Diamond platnumz helicopter sio IST

Diamond platnumz helicopter sio IST

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,023
Habari wadau,baada ya kuswali swala ya IDD leo nimiengia IG nikakutana na mbwembwe za bwana nasibu.
Ametumia helicopter kuingia uwanjani.
Ni wazo zuri ila tahadhari ichukuliwe ile sio gari ya matairi4.
Chopa nyingi ni za mtumba service hazina uhakika sasa .......sherehe itakuwa huzuni
 
Mkuu kwa hiyo asitumie?
Sijakuelewa nia yako kabisa
Habari wadau,baada ya kuswali swala ya IDD leo nimiengia IG nikakutana na mbwembwe za bwana nasibu.
Ametumia helicopter kuingia uwanjani.
Ni wazo zuri ila tahadhari ichukuliwe ile sio gari ya matairi4.
Chopa nyingi ni za mtumba service hazina uhakika sasa .......sherehe itakuwa huzuni
 
Kupiga Kavu kavu kina Wema bin Boss Lady Bin Mobeto ni hatare kuliko kupanda Chopa Chakavu
Plus kufa kwa ajali ya chopa ni poa kuliko kilichotokana na kavu kavu
Waandika wasifu msibani hawapati kigugumizi kikisababishwa na chopa.
Fela Kuti
 
Back
Top Bottom