Diamond Platnumz kajiaibisha kwa Swizzbeats na cheni feki

Diamond Platnumz kajiaibisha kwa Swizzbeats na cheni feki

Aise! Mim naonaga kuvaa micheni shingoni ni ushamba tu. Huyu jamaa na mtoto wake konde boy bado wana pigo za kiwaki sana.. kwenye suala la mitupio king kiba anajitahidi sana
Siyo ushamba kama ukivaa vitu OG
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo mengine tucheke tuu..
Billioni tano na millioni mia saba kamanda almost billioni sita
 
Akiwa marekani baada ya kukosa tuzo BET sadala katua studio kwa swizzbeats ambako sijui ana project gani, ila katika picha kaposti kwa insta ameonekana kachafua shingo na mikono kwa lundo la macheni , mapete na masaa ambayo wataalamu wa mambo ya vito vya thamani wa instagram yaani @fakewatchbusters wamethinisha kuwa ni feki na hazijawahi kutengenezwa na watengenezaji OG.

Ukiangalia kwa upande wa swizzbeats yeye kavaa simple tu bila lundo la mishanga kwani kavaa saa ya kijani aina ya Richard Mille RM 52-06 Green Emerald “Mask” Tourbillon
Yenye thamani ya USD $2,500,000 ambazo kama TSHS Billioni 5,779,035,000 za kitanzania.
View attachment 1840791View attachment 1840792View attachment 1840793
Huwa nawakubali sana FA na AY muda mwingi wapo simple kuanzia lifestyle, mavazi hata unywaji. Hawanaga ushamba mwingi kwenye appearence.
 
"Wataalamu wa mambo wa vito vya thamani kutoka INSTAGRAM."

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kumbe instagram kuna watalamu sasa wametumia kifaa gani kupima ?(basi atasema kwa macho).

Ila ninacho ikubali mitandao ya jamii kila mtu anajua aka wataalam.
Hawq hapa
Screenshot_2021-07-04-19-10-04-91.jpg
Screenshot_2021-07-04-19-07-36-54.jpg
 
Akiwa marekani baada ya kukosa tuzo BET sadala katua studio kwa swizzbeats ambako sijui ana project gani, ila katika picha kaposti kwa insta ameonekana kachafua shingo na mikono kwa lundo la macheni , mapete na masaa ambayo wataalamu wa mambo ya vito vya thamani wa instagram yaani @fakewatchbusters wamethinisha kuwa ni feki na hazijawahi kutengenezwa na watengenezaji OG.

Ukiangalia kwa upande wa swizzbeats yeye kavaa simple tu bila lundo la mishanga kwani kavaa saa ya kijani aina ya Richard Mille RM 52-06 Green Emerald “Mask” Tourbillon
Yenye thamani ya USD $2,500,000 ambazo kama TSHS Billioni 5,779,035,000 za kitanzania.
View attachment 1840791View attachment 1840792View attachment 1840793
Diamond amekwambia hiyo micheni ni og?
Kwani hata akivaa minyororo ya kufungia mbwa wewe unaumwa roho na unateseka?
 
Back
Top Bottom