Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
bora kusoma kuliko kutosoma kabisa, kwahiyo bora ukawa na elimu usijitambue kuliko kutokuwa na elimu kbisa, ndio hao JIWE kaenda kigoma anawaambia atawapelekea dremliner, yaani hata jiwe mwenyewe am sure hajui biashara ya ndege na wao walivyo wajnga wanashangilia tu,Wewe ushapotezwa na ukosefu elimu unakusumbua. Elimu sio kwenda shule, unaweza ukawa na Master degree lakini ukawa bado hujitambui.
bora kusoma kuliko kutosoma kabisa, kwahiyo bora ukawa na elimu usijitambue kuliko kutokuwa na elimu kbisa, ndio hao JIWE kaenda kigoma anawaambia atawapelekea dremliner, yaani hata jiwe mwenyewe am sure hajui biashara ya ndege na wao walivyo wajnga wanashangilia tu,
we jamaa unaakili sanaDaudi Mchambuzi kwenye huo wimbo diamond achokuwa anamaanisha Ni kwamba amechora picha ya Kama Ni yeye alikuwa na mwanamke na huyo mwanamke alikuwa anamletea visa vingi ikiwemo kumsaliti akasema amesalitiwa Ni Kama Petro alivyomsaliti yesu ikiwa anamaanisha Yesu alimuamini Sana Petro lakini baadae Petro akamsaliti Ni Kama yeye alivyomuamini Sana huyo mwanamke wake lakini nae akasalitiwa sasa hapo Yesu kazalilishwaje? Biblia ipo kaajili ya kuakisi maisha yetu
Lugha ya fashii hiyo
Mimi mbona wala sioni tatizo, anadhihirisha tu kwamba Ukristo ni dini ya amani upendo na uvumilivu, ndio maana pia utamsikia anaimba haleluya, au hata kuonekana amevaa msalaba n.k.
Ni wazi kuwa anatambua taabu au ghadhabu anazoweza kukumbana nazo iwapo atakuwa akiwataja hovyo MITUME, MANABII na VIONGOZI wa imani yake mwenyewe.
k
Dini ni kuelimisha na kuelekeza Mtu namna sahihi ya kufanya jambo ambalo unadhani amekosea na sio ghadhabu maana wa kuhukumu yupo.
Asante, nimekupata sasa mkuu wangu, Elimu elimu elimu!Mkuu hapa tunaongea the same statement lakini tumetofautiana sentences tu. Kigoma pia kuna shule na watu wahesabu vidato humo lakini hawajui wanashangilia nini, si umeona eh?
Kwa Sisi Waislamu Yesu si Mungu.Alafu Yesu sio Mungu, Yesu alikuwa nabii kama mitume wengine. Tofautisha kwanza hivi vitu, Kuna Mungu na Mitume/Manabii.
[emoji34][emoji34]Huyu [emoji184]ni wa kupuuzwa tyuuuh.
Poleeeeh[emoji34][emoji34]
Ila mi nilijua kwa jinsi watu wanavyomchukia comments zingekuwa chache Ila sasa naona comments nyingi [emoji4][emoji23][emoji23]Poleeeeh
Vumilia tyuuuh sawa eeeh.Ila mi nilijua kwa jinsi watu wanavyomchukia comments zingekuwa chache Ila sasa naona comments nyingi [emoji4][emoji23][emoji23]
Ila mi simpendi zinanivutia nyimbo zake mi nampenda ZuchuVumilia tyuuuh sawa eeeh.
Wewe uwezi kukosa kwenye Uzi inahusiana na diamond na comment yako inajulikana itakuwa Ni ipiVumilia tyuuuh sawa eeeh.
Hiv mzee umeisikiliza huo wimbo au unacomment na unafuata upepo wa mtoa mada ebu kasikilize huo wimbo vizuri alafu njoo utuambie Yesu kadhalilishwa wapi?Wengi wamedhiaki ukristo lakini serikali inawaangalia tu.Hata kalapina kwenye wimbo wake wa umoja ni nguvu kunamstari anasema "Mateso zaidi ya Yesu Msalabani."
Idris Sultan tangazo lake la condom anakashifu kwa kumuweka mchungaji anataja Yesu mule.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had baas lol, eti Zuchu khaaahIla mi simpendi zinanivutia nyimbo zake mi nampenda Zuchu
Basi kuwa mpoleeeh, afu relaaaaax.Wewe uwezi kukosa kwenye Uzi inahusiana na diamond na comment yako inajulikana itakuwa Ni ipi