Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
hazionekani, ni za ndaniZiko wapi hizo nguo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hazionekani, ni za ndaniZiko wapi hizo nguo??
Wewe unayejua kuvaa huna pesa
Kubali kataa hujui kuvaa, siku nyingi nilikuwa na jiuliza kuhusu hilo jana nimeprove, hujui kuvaa, cheki Jux na Kiba wanavyotupia,najua chawa wake wamo humu kumtetea niueni ila hajui kuvaa
🤣🤣🤣🤣 Ila hii kauli inauzi na inakera lakini ndio ukweli wenyeweWewe unayejua kuvaa huna pesa
Samahani bro[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila hii kauli inauzi na inakera lakini ndio ukweli wenyewe
Unatakiwa muombe huyo uliomwambia sio mimi ila nimetoa tu ushauri Unaweza ukampinga mtu lakini usimdharau kwa kigezo Cha kifedhaSamahani bro
Anavaa mwenyewe, havalishwiMwanamitindo yupi anamvalisha huyu kijana???
Sijapendezwa na yeye kujishughulisha na uvaaji wa tu.Unatakiwa muombe huyo uliomwambia sio mimi ila nimetoa tu ushauri Unaweza ukampinga mtu lakini usimdharau kwa kigezo Cha kifedha
Mwamba unampenda Sana Zari ila mbayaZari alikua ana mpendezesha huyu kijana wakitoka out kama vile ma staa wa mbele huko, sasa hivi hata mvaa lonya ana afadhali sikuizi hapendezi kabisa hayo mavazi amuachie koffi olomide ndio swaga zake, yeye domo hata hazimpendezi
Ana bad test kwenye mavazi
Kubali kataa hujui kuvaa, siku nyingi nilikuwa na jiuliza kuhusu hilo jana nimeprove, hujui kuvaa, cheki Jux na Kiba wanavyotupia,najua chawa wake wamo humu kumtetea niueni ila hajui kuvaa
Diamond anavaa kama mwanamuziki na kama celebrity. Ni ngumu sana kumuelewa kama hujui hilo.!
Kubali kataa hujui kuvaa, siku nyingi nilikuwa na jiuliza kuhusu hilo jana nimeprove, hujui kuvaa, cheki Jux na Kiba wanavyotupia,najua chawa wake wamo humu kumtetea niueni ila hajui kuvaa
Uchawi upo mkuu aliyewasambaratisha Zari na Diamond alaaniwe,yule ndio mke sasa sio hivi vinuka mkojo.Zari alikuwa full package,mzuri,mpambanaji na ana exposureZari alikua ana mpendezesha huyu kijana wakitoka out kama vile ma staa wa mbele huko, sasa hivi hata mvaa lonya ana afadhali sikuizi hapendezi kabisa hayo mavazi amuachie koffi olomide ndio swaga zake, yeye domo hata hazimpendezi
Naelewa mkuu ila sio kila nguo itapedeza kila mtu,angalia kariba yako kabla ya kuvaa nguo fulani,mtu kama tupac ,notorios,dk dre wasingevaa huo ujinga akapendeza,ila outcast wakivaa wanaonekana powa.hayo matambara amuachie koffi olomideDiamond anavaa kama mwanamuziki na kama celebrity. Ni ngumu sana kumuelewa kama hujui hilo.!