😂😂😂😂😂😂😂😂😂Umesema hiyo saa ni bilioni 5......!!?
ama...
Hatariiii 😹😹😹😹😹"Wataalamu wa mambo wa vito vya thamani kutoka INSTAGRAM."
😀😀😀😀😀
Kumbe instagram kuna watalamu sasa wametumia kifaa gani kupima ?(basi atasema kwa macho).
Ila ninacho ikubali mitandao ya jamii kila mtu anajua aka wataalam.
Sory mkuu hapo huyo Diamond ndio yupi[emoji134]Akiwa marekani baada ya kukosa tuzo BET sadala katua studio kwa swizzbeats ambako sijui ana project gani, ila katika picha kaposti kwa insta ameonekana kachafua shingo na mikono kwa lundo la macheni , mapete na masaa
HahhahahaMwenzio yupo US wewe upo insta hamuoni kwamba mnatakiwa kupimwa akili? Nauli ya kwenda na kurudi tu US kwenu ni mtaji. Wabongo tafuteni shughuli ya kufanya kuliko kufuatilia maisha y watu