Diamond Platnumz hili la kumfananisha demu (msichana) wako na Yesu (Mungu) utuombe radhi wakristo na utubu au wimbo wake ufungiwe na BASATA

Diamond Platnumz hili la kumfananisha demu (msichana) wako na Yesu (Mungu) utuombe radhi wakristo na utubu au wimbo wake ufungiwe na BASATA

Siku 40 kabla ya kupaa kwake mwaka gani?

Unaelewa kwamba kurudi kunakozungumziwa hapa ni kwa mara ya pili baada ya huko "kupaa"?

Unaweza kuthibitisha alipaa, na kwamba habari za kupaa kwake si hadithi za uongo tu?
Sihitaji kuthibitisha. Uhakika niluonao umenithibitishia yote. Kwako wewe ni jukumu lako kutafiti ili kujua ukweli. Usitafute kutembea imanibyangu. Yesu Kristo mwenyewe alisema atakayemtafuta kwa moyo ATAMWONA. Kazi kwako
 
Sasa Diamond Platnumz amuombe radhi nani, wabongo au wazungu? Maana ninavyojua mimi Yesu ni wa wazungu sema Wapogoro mnapenda kununua kesi zisizowahusu tu
 
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Diamond Platnumz uitwao ongeza kiukweli anatakiwa atafute mhariri wa mashairi na mistari yake. Kwenye ngoma ya ongeza anasema "we ndo wangu yesu mkombozi sa mbona unaniacha mwenyewe" anamuongelea mwanamke/ msichana/demu wake.

Kwa hili Diamond hapana umeenda mbali mno na umetukosea Wakristo. Hivi mkristo aimbe wimbo amljnganishe demu wake na Mtume Mohammad au Allah atakuwa sawa?

Kwetu Wakristo Yesu ni Mungu kweli, mtu kweli Yohana Mtakatifu 1:1-10. Yesu ni Mungu mwana katika nafsi tatu za Mungu zinazofanya Utatu Mtakatifu.

Yesu aliacha kiti chake cha enzi kule mbinguni akauvaa mwili akashuka duniani ili atufie na kutukomboa sisi na dhambi zetu. Alisulubiwa akafa, akazikwa siku ya tatu akafufuka na sasa ameketi mkono wa kuume wa Mungu Baba na hapa tulipo tunasubiri arudi aje awahukumu walio hai na wafu. Maana ameahidi anakwenda kwa Baba kutuandalia makao na atakuja kutuchukua ili alipo nasi tuwepo. Je ni Yesu huyu wa kumlinganisha na demu wake kweli Diamond Platnumz?

Yesu huyu ambaye alikuwepo kabla ya ulimwengu kuumbwa ambaye maandiko yanasema vitu vyote viliumbwa kwa jina lake na pasipo yeye hakuna kilichoumbwa? Huyu ndiyo wa kumlinganisha na demu.


Ni kweli sanaa inahitaji ubunifu lakini siyo kwa kiwango hiki Diamond aombe radhi kwa kweli au wimbo wake ufungiwe na BASATA.
Tamathali ya semi inayoitwa LAKABU hiyo
 
Sihitaji kuthibitisha. Uhakika niluonao umenithibitishia yote. Kwako wewe ni jukumu lako kutafiti ili kujua ukweli. Usitafute kutembea imanibyangu. Yesu Kristo mwenyewe alisema atakayemtafuta kwa moyo ATAMWONA. Kazi kwako
Siyo huhitaji kuthibitisha.

Huwezi kuthibitisha.

Kwa sababu huna uhakika.

Unapiga porojo tu.
 
Kazi kwako. Imani ni jambo binafsi.
Sasa kama imani ni jambo binafsi, mbona unamuingilia Diamond kaenye imani yake inayomruhusu kumfananisha mpenzi wake na Yesu?

You are contradicting yourself!
 
Sasa kama imani ni jambo binafsi, mbona unamuingilia Diamond kaenye imani yake inayomruhusu kumfananisha mpenzi wake na Yesu?

You are contradicting yourself!
Hiyo sio imani. Imani ni kuamini kile kilichosemwa, kama huamini ni makosa kupindisha ukweli. Unachopaswa kufanya ni kuachana na usichoamini na kushikilia kike unachadhani ni sahihi. Kuchukua kile ambacho wengine wanakiamini kwa jinsi kilivyosemwa kisha inakipotosha ili kujenga taswira yako ni ujinga wa hali ya juu sana.
 
Hiyo sio imani. Imani ni kuamini kile kilichosemwa, kama huamini ni makosa kupindisha ukweli. Unachopaswa kufanya ni kuachana na usichoamini na kushikilia kike unachadhani ni sahihi. Kuchukua kile ambacho wengine wanakiamini kwa jinsi kilivyosemwa kisha inakipotosha ili kujenga taswira yako ni ujinga wa hali ya juu sana.
Unajuaje huu ni ukweli na huu ni uongo?
 
Hivi Hawa wanaosema yesu ni mungu hawajui kuwa yesu na yeye itafika siku roho yake itachukuliwa na jibril.?
 
Uongo ni kubadili kile kilichosemwa na mwanzilishi ili kutengeneza jambo tofauti na kweli halisi

Unaelewa kwamba hujajibu swali umejishebedua tu hapo?

Mimi nakuuliza unajuaje huu huu uongo na huu ukweli, kwenye jibu unaniambia habari za ukweli halisi?

Kabla hujajibu ukweli ni nini na unaujuaje usharukia habari za ukweli halisi?

Uongo hauwezi kuwepo bila kubadili kilichosemwa na muanzilishi?
 
Unaelewa kwamba hujajibu swali umejishebedua tu hapo?

Mimi nakuuliza unajuaje huu huu uongo na huu ukweli, kwenye jibu unaniambia habari za ukweli halisi?

Kabla hujajibu ukweli ni nini na unaujuaje usharukia habari za ukweli halisi?

Uongo hauwezi kuwepo bila kubadili kilichosemwa na muanzilishi?
Jikite kwenye mada, sina mijadala ya kipuuzi. Note that
 
Back
Top Bottom