Onyesho ni kesho huko uwanjani kaenda kufanya nini. nimeona anapita mitaani kwa gari jioni hiiKahama
mbona sikuhizi dar kama vile pachungu kwake? hata kwenye futari ya makonda hakuwepo,Onyesho ni kesho huko uwanjani kaenda kufanya nini. nimeona anapita mitaani kwa gari jioni hii
Habari wadau,baada ya kuswali swala ya IDD leo nimiengia IG nikakutana na mbwembwe za bwana nasibu.
Ametumia helicopter kuingia uwanjani.
Ni wazo zuri ila tahadhari ichukuliwe ile sio gari ya matairi4.
Chopa nyingi ni za mtumba service hazina uhakika sasa .......sherehe itakuwa huzuni
Dogo anamaindi kuwa kwa nini wakati wa futari ngwangwalu aipigwi!!!!!!!!!mbona sikuhizi dar kama vile pachungu kwake? hata kwenye futari ya makonda hakuwepo,
Plus kufa kwa ajali ya chopa ni poa kuliko kilichotokana na kavu kavuKupiga Kavu kavu kina Wema bin Boss Lady Bin Mobeto ni hatare kuliko kupanda Chopa Chakavu
Oya wasalimie hapo Tonight bar na Nyasubi kwa Mariam pubOnyesho ni kesho huko uwanjani kaenda kufanya nini. nimeona anapita mitaani kwa gari jioni hii