Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Ulitaka avaeje ndo akitongoze labda?Chawa mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka avaeje ndo akitongoze labda?Chawa mwingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajifanya mwanaume halafu unaomba serikali ikulinde Kama sio upunga ni nini? Mwanaume analindwa toka lini???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]basi ndiomana.Noel Ndale. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann sasa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]basi ndiomana.
Kubali kataa hujui kuvaa, siku nyingi nilikuwa na jiuliza kuhusu hilo jana nimeprove, hujui kuvaa, cheki Jux na Kiba wanavyotupia,najua chawa wake wamo humu kumtetea niueni ila hajui kuvaa
Huwa speshozMwanamitindo yupi anamvalisha huyu kijana???
He is not academically or educated that is your answer hello
Kubali kataa hujui kuvaa, siku nyingi nilikuwa na jiuliza kuhusu hilo jana nimeprove, hujui kuvaa, cheki Jux na Kiba wanavyotupia,najua chawa wake wamo humu kumtetea niueni ila hajui kuvaa
Usimstue bwana.Wewe ni choko wa kanda ile ya kuvaa mitumba huyo diamond ni star anabuni wengine waige kutoka kwake kaangali kanye west anavyovaa mpaka kunyoa
Kaangalie maonyesho ya mitindo utaona
Diamond pigo kibao za kimbele alishavaa alipokuwa nyuma huko sasa vile pesa ipo anavaa tofauti ili iwe style mpya muangalie hata burnaboy wacha ushamba
Kavae mamitumba
Nimependa umetumia lugha nzuri kumuelimisha mtoa mada tofauti na wengine wanatumia lugha Kali na Zisizofaa kumshambulia mtoa mada.Nafikiri kea ujumbe wako Huu atakuelewa tofauti na hapo basi atakuwa ni mbishi by natureMkuu Uwe unajipa muda wa kuangalia fashion show za ma designer wakubwa kama kina Versace utamuelewa tu kijana anapopita....
Umesahau chini umetupia viatu vya Raizoni "Laizoni"Hiyo wakongwe tunaita PEKOSI
Enzi zangu napiga hiyo chini na kashat kanabana huku vifungo vya juu Navilegeza na afro langu kichwani limeng'aa
Nikizama disko demu wako nakupokonya chini nimepiga skuna
Ndio hivyo mkuu saa nyingine tukiongea kwa Upendo tunaelewanaNimependa umetumia lugha nzuri kumuelimisha mtoa mada tofauti na wengine wanatumia lugha Kali na Zisizofaa kumshambulia mtoa mada.Nafikiri kea ujumbe wako Huu atakuelewa tofauti na hapo basi atakuwa ni mbishi by nature
Na kakifua changu cha kunyanyua nondo.Umesahau chini umetupia viatu vya Raizoni "Laizoni"
🤣🤣