Diamond Platnumz kajiaibisha kwa Swizzbeats na cheni feki

Diamond Platnumz kajiaibisha kwa Swizzbeats na cheni feki

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
Akiwa Marekani baada ya kukosa tuzo BET sadala katua studio kwa swizzbeats ambako sijui ana project gani, ila katika picha kaposti kwa insta ameonekana kachafua shingo na mikono kwa lundo la macheni, mapete na masaa ambayo wataalamu wa mambo ya vito vya thamani wa instagram yaani @fakewatchbusters wamethinisha kuwa ni feki na hazijawahi kutengenezwa na watengenezaji OG.

Ukiangalia kwa upande wa swizzbeats yeye kavaa simple tu bila lundo la mishanga kwani kavaa saa ya kijani aina ya Richard Mille RM 52-06 Green Emerald “Mask” Tourbillon Yenye thamani ya USD $2,500,000 ambazo kama TSHS Billioni 5,779,035,000 za kitanzania.


Screenshot_2021-07-03-22-06-05-92.jpg


Screenshot_2021-07-03-22-05-59-37.jpg


Screenshot_2021-07-03-22-10-50-28.jpg
 
"Wataalamu wa mambo wa vito vya thamani kutoka INSTAGRAM."

😀😀😀😀😀

Kumbe instagram kuna watalamu sasa wametumia kifaa gani kupima ?(basi atasema kwa macho).

Ila ninacho ikubali mitandao ya jamii kila mtu anajua aka wataalam.
 
"Wataalamu wa mambo wa vito vya thamani kutoka INSTAGRAM."

😀😀😀😀😀

Kumbe instagram kuna watalamu sasa wametumia kifaa gani kupima ?(basi atasema kwa macho).

Ila ninacho ikubali mitandao ya jamii kila mtu anajua aka wataalam.
Hatariiii 😹😹😹😹😹
 
Back
Top Bottom