvimudu kwa muda mfupi. Yaani akiwa Marekani anakuwa 'removed' from the culture, haelewi jinsi wamarekani wanavyofikiria.
Music hauna lugha, imba vizuri beat imesimama kuna flow nzurii dunia nzima itaimba.. Nigeria wanaimba kwa lugha zao na tupo we are creating our words kuenda na beat so long as nyimbo ikiwa nzurii. Dunia itaimbaa..
 
Kuna shida mbili kubwa: kwanza lyrics. Nyimbo zake hazina sophistication, yaani zimejaa maneno ya uswahilini ambayo hayana maana sana wala hayafikirishi. Pili, utamaduni na lugha ya Marekani hawezi kuvimudu kwa muda mfupi. Yaani akiwa Marekani anakuwa 'removed' from the culture, haelewi jinsi wamarekani wanavyofikiria.
unawajua bts, luis fonsi wa despacito, bad bunny, hawa huwa wanaeleweka?
mbona show zao zina jaza marekani? Wanatengeneza pesa nyingi sana
 
Kuna shida mbili kubwa: kwanza lyrics. Nyimbo zake hazina sophistication, yaani zimejaa maneno ya uswahilini ambayo hayana maana sana wala hayafikirishi. Pili, utamaduni na lugha ya Marekani hawezi kuvimudu kwa muda mfupi. Yaani akiwa Marekani anakuwa 'removed' from the culture, haelewi jinsi wamarekani wanavyofikiria.
Hii Ni kweli.. lakini najiuliza mchekeshaji Trevor sijui kama nimepatia jina) wa south Africa amewezaje kufanya kipindi Cha the daily show..huko marekani
 
Hii Ni kweli.. lakini najiuliza mchekeshaji Trevor sijui kama nimepatia jina) wa south Africa amewezaje kufanya kipindi Cha the daily show..huko marekani
Trevor ni mtu mwingine naona alizaliwa na kipaji, pia anafanya research zake before mgeni kuja. Sad hayupo tena kwenye daily show.
 
Back
Top Bottom