Kubali kataa hujui kuvaa,siku nyingi nilikuwa na jiuliza kuhusu hilo jana nimeprove,hujui kuvaa,cheki Jux na Kiba wanavyotupia,najua chawa wake wamo humu kumtetea .niueni ila hajui kuvaa
Me nilijua labda kageuza shati, au kakosea kufunga vifungo!!!Mimi nikajua hakuvaa nguo alikuwa uchi
Simple wanavaa mafundiKiba anavaa simple tu.ndio inavyotakiwa