May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Mimi mbona wala sioni tatizo, anadhihirisha tu kwamba Ukristo ni dini ya amani upendo na uvumilivu, ndio maana pia utamsikia anaimba haleluya, au hata kuonekana amevaa msalaba n.k.
Ni wazi kuwa anatambua taabu au ghadhabu anazoweza kukumbana nazo iwapo atakuwa akiwataja hovyo MITUME, MANABII na VIONGOZI wa imani yake mwenyewe.
Dini ni kuelimisha na kuelekeza Mtu namna sahihi ya kufanya jambo ambalo unadhani amekosea na sio ghadhabu maana wa kuhukumu yupo.
Ni wazi kuwa anatambua taabu au ghadhabu anazoweza kukumbana nazo iwapo atakuwa akiwataja hovyo MITUME, MANABII na VIONGOZI wa imani yake mwenyewe.
Dini ni kuelimisha na kuelekeza Mtu namna sahihi ya kufanya jambo ambalo unadhani amekosea na sio ghadhabu maana wa kuhukumu yupo.