Diamond Platnumz hili la kumfananisha demu (msichana) wako na Yesu (Mungu) utuombe radhi wakristo na utubu au wimbo wake ufungiwe na BASATA

Diamond Platnumz hili la kumfananisha demu (msichana) wako na Yesu (Mungu) utuombe radhi wakristo na utubu au wimbo wake ufungiwe na BASATA

Huu uzi ningeuelewa kama hiyo kauli ingelisemwa na mtu aliye haki kama askofu, mchungaji au sheikh...

Sasa washangaa nini mfuasi wa filimasoni kutamka hayo
 
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Diamond Platnumz uitwao ongeza kiukweli anatakiwa atafute mhariri wa mashairi na mistari yake. Kwenye ngoma ya ongeza anasema "we ndo wangu yesu mkombozi sa mbona unaniacha mwenyewe" anamuongelea mwanamke/ msichana/demu wake.

Kwa hili Diamond hapana umeenda mbali mno na umetukosea Wakristo. Hivi mkristo aimbe wimbo amljnganishe demu wake na Mtume Mohammad au Allah atakuwa sawa?

Kwetu Wakristo Yesu ni Mungu kweli, mtu kweli Yohana Mtakatifu 1:1-10. Yesu ni Mungu mwana katika nafsi tatu za Mungu zinazofanya Utatu Mtakatifu.

Yesu aliacha kiti chake cha enzi kule mbinguni akauvaa mwili akashuka duniani ili atufie na kutukomboa sisi na dhambi zetu. Alisulubiwa akafa, akazikwa siku ya tatu akafufuka na sasa ameketi mkono wa kuume wa Mungu Baba na hapa tulipo tunasubiri arudi aje awahukumu walio hai na wafu. Maana ameahidi anakwenda kwa Baba kutuandalia makao na atakuja kutuchukua ili alipo nasi tuwepo. Je ni Yesu huyu wa kumlinganisha na demu wake kweli Diamond Platnumz?

Yesu huyu ambaye alikuwepo kabla ya ulimwengu kuumbwa ambaye maandiko yanasema vitu vyote viliumbwa kwa jina lake na pasipo yeye hakuna kilichoumbwa? Huyu ndiyo wa kumlinganisha na demu.


Ni kweli sanaa inahitaji ubunifu lakini siyo kwa kiwango hiki Diamond aombe radhi kwa kweli au wimbo wake ufungiwe na BASATA.
DAWA YAKE NI KUMSHTAKI BASATA AKOME
 
Wewe pia unakufuru kumuita binadamu "MUNGU",Yesu siyo Mungu,Mungu HAKUZALIWA WALA HAKUZAA,huyo ni nabii tu kama wengine,
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Diamond Platnumz uitwao ongeza kiukweli anatakiwa atafute mhariri wa mashairi na mistari yake. Kwenye ngoma ya ongeza anasema "we ndo wangu yesu mkombozi sa mbona unaniacha mwenyewe" anamuongelea mwanamke/ msichana/demu wake.

Kwa hili Diamond hapana umeenda mbali mno na umetukosea Wakristo. Hivi mkristo aimbe wimbo amljnganishe demu wake na Mtume Mohammad au Allah atakuwa sawa?

Kwetu Wakristo Yesu ni Mungu kweli, mtu kweli Yohana Mtakatifu 1:1-10. Yesu ni Mungu mwana katika nafsi tatu za Mungu zinazofanya Utatu Mtakatifu.

Yesu aliacha kiti chake cha enzi kule mbinguni akauvaa mwili akashuka duniani ili atufie na kutukomboa sisi na dhambi zetu. Alisulubiwa akafa, akazikwa siku ya tatu akafufuka na sasa ameketi mkono wa kuume wa Mungu Baba na hapa tulipo tunasubiri arudi aje awahukumu walio hai na wafu. Maana ameahidi anakwenda kwa Baba kutuandalia makao na atakuja kutuchukua ili alipo nasi tuwepo. Je ni Yesu huyu wa kumlinganisha na demu wake kweli Diamond Platnumz?

Yesu huyu ambaye alikuwepo kabla ya ulimwengu kuumbwa ambaye maandiko yanasema vitu vyote viliumbwa kwa jina lake na pasipo yeye hakuna kilichoumbwa? Huyu ndiyo wa kumlinganisha na demu.


Ni kweli sanaa inahitaji ubunifu lakini siyo kwa kiwango hiki Diamond aombe radhi kwa kweli au wimbo wake ufungiwe na BASATA.
 
Yohana 8:58

NWT: Jesus said to them: “Most truly I say to you, before Abraham came into existence, I have been.

TLB: Jesus: “The absolute truth is that I was in existence before Abraham was ever born!”

WE: Jesus answered, `I tell you the truth. I already was before Abraham was born.'

Hapa Yesu anaeleza kwamba alikuwepo kabla hata ya Ibrahimu kuzaliwa.
Yohana 10:30-33
Yohana 14:7-9
Mika 5:2
Wakolosai 1:7
Yohana 17:5-24
 
Nimeonja Utamu Wa Yesu
Ya Rose Muhando imekubaliwa na Wakristo kisa ni msanii wa Injili
Ila hii ya Leo imekataliwa na wakristo kisa ni Diamond

Mungu yuko wapi ya Ney imekubaliwa sikuona aliyeibuka kuipinga wala kusema haitakiwi
Ma Niggas huwa wanaimba nyimbo za kukejeli kule Marekani na za kuhusisha Freemasons kuipinga Imani ya Kristo hamkuibuka kupinga.

Wakati fulani niliwahi kumtongoza msichana akaniambia sikati kuolewa mwanaume pekee na rafiki yangu ni Yesu tu

Acha Nikae Kimya[emoji850][emoji850]
Kakojoe ukalale
 
Sisi wakristo hatuna noma.. hata akichana biblia Haina shida.. akichana biblia 3000 tunazalisha biblia 2,000,000

aendelee kumtangaza yesu hata akimfananisha na mama yake ni poa tu.
Vipi alieonja utamu wa Yesu Mbona hamujamuongelea
 
Juzi kati tulimtukana sana dulla makabila kutumia misalaba na jeneza watu wengi walimsema kwanini wastumie din zao, ni time sasa ya wakristo kuamka tumezubaa sana wao mbona ya kwao hawachezewi tuache kuzubaaa kila leo ni kuwapa vichapo wanaofanya hivyo
 
Wakristo sie wapole sana ingekua waislamu muda huu kijana angekua keshaharibiwa sura na vitisho kibao vya kusomewa albadir.

Domo mpuuzi halafu mdini balaa hapo ndipo kaonyesha rangi yake halisi.
Ana udin sana huyo sema wakristo wa tz vilaza wengi sana akichukua pesa zenu akiingia kulala anasema nimechota pesa za makafiri ndio hivyo
 
Utakua mvaa kobazi wewe unataka kuleta maneno ,wakristo hawanaga michambo
Acha kubwabwaja wewe wakristo inabidi tuamke watatuzoea hao juzi dula makabila kachambwa ktumia jeneza na msalaba badala atumie vya din yake tuamke sio wana make mitonyo kupitia tamaduni za kikristo tumezubaa tu wakimaliza wanasema makafiri hao pumbavuu kabisaa
 
Back
Top Bottom