Diamond Platnumz, hujui kuvaa

Diamond Platnumz, hujui kuvaa

Hiyo wakongwe tunaita PEKOSI
Enzi zangu napiga hiyo chini na kashat kanabana huku vifungo vya juu Navilegeza na afro langu kichwani limeng'aa
Nikizama disko demu wako nakupokonya chini nimepiga skuna
 
Wewe ni choko wa kanda ile ya kuvaa mitumba huyo diamond ni star anabuni wengine waige kutoka kwake kaangali kanye west anavyovaa mpaka kunyoa

Kaangalie maonyesho ya mitindo utaona

Diamond pigo kibao za kimbele alishavaa alipokuwa nyuma huko sasa vile pesa ipo anavaa tofauti ili iwe style mpya muangalie hata burnaboy wacha ushamba

Kavae mamitumba
Usimstue bwana.
 
Mkuu Uwe unajipa muda wa kuangalia fashion show za ma designer wakubwa kama kina Versace utamuelewa tu kijana anapopita....
Nimependa umetumia lugha nzuri kumuelimisha mtoa mada tofauti na wengine wanatumia lugha Kali na Zisizofaa kumshambulia mtoa mada.Nafikiri kea ujumbe wako Huu atakuelewa tofauti na hapo basi atakuwa ni mbishi by nature
 
Nimependa umetumia lugha nzuri kumuelimisha mtoa mada tofauti na wengine wanatumia lugha Kali na Zisizofaa kumshambulia mtoa mada.Nafikiri kea ujumbe wako Huu atakuelewa tofauti na hapo basi atakuwa ni mbishi by nature
Ndio hivyo mkuu saa nyingine tukiongea kwa Upendo tunaelewana
 
Kuvaa vizuri ni aje wakuu?
manake sisi wengine wagumu tunatoa nguo kwenye kamba ya kuanikia nguo inavaliwa hapohapo naamsha popo.
 
Back
Top Bottom